hakuna mtu amekataa from 2013 tanzania ilianza kupokea watalii wengi sana kuliko kenya tena through direct flights ndipo hapo kq ilipoanza kupata hasara na yote ilikua jitihada ya kikwete kuzunguka karibuni dunia nzima kutangaza utalii na mlima kilimanjaro😀😀😀😀nakubaliana ila Kenya imekuwa ikipokea tourists zaidi kuliko Tanzania...ama unabisha? unajua niko tayari kuleta facts ndugu yangu
sasa ndio mfikie KQ hata kama ina losses jipatieni miaka 10 minimumShirika letu la ndege lilikufa tangu limefufuliwa walau ndio kamwanga kameanza kuonekana
Sisi lengo letu ni pesa, hata kama anakuja Bill Gate peke yake kwa mwaka na atuambie tusiruhusu mtalii hata mmoja kuja Tanzania, atalipa $3B kwa mwaka, poa tu, nyeye endeleeni kuhesabu vichwanakubaliana ila Kenya imekuwa ikipokea tourists zaidi kuliko Tanzania...ama unabisha? unajua niko tayari kuleta facts ndugu yangu
yani kwenye mambo yanayohusu utalii hio sahau tena bro labda nikuulize unajua sababu kubwa kq kuanzisha flight to america???nakubaliana ila Kenya imekuwa ikipokea tourists zaidi kuliko Tanzania...ama unabisha? unajua niko tayari kuleta facts ndugu yangu
Focus ndio kitu Muhimu, inawezekana sana maana utalii unaliingizia pesa nyingi hili taifa. ..,Hatutaki kabisa aibu ndogo ndogo tumeacha uzembesasa ndio mfikie KQ hata kama ina losses jipatieni miaka 10 minimum
pwahahaha 2015 data nimekupa bro na ukaona kuwa Knya ilipoka tourists zaidi...ila hata wacha hilo bro...all these 5 million tourists coming to EA especially wale wanaelekea Uganda woet wanapitia Kenya...Uganda receives 1.3 million tourists per year and Kenya receives about 1.2 million...hao ni wangapi wametua JKIA?hakuna mtu amekataa from 2013 tanzania ilianza kupokea watalii wengi sana kuliko kenya tena through direct flights ndipo hapo kq ilipoanza kupata hasara na yote ilikua jitihada ya kikwete kuzunguka karibuni dunia nzima kutangaza utalii na mlima kilimanjaro😀😀😀😀
hongereni kwa hilo broFocus ndio kitu Muhimu, inawezekana sana maana utalii unaliingizia pesa nyingi hili taifa. ..,Hatutaki kabisa aibu ndogo ndogo tumeacha uzembe
kq haina ndege bro narudia kukwambia haina na haijawah kununua ndege cash, hzo ndege munakodisha toka kwa partners zikiwemo star allience, klm etc, na moja ya sababu kubwa ya loss ni leasing aircrafts huo ndio ukweli ndio maana mwaka jana mumeanza kurudisha ndege kwa wenyewe😀😀😀sasa ndio mfikie KQ hata kama ina losses jipatieni miaka 10 minimum
sana sana ni kwasababu ya utalii na pia horticulture...Kenya exports alot of flowers and other perishable products to USA...yani kwenye mambo yanayohusu utalii hio sahau tena bro labda nikuulize unajua sababu kubwa kq kuanzisha flight to america???
kwa hiyo KQ wanatumia basi kusafirisha abiria sio?😀😀😀😀kq haina ndege bro narudia kukwambia haina na haijawah kununua ndege cash, hzo ndege munakodisha toka kwa partners zikiwemo star allience, klm etc, na moja ya sababu kubwa ya loss ni leasing aircrafts huo ndio ukweli ndio maana mwaka jana mumeanza kurudisha ndege kwa wenyewe😀😀😀
sasa remb tanzania imenunua ndege 7 kwa mpigo na zote zimeshalipiwa down payments na mwaka huu zinaingia ndege 4 jumla ikiwemo boeing 787 ya kwanza alaf 2019 inaingia 787 nyingine ya pili from manufacturer
mm nimekupa ya 2013😀😀😀😀😀pwahahaha 2015 data nimekupa bro na ukaona kuwa Knya ilipoka tourists zaidi...ila hata wacha hilo bro...all these 5 million tourists coming to EA especially wale wanaelekea Uganda woet wanapitia Kenya...Uganda receives 1.3 million tourists per year and Kenya receives about 1.2 million...hao ni wangapi wametua JKIA?
usijifanye hujaelewa bro😀😀😀😀😀😀kwa hiyo KQ wanatumia basi kusafirisha abiria sio?😀😀😀😀
Sasa JKIA ina kitu gani cha Zaid kushinda JNIA.. Kwani unafkiri Magufuli anachokifanya pale kupanua ule uwanja unafkiri target ya ni Nini?my brother, do you know when we applied for direct flights to USA? we applied in 2010 na leo ndio tunakabidhiwa uhuru huo...mara nyingi wamekuwa wakisema kuwa airport yetu haijafikia standard za kidunia.ndio maana wamkuwa wakikataa toka 2010..sembuse airport yenu?


hahahah siki bro kenya na tanzania ziko kwenye ushindani wakimaendeleo na huo ndio ukweli sababu kubwa ya kenya kuanzisha direct flight to america amefanya mapema kwasababu tanzania mwaka huu inaanza safari hio so ni ushindani wakimaendeleosana sana ni kwasababu ya utalii na pia horticulture...Kenya exports alot of flowers and other perishable products to USA...
data bro...kupayuka unapenda sana mwarabu😀😀😀leta data...nitakubali tu ukileta datamm nimekupa ya 2013😀😀😀😀😀
yani mwaka jana tanzania imepokea watalii over 2million na malengo yetu 2025 tutapokea watalii over 8 million na hapo tushakua na ndege zetu wenyewe
mm siwez kusema uzembe, tanzania ilichelewesha maendeleo maksudi ili watanzania wapate elimu ya kutosha ili waje kushika kazi wenyewe kuliko kazi kushikwa na wageni ingeleta vita kubwa kama unavoona south africa leoFocus ndio kitu Muhimu, inawezekana sana maana utalii unaliingizia pesa nyingi hili taifa. ..,Hatutaki kabisa aibu ndogo ndogo tumeacha uzembe
Pwahahaha kwanza hata airport yenu iko katika hali mbaya...nimekwambia jipatieni miaka 10 kwanza...Rwandair stands a bettr chance than Tanzania airwayshahahah siki bro kenya na tanzania ziko kwenye ushindani wakimaendeleo na huo ndio ukweli sababu kubwa ya kenya kuanzisha direct flight to america amefanya mapema kwasababu tanzania mwaka huu inaanza safari hio so ni ushindani wakimaendeleo
Sasa JKIA ina kitu gani cha Zaid kushinda JNIA.. Kwani unafkiri Magufuli anachokifanya pale kupanua ule uwanja unafkiri target ya ni Nini?
Nisikulaumu labda uangalie hii video then jipe majibu mwenyewe
Hii ni Tz mpya sio ya ile ulioizoea
sasa wewe kwa akili yako ulete watalii wengi kenya 2013 alaf shirika liendeshe hasara😀😀😀😀😀data bro...kupayuka unapenda sana mwarabu😀😀😀leta data...nitakubali tu ukileta data