Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu anatupigia kelele hapa na petty things sijui eti sijui serikali ya vijiji. Yet all powers belong to Samia Suluhu. 😂 😂 😂 Bongoslum hata choo huwezi jenga bila permission ya CCM yet a fool has the audacity to compare it with Kenya where there is transfer of power, protected under the constitution.
Najua unakimbia hoja zangu nikekuuliza. Tueleze how Samia anakuwa na power hiyo?
Najua huwezi kujibu swali hili utakuja na mbwembwe tu.

Kenya mmekuja na katiba ya Corruption Devolution
 
The old Provincial Administration…. Enforced the KANU philosophy of the one finger salute…🤣🤣🤣…. Imagine this where Tanzania is at the moment…
They still attend village barazas summoned by politicians pretending to listen to their plea at the grassroot level. Unapata Baba ya mtu anasomewa kama mtoto ju eti sijui hajapigia waziri mkuu makofi. 😂 😂 😂
 
They still attend village barazas summoned by politicians pretending to listen to their plea at the grassroot level. Unapata Baba ya mtu anasomewa kama mtoto ju eti sijui hajapigia waziri mkuu makofi. 😂 😂 😂
Kwisha habari yako. Sasa tuletee projects za Counties from OSR.
 
Najua unakimbia hoja zangu nikekuuliza. Tueleze how Samia anakuwa na power hiyo?
Najua huwezi kujibu swali hili utakuja na mbwembwe tu.

Kenya mmekuja na katiba ya Corruption Devolution
A whole county assembly na picha ya President, eti Arusha tunakupenda. Anapendwa kwani kazi ya bwana yake ni gani? 😂 😂 Hii ni upuzi bana. Alafu unatuandikia a lot of nonsense hapa trying to justify how bongoslum kuna devolution.


View: https://www.instagram.com/p/DYSW4yIiCfl/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Ukweli wa Katiba yenu huu hapa

Baada ya machafuko ya 2007/2008, Wakenya waliamini kuwa kila kabila likiwa na "ulaji" (bajeti) wake katika eneo lake (County), vurugu za kugombea kiti cha Rais Nairobi zitapungua.
Huwa wanapeana shift kuonesha ujinga wao.
Hivi kama kitu hawakijui si wapige kimya wasichangie chochote!
 
A whole county assembly na picha ya President, eti Arusha tunakupenda. Anapendwa kwani kazi ya bwana yake ni gani? 😂 😂 Hii ni upuzi bana. Alafu unatuandikia a lot of nonsense hapa trying to justify how bongoslum kuna devolution.


View: https://www.instagram.com/p/DYSW4yIiCfl/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

UK all developed country Picha of head of state zinakuwa kwenye Government office. Mbumbumbu unataka kujifanya upo na akili. Idiot

Hata Kenya, picha ya Rais (mfano William Ruto) hutundikwa katika ofisi zote za serikali.

Ujinga upo kichwani mwako na huna elimu ya protocol
 
nairobae mwaiofhawaii Nimegundua wakenya wengi hawajui kuhusu nchi yao. Wamekubali kulishwa matango pori na wanasiasa wao na kuyabeba. Nimeshangaa nairobae kutokuelewa protocol ya picha ya Rais. Hajui hata sheria ya nchi yao inataka kila ofisi ya serikali kutundika picha ya Ruto.

nairobae you are such an idiot

Pambana na hunger unazidi kuwa mpumbavu
 
UK all developed country Picha of head of state zinakuwa kwenye Government office. Mbumbumbu unataka kujifanya upo na akili. Idiot

Hata Kenya, picha ya Rais (mfano William Ruto) hutundikwa katika ofisi zote za serikali.

Ujinga upo kichwani mwako na huna elimu ya protocol
Picha ya Rais tunaiona hapo juu, hio ingine ya kumpenda nikama hana bwana ndio tunaongelea, don't be foolish.
 
Iringa town, Tanzania 🇹🇿
Screenshot_20260514-002123.png
 
nairobae mwaiofhawaii Nimegundua wakenya wengi hawajui kuhusu nchi yao. Wamekubali kulishwa matango pori na wanasiasa wao na kuyabeba. Nimeshangaa nairobae kutokuelewa protocol ya picha ya Rais. Hajui hata sheria ya nchi yao inataka kila ofisi ya serikali kutundika picha ya Ruto.

nairobae you are such an idiot

Pambana na hunger unazidi kuwa mpumbavu
Kenya hakuna sheria kama hio bloody fool. Hizo ni ufala ziliisha na Moi.
 
Kenya hakuna sheria kama hio bloody fool. Hizo ni ufala ziliisha na Moi.
Nimesema you are an idiot.
JF Ni platform ya wasomi na wanoheshimika. Acha kuleta mihemko ya twitter hapa. Ngoja sasa nikufundishe sheria za kenya hapa:
Tuanze
The National Flag, Emblems and Names Act (Sura ya 99 ya Sheria za Kenya) Kifungu cha 3

The Constitution of Kenya (2010), Ibara ya 131(1)(e)

Standing Orders / Circulars

Kenya Government Code of Regulations (Revised 2006/2014

Presidential Circular No. 1 of 2023 (Organization of Government)

Kenya Public Service Commission (PSC) Discipline Manual Kifungu cha 4.2

We do not use emotions here at JF

Ficha upumbavu wako
 
Nimesema you are an idiot.
JF Ni platform ya wasomi na wanoheshimika. Acha kuleta mihemko ya twitter hapa. Ngoja sasa nikufundishe sheria za kenya hapa:
Tuanze
The National Flag, Emblems and Names Act (Sura ya 99 ya Sheria za Kenya) Kifungu cha 3

The Constitution of Kenya (2010), Ibara ya 131(1)(e)

Standing Orders / Circulars

Kenya Government Code of Regulations (Revised 2006/2014

Presidential Circular No. 1 of 2023 (Organization of Government)

Kenya Public Service Commission (PSC) Discipline Manual Kifungu cha 4.2

We do not use emotions here at JF

Ficha upumbavu wako
Wapi picha ya Rais hapo? We ni fala.
 
Billions you say, but you're still a least developed country! Alafu unaita wengine wajinga
Wewe ni mjinga kwakua sisi ndio kwanza tunaanza, baada ya nusu karne tunapigana vita isiyo yetu. Nyie miaka yote mko bize kukuza uchumi since independence, leo hii nchi yenu ni ukabila tu na ni nchi inategemea chakula cha msaada. 🚮
You can’t be serious either… with your so called billions and billions of dollar investment, why are you still behind Kenya in development index, why are you still stuck in LDC status ?…
Rating agencies are western owned and administered. Hawawezi tupa marks nzuri since sisi ni wasocialist. wewe endelea kusifiwa kwenye makaratasi wakati mnakufa njaa.

Index??
What kind of development are you on about?
 
Which laws? Punguza kuropokwa Katiba ya Kenya haitambui hio upuzi ya President's portrait.
Acha ubishani wa kipumbavu. Kama huna knowledge ya sheria Tafuta mjuzi akufundishe. Google, Gemini and Chatgp are there to help you.
Ziweke hizi utajifunza na utafunga domo lako:

The National Flag, Emblems and Names Act (Sura ya 99 ya Sheria za Kenya) Kifungu cha 3

The Constitution of Kenya (2010), Ibara ya 131(1)(e)

Standing Orders / Circulars

Kenya Government Code of Regulations (Revised 2006/2014

Presidential Circular No. 1 of 2023

government protocol/administrative directive
 
Acha ubishani wa kipumbavu. Kama huna knowledge ya sheria Tafuta mjuzi akufundishe. Google, Gemini and Chatgp are there to help you.
Ziweke hizi utajifunza na utafunga domo lako:

The National Flag, Emblems and Names Act (Sura ya 99 ya Sheria za Kenya) Kifungu cha 3

The Constitution of Kenya (2010), Ibara ya 131(1)(e)

Standing Orders / Circulars

Kenya Government Code of Regulations (Revised 2006/2014

Presidential Circular No. 1 of 2023
Wapi president's portrait hapo? Si unaona we ni fala.
 
Ndio maana ninakuambia unasikiliza sana wanasiasa bila kusoma sheria zenu you are stupid
Nimekuwekea sheria kama msingi ili usome wewe unaniletea matamko ya wanasiasa
Twende:

Executive Order No. 1 of 2023

This is the link

I told to get help from google Gemini or chatgpt
 
Back
Top Bottom