Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hasira yangu ni kwa vile anakandia uwanja wa Serengeti! Amekosa uzalendo! Apiganie uwanja wa Mwanza kivyake! Na asilazimishe Serengeti NP ihudumiwe na uwanja wa Mwanza! Hebu tuambieni kama mna uwezo huo, vyanzo vyenu vya utalii vina-perform Vp?
Brother nimekueleza fuatilia mjadala mzima. Hii ilitokana na mbunge wa Serengeti kuongea kwa jazba wakati anamjibu Tabasamu Mbunge wa Sengerema. Na mbona naona hakuna shida yoyote.

Hata hivyo Mbuga wa Serengeti haipo Mkoa wa mara pekee imepita mikoa ya Mara, Simiyu, na Arusha. Kuwa na wilaya ya serengeti mkoa wa mara haimanishi Serengeti ipo Mara pekee.
 
Wewe ni burukenge tu. Hopping here and there like a frog
Mimi kuanzia jana na leo nipo hapa kutoa elimu tu. Nitakufundisha hata kama hutaki mpaka ujinga utoke kichwani mwako.
Ulituahidi kutuletea miradi ya Counties kutoka kwenye OSR, lini utaleta?
 
Brother nimekueleza fuatilia mjadala mzima. Hii ilitokana na mbunge wa Serengeti kuongea kwa jazba wakati anamjibu Tabasamu Mbunge wa Sengerama. Na mbona naona hakuna shida yoyote.

Hata hivyo Mbuga wa Serengeti haipo Mkoa wa mara pekee imepita mikoa ya Mara, Simiyu, na Arusha. Kuwa na wilaya ya serengeti mkoa wa mara haimanishi Serengeti ipo Mara pekee.
Nimefuatilia ndio maana napinga kauli ya kejeli ya Msukuma ati kudai uwanja wa Serengeti hauna manufaa! Si kweli! Una manufaa zaidi ya huo wa Mwanza Tena ukizingatia mlipewa fedha na JPM ya jengo mkazitumbua! Mtulie serikali iwatafutie hizo fedha za jengo na mapanuzi ya runway! Msituendeshe! Sina sympath za kijinga!


View: https://youtu.be/-pKhQtblbFE?is=NMHaVCDaakT8eWuU
 
Nimefuatilia ndio maana napinga kauli ya kejeli ya Msukuma ati kudai uwanja wa Serengeti hauna manufaa! Si kweli! Una manufaa zaidi ya huo wa Mwanza Tena ukizingatia mlipewa fedha na JPM ya jengo mkazitumbua! Mtulie serikali iwatafutie hizo fedha za jengo na mapanuzi ya runway! Msituendeshe! Sina sympath z kijinga!


View: https://youtu.be/-pKhQtblbFE?is=NMHaVCDaakT8eWuU

Hizo ni chuki zako kaka. Mjadala wote niliufuatilie nashangaa umekazania Msukuma. Wakati aliye liongelea ki undani na kupewa Taarifa na mbunge wa Sengerema Tabasamu.

Itakuwa wewe na Msukuma mpo na ugomvi wenu. Mimi siwezi kuuingilia, malizaneni huko...

1. Mbalawa ameliongelea
2. Waziri mkuu kaliongelea na Kesho yupo kwenye kikao na wabunge wa mwanza.

Uwanja wa Ndege wa mwanza unajengwa 100% na serikali while wa Serengeti ni PPP.
Kwahiyo Msukuma aache kuihoji Serikali?
 
Hizo ni chuki zako kaka. Mjadala wote niliufuatilie nashangaa umekazania Msukuma. Wakati aliye liongelea ki undani na kupewa Taarifa na mbunge wa Sengerema Tabasamu.

Itakuwa wewe na Msukuma mpo na ugomvi wenu. Mimi siwezi kuuingilia, malizaneni huko...

1. Mbalawa ameliongelea
2. Waziri mkuu kaliongelea na Kesho yupo kwenye kikao na wabunge wa mwanza.

Uwanja wa Ndege wa mwanza unajengwa 100% na serikali while wa Serengeti ni PPP.
Kwahiyo Msukuma aache kuihoji Serikali?
peleka upumbavu na endelea kubadili handle! pita kule! Usinifundishe kuelewa na nimemsema Msukuma kwavile matamshi yake si sawa! Kwahiyo kwa mantiki yake miradi kwa Wasukuma sawa ila kwa Wakurya na Wajita na Wajaluo na Wazanaki wa mkoa wa Mara hapana! Mimi sipendi watu wanakandamiza wengine ili kupata wao! Hilo tu! Ni siasa za kijinga!
 
peleka upumbavu na endelea kubadili handle! pita kule! Usinifundishe kuelewa! Kwahiyo miradi kwa Wasukuma sawa ila kwa Wakurya na Wajita na Wajaluo na Wazanaki wa mkoa wa Mara hapana!
Kwahiyo International Airport isijengwe Mwanza kwa hasira zako? Halafu sisi kanda ya ziwa ni wamoja wakulya, wajita, wazanaki, wajaluo, wahaya, wakerewe, Wanyamwezi,Waha, Watusi, Wahutu na wasukuma.

Also zaidi ya 20% ya population ya Tanzania ni Wasukuma.

Pia mambo ya ukabila peleka Kenya.
 
peleka upumbavu na endelea kubadili handle! pita kule! Usinifundishe kuelewa na nimemsema Msukuma kwavile matamshi yake si sawa! Kwahiyo kwa mantiki yake miradi kwa Wasukuma sawa ila kwa Wakurya na Wajita na Wajaluo na Wazanaki wa mkoa wa Mara hapana! Mimi sipendi watu wanakandamiza wengine ili kupata wao! Hilo tu! Ni siasa za kijinga!
Malisaaaaaa huyo pumbavu, hananga akili. 😂 😂 😂
 
Aruaha stadium ndio inamaliza maliza tena hivyo.
temp_image_32769635-76A7-45B8-A56E-E3DBBA640FD5.webp
.. 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZSxeAn4sF/.
 
Back
Top Bottom