ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nasubiri bro yani kwenye swala la utalii hilo sahau kilimanjaro pekee inapokea over 10 direct flights from different companies achilia mbali dar na znzpwahahaha😀😀😀😀subiri nakupa jibu
nasubiri bro yani kwenye swala la utalii hilo sahau kilimanjaro pekee inapokea over 10 direct flights from different companies achilia mbali dar na znzpwahahaha😀😀😀😀subiri nakupa jibu
Pwahahaha tanzania wana direct flight kwenda USA?ikiwa wewe unaongelea direct flight na sisi tulishaongelea ndio maana mwaka huu 787 ikitua tu safari ya kwanza inaanza america na europe,
tanzania imepokea over 2 million tourist 2016Kenya receives mor tourists than Tanzania...pesa ndio mnatengnza nyingi toka utalii ila kwa wingi wa watalii ni Kenya
nasubiri bro yani kwenye swala la utalii hilo sahau kilimanjaro pekee inapokea over 10 direct flights from different companies achilia mbali dar na znz
unajua kwann mumekurupuka kuanza direct to usa u knw the reason???😀😀😀😀Pwahahaha tanzania wana direct flight kwenda USA?
Hapo ndipo mnapaswa kujiuliza mnakosea wapi?, utalii kwetu ni biashara yenye faida kubwa, kwanini msijekujifunza kwetu ili na nyinyi mfaidike na utalii wenu, au lengo lenu sio pesa?Kenya receives mor tourists than Tanzania...pesa ndio mnatengnza nyingi toka utalii ila kwa wingi wa watalii ni Kenya
hapo hutakuwa unadanganya ila kwanzia 2015 kurudi nyuma tumepokea turists zaiditanzania imepokea over 2 million tourist 2016
kenya imepokea 700k 2016 so😀😀😀
niko tayari kukuletea ushahidi
safi kabisa umekuka kwenye point, kwa taarifa yako bro watalii wanaongoza kuja tanzania kutalii ni kutoka asia alaf wakifuatia europe
mumeanza kuzidiwa na tanzania juu ya utalii from 2013 na hapo ndipo shirika lenu lilipoanza kupata hasara na ilikua jitihada kubwa sana ya kikwete😀😀hapo hutakuwa unadanganya ila kwanzia 2015 kurudi nyuma tumepokea turists zaidi
Sasa ndugu unaongelea USA wakati unajua ndio tunalifufua shirika letu la ndege.. Soon hizo ndege zikija Hiyo route lazima iwepo maana ndio target yetu kubwadoes Tanzania have direct USA flights? jibu hili kwanza bro kisha tuendelee toka hapo
data bro...safi kabisa umekuka kwenye point, kwa taarifa yako bro watalii wanaongoza kuja tanzania kutalii ni kutoka asia alaf wakifuatia europe
bro ushahidi huu hapa utalii kenya umeporomoka 2013 na hapo ndipo loss ikaanza😀😀😀😀
Pwahahahaha in Africa, only 5 countries fly direct to USA...Kenya will be the 6th bro...Sasa ndugu unaongelea USA wakati unajua ndio tunalifufua shirika letu la ndege.. Soon hizo ndege zikija Hiyo route lazima iwepo maana ndio target yetu kubwa
tena mwaka jana wameondoa VAT kwa tourist sisi tukaweka VAT na bado wanamiminika kila leo serengeti yenyewe imezidiwa kabisa😀😀😀😀Hapo ndipo mnapaswa kujiuliza mnakosea wapi?, utalii kwetu ni biashara yenye faida kubwa, kwanini msijekujifunza kwetu ili na nyinyi mfaidike na utalii wenu, au lengo lenu sio pesa?
nakubaliana ila Kenya imekuwa ikipokea tourists zaidi kuliko Tanzania...ama unabisha? unajua niko tayari kuleta facts ndugu yangubro ushahidi huu hapa utalii kenya umeporomoka 2013 na hapo ndipo loss ikaanza😀😀😀😀
View attachment 672959
So you can and we can't?? How stupid that is?Pwahahahaha in Africa, only 5 countries fly direct to USA...Kenya will be the 6th bro...
pitia hii link apa bro haswaa kwa ile graph inayponyesha utalii kwa miaka 10tena mwaka jana wameondoa VAT kwa tourist sisi tukaweka VAT na bado wanamiminika kila leo serengeti yenyewe imezidiwa kabisa😀😀😀😀
my brother, do you know when we applied for direct flights to USA? we applied in 2010 na leo ndio tunakabidhiwa uhuru huo...mara nyingi wamekuwa wakisema kuwa airport yetu haijafikia standard za kidunia.ndio maana wamkuwa wakikataa toka 2010..sembuse airport yenu?So you can and we can't?? How stupid that is?