Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Teargass
Budget 2026/2027: Tanzania (Ministry of Constitution & Legal Affairs)-Tsh 774.79 Billion (~$298.02M) vs Kenya (Judiciary & Dept. of Justice) -Ksh 36.4 Billion (~$280.00M)
 
ile ya mtwara according to my reserach inahitaji mitungi special lakini nlishaiona ikitumika mikochen ila yenyewe ni kwa pipe, inaingia home kama pipe za maji, ukiangalia soko kubwa la refinery tuseme ni vehicles and cooking, hizo jet and kutengeneza LAMI naona kama ni percent ndogo, alafu pia ukiangalia bei ya CNG kwenye magari ni kama 75% cheap kuliko petrol leave alone zile zinatumia umeme

Mm personally SIONI future kubwa sna ya mafuta but yataendelea kuwepo for those legacy engines na sehem uchumi mdogo, infact hata umeme wetu unatumia CNG ikitoka maji
Kaka hapa unaandika hypothesis, lakini ki uhalisia ni kuwa mafuta yanahitajika sana, tena sana kama yanavyohitajika makaa ya mawe. Kila moja inafanya kazi katika sehemu yake. Tatizo wewe kaka unataka Petroleum ifanane na Natural Gas katika matumizi.

Kwa sasa itachukua zaidi ya miaka 100 kuhamia kwenye Natural gas. Kumbuka mafuta yanatoa energy kubwa ukilinganisha na Gas. Sikatai umuhimu wa Gas, but mafuta bado yanaumuhimu mkubwa sana kaka.
Refinery ni muhimu mno tuwe nayo, itatupatia faida kubwa. Ukiunganisha na Kwanda cha LNG kule Kusini tutapata faida kubwa sana.

Kwenye Refinery tutapata: lubricants, plastics and other chemical
Kwenye Kiwanda cha LNG tutapata: fertilizers and glass.

Vyote vipo na umuhimu wake. Vyote vijengwe
 
ile ya mtwara according to my reserach inahitaji mitungi special lakini nlishaiona ikitumika mikochen ila yenyewe ni kwa pipe, inaingia home kama pipe za maji, ukiangalia soko kubwa la refinery tuseme ni vehicles and cooking, hizo jet and kutengeneza LAMI naona kama ni percent ndogo, alafu pia ukiangalia bei ya CNG kwenye magari ni kama 75% cheap kuliko petrol leave alone zile zinatumia umeme

Mm personally SIONI future kubwa sna ya mafuta but yataendelea kuwepo for those legacy engines na sehem uchumi mdogo, infact hata umeme wetu unatumia CNG ikitoka maji
Nb: Natural gas inahitaji storage kubwa copmared to mafuta. Ndio maana kuna LNG ambayo inasafirishwa kwenye meli kubwa kwenda kutumika kwenye viwanda kwa njia ya pipeline. Kwa sasa LPG inahitajika sana majumbani kwaajili ya kupikia. Na LPG inatokana na Mafuta.

CNG haifaa kupikia maana compression yake ni kubwa ni hatari sana kutumika majumbani. Majumbani na kwenye viwanda inayotumika ni PNG - Pipeline natural gas. Nchi ikiweza kusambaza Pipeline nchi nzima itasaidia mno. But cost yake kwa sasa ni kubwa mno.
 
Teargass
Budget 2026/2027: Tanzania (Ministry of Constitution & Legal Affairs)-Tsh 774.79 Billion (~$298.02M) vs Kenya (Judiciary & Dept. of Justice) -Ksh 36.4 Billion (~$280.00M)
Kwenye bajeti zinazohusiana na reccurent expenditure lazima watukaribie ila zile za maendeleo huwez waona.
Wizara ya madini tuko na 174bil tsh au usd 70mil ila wao hawawez fika hata usd 15mil
 
Just imagine hivi vyote tunakuwa navyo hapa Tanzania

1777285670017.png
 
Sijui hiyo GDP yao inakuwaga na faida gani

Gdp mara nyingi Ina include matumizi ya serikali na sector binafsi, kama vile mishahara na kadhalika.
Kenya serikali inakopa sana kutimiliza miradi na sometimes mishahara na bado hata project zao Zinakuwq inflated hivyo inaonekana wanazalisha sana wakati ni wastani.
Mfano wanaanza ujenzi wa sgr kwenda malaba na bajeti ni 500ksh sawa usd 3.8bil au 13mil kwa km ila bongo tunajenga km2100 kwa usd 10bil sawa na 4.5mil/ km.
Tukija kwa hesabu itaonekana wamejenga sana au wanazalisha sana wakati kiuhalisia wamezidiwa ujenzi na bongo.
Nadhani ilipaswa kuangalia mapato ya ndani kwa counties versus mikoa ya tz .
Dar Ina gdp ya 37bil usd wakati Nairobi Iko kwenye 70+ , ila kwa sasa mapato kwa manispaa zote za dar ni zaidi ya bil 400 kwa mwaka au 20bil ksh .
Nairobi pamoja na gdp yake kubwa bado Wana osr ya 15bil ksh
 
GDP straight to 300B, mwanzon nlikua naiona uganda kama ina nafasi kubwa ya Kua na biggest GDP ila namba zinageuka
No way kaka. Uganda!!! Tanzania is the Logistic Hub in the region. Bado hujaongelea madini.
Kwenye uchimbaji wa Uranium pekee tunategemea kupata dola bilioni 1.45 kuanzia mwaka 2029 kila mwaka.
Bado kuna uvuvi, Bado kuna viwanda vinajengwa kaka, kaka, kaka nakuita mara tatu.

Bado bandari zetu hujaziweka. Huyu uganda atatokea wapi?
 
Back
Top Bottom