stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,234
- 33,821
zile pale zimebaki kama historical sitesThe same mentality they had for BRT thinking if you take a paint and brush you can have a brt system 😂😂😂
zile pale zimebaki kama historical sitesThe same mentality they had for BRT thinking if you take a paint and brush you can have a brt system 😂😂😂
yaaani labda waweke meli ya kwenda kuchukua na kurudisha ila kama ni Pipe aisee hio hela tunaitaka, tena ni wakina Teargass wanalipa hio hela tunaitaka at the same time sisi hatutaki kuwauzia 😂 😂Sasa hata wakijenga si bado watapita kwenye territorial water yetu lazima watalipia .Inaweza ikawa Uganda wanavyolipa , tunawakaribisha waje kujenga watuongezee mapato 🤣🤣🤣🤣
Na uzuri wakati wa kujenga lazima wataajiri wabongo
You pay tax to pay interest on loans that will enable you to get more loansSo we are borrowing our taxes to pay loans? 🤣🤣😂🤣
Who are we borrowing those taxes from?😂😂🤣
Kwan ni mashindano ama watu waishi vizuri nchini? your the only one focused on GDP na currency value, sisi tunataka ela ifikie other Tanzanians kwenye chain nzima ya economyWill that make Tanzania bigger economy than Kenya?😂😂🤣
Si wachawi walituambi tutatoa LPG kwao😂😂😂🤣
View: https://x.com/i/status/2049739297251631418
Have you heard of something called nuclear energy?
![]()
Kenya Moves Forward with Plans for Country's First Nuclear Power Plant
Officials with Kenya's Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) said the country is on track to start construction on its first nuclear power plant bywww.powermag.com
And do you know that by the time you were electrifying your sgr, Kenya was producing more power than Tanganyika?
Hivi wewe dogo unatuonaje sisi? Sisi maneno kidogo vitendo vingi.Have you heard of something called nuclear energy?
![]()
Kenya Moves Forward with Plans for Country's First Nuclear Power Plant
Officials with Kenya's Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) said the country is on track to start construction on its first nuclear power plant bywww.powermag.com
And do you know that by the time you were electrifying your sgr, Kenya was producing more power than Tanganyika?
sasa how does that help kenya? and US isnt an oil producer rather an oil storage countryInfact US is now officially the largest oil producer in the world ( 14 million barrels a day). I know guys who became millionaires overnight by leasing their land in North Dakota to oil companies.
Hakuna mantiki ku link na Cabo Delgado wao wana gas na sisi tunayo link ya Mombasa from Dar ndio inatakiwa ila jamaa hela ya kuchangia gharama hawana fiscal space yao ni ndogo sana mkuu.Pipeline mbona ipo ile 524 km Mtwara-Dar pipeline inatakiwa iwe extended! Say +50 km to Cabo Delgado from Mnazi Bay Mtwara n 400 km from Dar to Mombasa!
Rostam si alikua anavuta?Hakuna mantiki ku link na Cabo Delgado wao wana gas na sisi tunayo link ya Mombasa from Dar ndio inatakiwa ila jamaa hela ya kuchangia gharama hawana fiscal space yao ni ndogo sana mkuu.
On books it seems like it is paying debts but in reality it is being swindled by gluttonous politicians. Fanyeni debt stock kwanza ndio mtajua reality yake ikoje. Mfano mzuri ni Talanta overpriced tag yote ni debt lakini a portion of inflated cost inaenda mifukoni mwa politicians.You are the same people who always tell us that 60% of our taxes are used to pay debts, now it's eaten by politicians? Which is which?😂😂🤣