President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Brother nimekueleza fuatilia mjadala mzima. Hii ilitokana na mbunge wa Serengeti kuongea kwa jazba wakati anamjibu Tabasamu Mbunge wa Sengerema. Na mbona naona hakuna shida yoyote.Hasira yangu ni kwa vile anakandia uwanja wa Serengeti! Amekosa uzalendo! Apiganie uwanja wa Mwanza kivyake! Na asilazimishe Serengeti NP ihudumiwe na uwanja wa Mwanza! Hebu tuambieni kama mna uwezo huo, vyanzo vyenu vya utalii vina-perform Vp?
Hata hivyo Mbuga wa Serengeti haipo Mkoa wa mara pekee imepita mikoa ya Mara, Simiyu, na Arusha. Kuwa na wilaya ya serengeti mkoa wa mara haimanishi Serengeti ipo Mara pekee.