Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No single company from Vumbistan.

1000269166.jpg
 
Angalia Page ya pili kuhusu miradi inayofanyika kati ya Tanzania na Uganda

1778602636810.png


1778602659187.png


  • Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).
  • Reli ya kisasa (SGR) kuanzia Isaka, Lusahunga, Murongo/Kikagati hadi Mpondwa nchini Uganda.
  • Bomba la gesi asilia.
  • Bomba la mafuta yaliyosafishwa.
  • Ujenzi wa barabara.
 
Kawa Winga wa Dangote.

Ndio maana alimwalika Museven, na kaja TZ kushawishi.

Na Dangote kasema anamsikiliza yeye, maana yake anategema majibu kutoka kwake, kama BLOCK lote limekubali.
Let's assume this is true. Sasa don't you believe that Ruto and Kenya in general ndio kusema ukanda huu?
 
Back
Top Bottom