Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Habari mbaya kwa kenge wa north hii.

Ni rasmi Sasa TZ Ina uhakika wa asilimia 100, Treni ya kisasa ya Umeme inatoka Dar Hadi Mwanza na kipande Cha kwenda Kigoma Hadi Burundi vinajengwa na mkandarasi yupo site na fedha za ujenzi ni uhakika zipoo.

Wakati kenge bado hawajaweza kujua wanakwenda Malaba lini baada ya China Kigoma kutoa fedha.. wamekbilia Citi Bank ya USA bado mambo magumu na Sasa wana plan ya kuwapigia magoti waarabu wawapatie mkopo .

Tanzania Corridor ndio Hub ya logistics ukanda huu kwa Sasa. Hakuna mpinzani tena... Tutaendela kushuhudia kelele za maumivu sana kutoka kwa kenge hawa.
 
But the last time I checked Nairobi collected More.
Leta data Buda hatutaki maneno?
Nairobi Iko na 13.1 bil au 262 bil tsh as per 2024/2025
Kumbuka nyinyi mpaka health facilities mnazijumlisha kwenye osr ila sisi tunazireport tofauti kama mapato lindwa.
 
Tukinunua kwenu, mnasema tunawategemea. Eti mnatishia tutakavyoumia mkikataa kutuuzia. Tukinunua kwengine mnanuna. Enyewe Kenya ndio kusema hii region.🤣🤣
Ngoja tuone hapo June endeleeni kujititimua! The wave is unavoidable! mara maize kutoka Zambia mara umeme kutoka Ethiopia mara gas kutoka Mozambique! As long as Museveni yupo upande wetu Ukunduni hamtoboi!
 
Bongo inajenga madaraja tu. 👇🏾
IMG_4587.jpeg
IMG_4588.jpeg
IMG_4589.jpeg
 
Habari mbaya kwa kenge wa north hii.

Ni rasmi Sasa TZ Ina uhakika wa asilimia 100, Treni ya kisasa ya Umeme inatoka Dar Hadi Mwanza na kipande Cha kwenda Kigoma Hadi Burundi vinajengwa na mkandarasi yupo site na fedha za ujenzi ni uhakika zipoo.

Wakati kenge bado hawajaweza kujua wanakwenda Malaba lini baada ya China Kigoma kutoa fedha.. wamekbilia Citi Bank ya USA bado mambo magumu na Sasa wana plan ya kuwapigia magoti waarabu wawapatie mkopo .

Tanzania Corridor ndio Hub ya logistics ukanda huu kwa Sasa. Hakuna mpinzani tena... Tutaendela kushuhudia kelele za maumivu sana kutoka kwa kenge hawa.
Wewe unaishi dunia gani nyamwezi,?
 
Habari mbaya kwa kenge wa north hii.

Ni rasmi Sasa TZ Ina uhakika wa asilimia 100, Treni ya kisasa ya Umeme inatoka Dar Hadi Mwanza na kipande Cha kwenda Kigoma Hadi Burundi vinajengwa na mkandarasi yupo site na fedha za ujenzi ni uhakika zipoo.

Wakati kenge bado hawajaweza kujua wanakwenda Malaba lini baada ya China Kigoma kutoa fedha.. wamekbilia Citi Bank ya USA bado mambo magumu na Sasa wana plan ya kuwapigia magoti waarabu wawapatie mkopo .

Tanzania Corridor ndio Hub ya logistics ukanda huu kwa Sasa. Hakuna mpinzani tena... Tutaendela kushuhudia kelele za maumivu sana kutoka kwa kenge hawa.

View: https://x.com/ReutersAfrica/status/2049224793350602997?s=20
 
Back
Top Bottom