ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hio ilikua zaman sasa hvi kuna direct flights kibao dar es salaam, kilimanjaro, znz etc hakuna mtalii sasa anaetaka usumbufu na kupoteza pesa, kilimanjaro pekee inapokea watalii Over 10 directs flights of different destinations achilia mbali dar na zanzibarAmerican tourists heading to Tanzania and Uganda will have to pass through Nairobi first, perhaps even spend a night or two before heading to these LDC countries and come back again to Nairobi while they are heading back home...haha! we are the kings here...majority of EA tourists which are about 5 million a year may have to use JKIA or spend long hours connecting via dubai, london or qatar...
alaf kitu kingine tanzania pia inapokea watalii kupitia bandari na train kupitia south africa ambayo ni train ghali zaidi duniani na inakuja tanzania kuleta watalii zaidi ya mara 10 kwa mwaka
