Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂 mbeya bwana. Kabwe ni kama kariakoo. Haya pitia hapo 2025/2026 report. 👇🏾 View attachment 3580922vs Tanga 👇🏾View attachment 3580923makusanyo ya Tanga 2023/2024 ni makubwa kuliko makadirio ya makusanyo ya mbeya 2025/2026. kabwe sijui upuuzi gani kwa Tanga ni kama korogwe tu.
Wewe hakuna unachojua sawa na huyo mchina mwenzio hapo Juu.

Kukadilia ni suala moja na kupata ulichokadilia ni suala tofauti.

Weka hapa Mapato ya Tanga Jiji ikiwa imezidi Mbeya ,Mimi naweza kukuwekea ya mwaka wa fedha 2023/2024.Unabisha nikuwekee source ya Tamisemi?
 
View attachment 3580924
Acha kujifurahisha . Ukitaka bajeti ya 2025/2026 bado mbeya ilikuwa na zaidi ya bil 25. Na lazima ujue mwaka 2025/2026 bado hujaisha wewe umetolea wap mapato wakati mwaka mpaka mwezi juni 30🤣🤣🤣🤣
Hii umuokota face book. 😂😂😂👇🏾
IMG_4576.jpeg
 
Pitia hapo kwanza
Kaka naona umeanza kutupiga ili uweze kupitisha hoja yako. Ulichoandika hapa source ya pesa siyo halmashauri ya jiji la Mbeya bali ni World Bank. Mradi wa Tanzania Cities Development Project (TACTIC).
Mradi wa Tanzania Cities Transforming Infrastructure and Competitiveness (TACTIC) unahusisha halmashauri 45 nchini Tanzania, ukilenga kuboresha miundombinu ya miji na uwezo wa kiuchumi.

Huu mradi siyo wa mbeya pekee. na chanzo cha mapato siyo Halmashauri bali ni World Bank.
 
Kaka naona umeanza kutupiga ili uweze kupitisha hoja yako. Ulichoandika hapa source ya pesa siyo halmashauri ya jiji la Mbeya bali ni World Bank. Mradi wa Tanzania Cities Development Project (TACTIC).
Mradi wa Tanzania Cities Transforming Infrastructure and Competitiveness (TACTIC) unahusisha halmashauri 45 nchini Tanzania, ukilenga kuboresha miundombinu ya miji na uwezo wa kiuchumi.

Huu mradi siyo wa mbeya pekee. na chanzo cha mapato siyo Halmashauri bali ni World Bank.
Uko sawa ila uliniuliza barabara zimazojengwa na tarura labda ungesema zilizotengewa na pesa ya kutoka jiji la mbeya.
Hiyo Mimi hatuwezi pata ila tunaweza pata muongozo wa mapato yanavyotakiwa kusambaza kwenda tarura
 
Uko sawa ila uliniuliza barabara zimazojengwa na tarura labda ungesema zilizotengewa na pesa ya kutoka jiji la mbeya.
Hiyo Mimi hatuwezi pata ila tunaweza pata muongozo wa mapato yanavyotakiwa kusambaza kwenda tarura
Kaka swali langu lilikuwa clear kabisa. Swali langu ni tuambie ni barabara ipi ya TARURA inajengwa kutokana na pesa za makusanyo ya halmashauri ya Mbeya?
 
Hiyo Mimi hatuwezi pata ila tunaweza pata muongozo wa mapato yanavyotakiwa kusambaza kwenda tarura
Naomba basi utueleze hili. Maana ukisema TARURA, tutakuuliza REA, tutakuuliza Elimu, tutakuuliza Afya, tutakuuliza Maji nk. Kaka ikitokea Serikali za Mitaa zinaichangia Serikali kuu maana yake hakuna haja tena ya kuwa na serikali kuu kaka.
 
Back
Top Bottom