Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee Kenya is not Decentralized Government but it is a devolved government.

Nikufundishe hilo? Tanzania is the first country to implement D by D policy.
Most countries zinakuja kujifunza Tanzania

Devolution ya Kenya is most political than Administration

Kama unataka kujifunza nitaeleza vizuri sana.
Sisi tulianza 1972 kama sikosei
 
Sisi tulianza 1972 kama sikosei
Exactly Kwenye Sera ya Devolution wao ndio wameanza 2010 kwenye katiba yao. Badala ya Kuhimiza maendeleo zera yao imekuwa ya kisiasa zaidi katika kugawana maeneo na kuwepo na maraisi wadogo kila eneo.

Ni ngumu sana kusonga mbele kwa sera yao hii. Ruto anaongelea refinery Mombassa. Kwake Mombassa ni kama foreign country hana power ya kisiasa.

Ndio maana anapiga kelele ili kuleta ushawishi wa kisiasa.
Nitaleta detail ya kikatiba kati ya Tanzania na Kenya hapa hapa kuonesha namna walivyobugi
 

Tanzania vs Kenya - Policy: Understanding the Difference Between Decentralization by Devolution (D by D) and Devolution​

Tanzania’s D by D Model: Administrative Decentralization​

Tanzania officially adopted the Decentralization by Devolution (D by D) policy during the 1990s as part of public sector reforms. The goal was to transfer responsibility for service delivery from the central government to Local Government Authorities (LGAs), commonly known as councils or municipalities.
Under this system:
  • The central government formulates policy.
  • Ministries provide standards and oversight.
  • Local governments implement projects and deliver services.
The system is heavily coordinated through TAMISEMI (President’s Office – Regional Administration and Local Government).
This means sectors such as:
  • education,
  • primary healthcare,
  • local roads,
  • water projects,
  • sanitation,
  • agricultural extension services,
are largely implemented at council level.

For example, in education:
  • teachers in public primary and secondary schools are managed through local authorities,
  • school infrastructure projects are executed by councils,
  • capitation grants are disbursed through local government systems.
This is why Tanzania’s Ministry of Education budget alone does not fully represent the country’s total education spending. A large portion of implementation funds flows through TAMISEMI and local councils.
Kenya introduced a much more politically autonomous structure through the 2010 Constitution, creating 47 County Governments.
Unlike Tanzania’s administrative decentralization, Kenya’s devolution created:
  • Governors,
  • County Assemblies,
  • County Executives,
  • independent county budgets,
  • and constitutionally protected local political authority.
Counties in Kenya function almost like semi-autonomous regional governments.
They control major functions such as:
  • county health systems,
  • local trade,
  • agriculture,
  • urban planning,
  • county roads,
  • local taxation.
However, some key sectors remain highly centralized, especially education.
For example:
  • teachers are employed nationally through the Teachers Service Commission (TSC),
  • national curriculum remains centralized,
  • national examinations are controlled by the central government,
  • universities operate under national structures.
As a result, Kenya’s counties have stronger political power than Tanzania’s councils, but less operational control over some major national services such as education.
The major distinction between the two systems lies in what exactly is being decentralized.
  • administration,
  • implementation,
  • service delivery.
  • political power,
  • governance authority,
  • regional autonomy.
In practical terms:
  • Tanzania pushes government services downward.
  • Kenya pushes political power outward.
Many observers mistakenly assume Tanzania is highly centralized because the country does not have governors or regional political governments like Kenya.
However, in terms of actual implementation of public services, Tanzania is deeply decentralized through:
  • councils,
  • municipalities,
  • district authorities,
  • and TAMISEMI structures.
A significant share of:
  • school construction,
  • teacher management,
  • healthcare facilities,
  • rural infrastructure,
  • and local development spending
happens outside sector ministries and through local government authorities.
This creates a model where:
  • national policy remains unified,
  • but implementation is localized.
Kenya’s model gives local populations stronger political representation.

Governors are directly elected and possess substantial visibility and influence. County governments can:
  • prioritize local development differently,
  • negotiate investments,
  • shape county-level agendas,
  • and compete for regional growth.
This has increased local political participation and regional competition.
However, the system has also introduced:
  • duplication of bureaucracy,
  • rising administrative costs,
  • conflicts between national and county governments,
  • and uneven development across counties.
Tanzania’s D by D approach tends to maintain stronger national coordination.
Because local authorities operate under nationally coordinated frameworks:
  • national priorities are easier to implement uniformly,
  • large-scale programs can be rolled out faster,
  • and sector reforms remain more standardized.
This is particularly visible in:
  • school expansion,
  • health facility construction,
  • free education programs,
  • and national infrastructure rollout.
The tradeoff is that local governments possess less independent political power compared to Kenya’s counties.
There is no universal answer.
  • political autonomy,
  • regional representation,
  • local democratic visibility.
  • centralized coordination,
  • nationwide program implementation,
  • service delivery integration.
Ultimately, the two countries reflect different state philosophies:
  • Kenya prioritizes devolved political governance.
  • Tanzania prioritizes decentralized administrative execution.



 

Tanzania vs Kenya - Policy: Understanding the Difference Between Decentralization by Devolution (D by D) and Devolution​

Tanzania’s D by D Model: Administrative Decentralization​

Tanzania officially adopted the Decentralization by Devolution (D by D) policy during the 1990s as part of public sector reforms. The goal was to transfer responsibility for service delivery from the central government to Local Government Authorities (LGAs), commonly known as councils or municipalities.
Under this system:
  • The central government formulates policy.
  • Ministries provide standards and oversight.
  • Local governments implement projects and deliver services.
The system is heavily coordinated through TAMISEMI (President’s Office – Regional Administration and Local Government).
This means sectors such as:
  • education,
  • primary healthcare,
  • local roads,
  • water projects,
  • sanitation,
  • agricultural extension services,
are largely implemented at council level.

For example, in education:
  • teachers in public primary and secondary schools are managed through local authorities,
  • school infrastructure projects are executed by councils,
  • capitation grants are disbursed through local government systems.
This is why Tanzania’s Ministry of Education budget alone does not fully represent the country’s total education spending. A large portion of implementation funds flows through TAMISEMI and local councils.
Kenya introduced a much more politically autonomous structure through the 2010 Constitution, creating 47 County Governments.
Unlike Tanzania’s administrative decentralization, Kenya’s devolution created:
  • Governors,
  • County Assemblies,
  • County Executives,
  • independent county budgets,
  • and constitutionally protected local political authority.
Counties in Kenya function almost like semi-autonomous regional governments.
They control major functions such as:
  • county health systems,
  • local trade,
  • agriculture,
  • urban planning,
  • county roads,
  • local taxation.
However, some key sectors remain highly centralized, especially education.
For example:
  • teachers are employed nationally through the Teachers Service Commission (TSC),
  • national curriculum remains centralized,
  • national examinations are controlled by the central government,
  • universities operate under national structures.
As a result, Kenya’s counties have stronger political power than Tanzania’s councils, but less operational control over some major national services such as education.
The major distinction between the two systems lies in what exactly is being decentralized.
  • administration,
  • implementation,
  • service delivery.
  • political power,
  • governance authority,
  • regional autonomy.
In practical terms:
  • Tanzania pushes government services downward.
  • Kenya pushes political power outward.
Many observers mistakenly assume Tanzania is highly centralized because the country does not have governors or regional political governments like Kenya.
However, in terms of actual implementation of public services, Tanzania is deeply decentralized through:
  • councils,
  • municipalities,
  • district authorities,
  • and TAMISEMI structures.
A significant share of:
  • school construction,
  • teacher management,
  • healthcare facilities,
  • rural infrastructure,
  • and local development spending
happens outside sector ministries and through local government authorities.
This creates a model where:
  • national policy remains unified,
  • but implementation is localized.
Kenya’s model gives local populations stronger political representation.

Governors are directly elected and possess substantial visibility and influence. County governments can:
  • prioritize local development differently,
  • negotiate investments,
  • shape county-level agendas,
  • and compete for regional growth.
This has increased local political participation and regional competition.
However, the system has also introduced:
  • duplication of bureaucracy,
  • rising administrative costs,
  • conflicts between national and county governments,
  • and uneven development across counties.
Tanzania’s D by D approach tends to maintain stronger national coordination.
Because local authorities operate under nationally coordinated frameworks:
  • national priorities are easier to implement uniformly,
  • large-scale programs can be rolled out faster,
  • and sector reforms remain more standardized.
This is particularly visible in:
  • school expansion,
  • health facility construction,
  • free education programs,
  • and national infrastructure rollout.
The tradeoff is that local governments possess less independent political power compared to Kenya’s counties.
There is no universal answer.
  • political autonomy,
  • regional representation,
  • local democratic visibility.
  • centralized coordination,
  • nationwide program implementation,
  • service delivery integration.
Ultimately, the two countries reflect different state philosophies:
  • Kenya prioritizes devolved political governance.
  • Tanzania prioritizes decentralized administrative execution.

ndio maana tunaona matokeo chanya Tanzania bila munkari!
 
ambayo hailipwi in full! hata sie tuna budget ya city/town/district councils pia!
Kwetu Tanzania Halmashauri zinakusanya mapato vizuri sana kwasababu yupo mratibu ambaye ni TAMISEMI, huko kenya mapato ya County yanasimamiwa na mwanasiasa ambaye ni Gavana, kwahiyo hapo hakuna utaalamu wowote.

Kwetu Meyor yupo kisiasa bali kuna mtu anaitwa Mkurugenzi. Makusanyo yetu na bajeti za Halmashauri zinakuwa chini ya baraza la madiwani na kapato hukusanywa kwa kutumia mfumo wa LGRCIS

Mfumo wa kenya unavutia sana ufisadi na rushwa. Hatutakiwi hata siku moja kuwa na mfumo kama wa kenya.

Check tofauti


KipengeleHalmashauri za TanzaniaCounties za Kenya
UsimamiziInaratibiwa na TAMISEMI (Moja kwa moja).Inaratibiwa na Gavana (Nguvu ya Kisiasa).
UvujajiMdogo (Mifumo ya kielektroniki imefungwa nchi nzima).Mkubwa (Mifumo ya kaunti inatofautiana na haina udhibiti mkali).
Gharama za UkusanyajiChini (Inatumia watumishi wa umma waliopo).Juu (Kaunti nyingi hukodisha kampuni binafsi kukusanya mapato).
 
In
Mzee Kenya is not Decentralized Government but it is a devolved government.

Nikufundishe hilo? Tanzania is the first country to implement D by D policy.
Most countries zinakuja kujifunza Tanzania

Devolution ya Kenya is most political than Administration

Kama unataka kujifunza nitaeleza vizuri sana.
Ingekuwa tofauti wasingekuwa na allocation kwenda counties🤣.
Inshort bajeti yao ni ndogo sana, kupitia local governments zinatengenga fedha za maendeleo kulingana na mapato. Mfano dar , municipality zote zinatakiwa kutenga 70% ya makusanyo yao kwenye maendeleo huku wakitakiwa kuwa na 10% kwa ajili ya mikopo.
 
Did Dangote told you that he is planning to use a railway?🤣🤣😂
Hii kitu ulishaiona maisha yako? Considering our sgr is loading 1.7 times of your SGR capacity, reaching the destination earlier 1.9 times than you

images (3).jpeg
 
Leo hii ndio mmegundua mambo ya Bonds?😂😂😂.

By the way Kenya's financial assets are 10 times ya Tanzania.
Hizo assets na bado hata kufund simple stadium like Talanta mpaka mtapeliwe 10 times na mchina! 😢
 
Kwetu Tanzania Halmashauri zinakusanya mapato vizuri sana kwasababu yupo mratibu ambaye ni TAMISEMI, huko kenya mapato ya County yanasimamiwa na mwanasiasa ambaye ni Gavana, kwahiyo hapo hakuna utaaramu wowote.

Kwetu Meyor yupo kisiasa bali kuna mtu anaitwa Mkurugenzi. Makusanyo yetu na bajeti za Halmashauri zinakuwa chini ya baraza la madiwani na kapato hukusanywa kwa kutumia mfumo wa LGRCIS

Mfumo wa kenya unavutia sana ufisadi na rushwa. Hatutakiwi hata siku moja kuwa na mfumo kama wa kenya.

Check tofauti

KipengeleHalmashauri za TanzaniaCounties za Kenya
UsimamiziInaratibiwa na TAMISEMI (Moja kwa moja).Inaratibiwa na Gavana (Nguvu ya Kisiasa).
UvujajiMdogo (Mifumo ya kielektroniki imefungwa nchi nzima).Mkubwa (Mifumo ya kaunti inatofautiana na haina udhibiti mkali).
Gharama za UkusanyajiChini (Inatumia watumishi wa umma waliopo).Juu (Kaunti nyingi hukodisha kampuni binafsi kukusanya mapato).

Correction mfumo wa ukusanyaji mapato sasa hivi ni TAUSI hapa hakuna Cha kuforge risiti Wala nini.
Waziri wa tamisemi anaweza kuona makusanyo yote ya halmashauri na defaulters,
Bajeti target za makusanyo lazima zifikie walau kwa 60% ya makusanyo.
Kuna mapato lindwa na mapato yasiyolindwa.
Mapato lindwa ni ya vijiji na hospitali za wilaya na zahanati.
Mapato yasiyolindwa ni Yale ya halmashauri .
 
Kwetu Tanzania Halmashauri zinakusanya mapato vizuri sana kwasababu yupo mratibu ambaye ni TAMISEMI, huko kenya mapato ya County yanasimamiwa na mwanasiasa ambaye ni Gavana, kwahiyo hapo hakuna utaaramu wowote.

Kwetu Meyor yupo kisiasa bali kuna mtu anaitwa Mkurugenzi. Makusanyo yetu na bajeti za Halmashauri zinakuwa chini ya baraza la madiwani na kapato hukusanywa kwa kutumia mfumo wa LGRCIS

Mfumo wa kenya unavutia sana ufisadi na rushwa. Hatutakiwi hata siku moja kuwa na mfumo kama wa kenya.

Check tofauti

KipengeleHalmashauri za TanzaniaCounties za Kenya
UsimamiziInaratibiwa na TAMISEMI (Moja kwa moja).Inaratibiwa na Gavana (Nguvu ya Kisiasa).
UvujajiMdogo (Mifumo ya kielektroniki imefungwa nchi nzima).Mkubwa (Mifumo ya kaunti inatofautiana na haina udhibiti mkali).
Gharama za UkusanyajiChini (Inatumia watumishi wa umma waliopo).Juu (Kaunti nyingi hukodisha kampuni binafsi kukusanya mapato).

Inshort tukija kwenye local governments, Tanzania Ina perform vizuri sana, ni nadra kukuta shule za miti kama kenya
 
uzuri sisi tumeshika mpini! OP inaishia Tanga so we have upperhand in this! tunajua kelele zao ati Tanga with the most modern terminal in Africa is not deep water port! Yaani wanamaanisha crude oil itabebwa na mitumbwi kutoka Chongoleani! These people r wicked!


View: https://www.instagram.com/p/DYNGhZ9DRML/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

Wanafikiri oil tankers ni kama container ships 😂😂 hata Dangote akichagua Kenya, meli za mafuta hazotadock kwenye port berths kama wanavyodhani
 
Back
Top Bottom