President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 33,988
- 93,338
Kaka hapa unaandika hypothesis, lakini ki uhalisia ni kuwa mafuta yanahitajika sana, tena sana kama yanavyohitajika makaa ya mawe. Kila moja inafanya kazi katika sehemu yake. Tatizo wewe kaka unataka Petroleum ifanane na Natural Gas katika matumizi.ile ya mtwara according to my reserach inahitaji mitungi special lakini nlishaiona ikitumika mikochen ila yenyewe ni kwa pipe, inaingia home kama pipe za maji, ukiangalia soko kubwa la refinery tuseme ni vehicles and cooking, hizo jet and kutengeneza LAMI naona kama ni percent ndogo, alafu pia ukiangalia bei ya CNG kwenye magari ni kama 75% cheap kuliko petrol leave alone zile zinatumia umeme
Mm personally SIONI future kubwa sna ya mafuta but yataendelea kuwepo for those legacy engines na sehem uchumi mdogo, infact hata umeme wetu unatumia CNG ikitoka maji
Nb: Natural gas inahitaji storage kubwa copmared to mafuta. Ndio maana kuna LNG ambayo inasafirishwa kwenye meli kubwa kwenda kutumika kwenye viwanda kwa njia ya pipeline. Kwa sasa LPG inahitajika sana majumbani kwaajili ya kupikia. Na LPG inatokana na Mafuta.ile ya mtwara according to my reserach inahitaji mitungi special lakini nlishaiona ikitumika mikochen ila yenyewe ni kwa pipe, inaingia home kama pipe za maji, ukiangalia soko kubwa la refinery tuseme ni vehicles and cooking, hizo jet and kutengeneza LAMI naona kama ni percent ndogo, alafu pia ukiangalia bei ya CNG kwenye magari ni kama 75% cheap kuliko petrol leave alone zile zinatumia umeme
Mm personally SIONI future kubwa sna ya mafuta but yataendelea kuwepo for those legacy engines na sehem uchumi mdogo, infact hata umeme wetu unatumia CNG ikitoka maji
Kwenye bajeti zinazohusiana na reccurent expenditure lazima watukaribie ila zile za maendeleo huwez waona.Teargass
Budget 2026/2027: Tanzania (Ministry of Constitution & Legal Affairs)-Tsh 774.79 Billion (~$298.02M) vs Kenya (Judiciary & Dept. of Justice) -Ksh 36.4 Billion (~$280.00M)
Sijui hiyo GDP yao inakuwaga na faida ganiKwenye bajeti zinazohusiana na reccurent expenditure lazima watukaribie ila zile za maendeleo huwez waona.
Wizara ya madini tuko na 174bil tsh au usd 70mil ila wao hawawez fika hata usd 15mil
usiwatie ukichaa majirani! saahii kuna ugomvi tangu Ruto aropoke kuhusu refinery!
Sijui hiyo GDP yao inakuwaga na faida gani
GDP straight to 300B, mwanzon nlikua naiona uganda kama ina nafasi kubwa ya Kua na biggest GDP ila namba zinageuka
apo bado sector zingine, music, sports, transport, agriculture, industries ETC yaani ni kilio juu ya shida
No way kaka. Uganda!!! Tanzania is the Logistic Hub in the region. Bado hujaongelea madini.GDP straight to 300B, mwanzon nlikua naiona uganda kama ina nafasi kubwa ya Kua na biggest GDP ila namba zinageuka
Hii si kama kawe tuThis side of Kisumu will be the new CBD.
A new 25 floors commercial building has just broken ground next to the topped out Anderson and Lumumba projects.
View attachment 3579579