Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dangote ndio ataamua, maana Museveni yuko tayari kuuza sehemu ya crude kwa Dangote.


Kenya hana cha ku-offer. Ni mpiga kelele tu.

Hiyo refinery, inaweza kujengwa na Uganda, TZ na Dangote bila kuhusisha Kenya.

Baada ya Kenya kupoteza EACOP, na sisi tunayo na tuna LNG amepaniki.

South Sudan aliokuwa anawategemea na wao mafuta yao wanauza kupitia Sudan.

Kwasasa anapambana na yeye kujichomeka kwenye mradi kwa kununua hizo hisa za REFINERY.

Shida kubwa wakenya wengi ni VIAZI hawaelewi zaidi ya kukaza mafuvu, tu ila viongozi wao WAMEZIDIWA.
Anayeuza mafuta sio UG ni TOTAL ndio anajua anapeleka wapi soko lipi UG anayo say only kwenye surplus crude ambayo ndio itakuwa targeted kwa refinery fuatilia speech ya Museveni on this
 
Dangote ran away from Kenya and built a cement factory in mtwara was Kenya a socialist state then?
He got met with powerful cartels of the cement industry. Now he has decided to venture into the industry where no Kenyan is operating and he will not have to deal with the cartels he met last time he wanted to set up the cement factory.
 
Rudi usome kile Dangote alisema kwa FT, wacha kufanya guesswork.

Katoa masharti kwa Kasongo.. Je, ataweza kuyatimiza? Ana influence ya kutosha kuwapanga viongozi wote wa E.A wakubali kuguarantee hiyo refinery na kumpatia uhakika wa soko wa mafuta yake?

Unadhani Dangote anatoa tu Hela mfukoni kwake kisa anazo nyingi? Anataka security kutoka kwa each member states... Ambapo TZ, UG na Burundi hawawezi ku support hiyo kitu... Na Rwanda pia.
 
Katoa masharti kwa Kasongo.. Je, ataweza kuyatimiza? Ana influence ya kutosha kuwapanga viongozi wote wa E.A wakubali kuguarantee hiyo refinery na kumpatia uhakika wa soko wa mafuta yake?

Unadhani Dangote anatoa tu Hela mfukoni kwake kisa anazo nyingi? Anataka security kutoka kwa each member states... Ambapo TZ, UG na Burundi hawawezi ku support hiyo kitu... Na Rwanda pia.
Yaani Dangote ajenge Refinery karibu na Al Shabab 🤣🤣🤣🤣Ujenzi wa Refinery unachukua zaidi ya miaka 10. Je, kenya inaaminika? Dangote anataka kuziingiza nchi za EA zi support jambo lake.
 
Anayeuza mafuta sio UG ni TOTAL
Remember Total has no plan of refining UG oil. The same total is in Nigeria and Angola but they have never built any refinery there despite their huge oil reserve.

Just like I said, Total will always be happy to sell crude oil to their European counterparts, refine them there and resell the refined oil back to the crude owner😂😂🤣
 
Sasa mbona mnalia?😂😂🤣
Mmeshatupatia idea tayari, subiri sasa tuanze siasa zetu.
1. Kenya mlianza ujenzi wa SGR lakini kwa sasa mnaonekana vituko.
2. Kenya mlianza idea ya BRT lakini implemented Tanzania.
3. Wakenya mlikuja na issue ya Bomba la mafuta kutoka Uganda lakini limejengwa Tanzania.
4. Sasa mmekuja na idea ya refinery (Subiri utaona - wazo tumelipata tunaanza siasa zetu)
 
Katoa masharti kwa Kasongo.. Je, ataweza kuyatimiza? Ana influence ya kutosha kuwapanga viongozi wote wa E.A wakubali kuguarantee hiyo refinery na kumpatia uhakika wa soko wa mafuta yake?

Unadhani Dangote anatoa tu Hela mfukoni kwake kisa anazo nyingi? Anataka security kutoka kwa each member states... Ambapo TZ, UG na Burundi hawawezi ku support hiyo kitu... Na Rwanda pia.
The only masharti Ruto amepewa is to say Yes or No.
 
Back
Top Bottom