ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,353
- 88,438
Tanga hamna hata uwanja wa ndege harafu mnaongea nini?Miradi iliyokusudiwa kujengwa Tanga ikiisha, itaifanya ule mji kuwa namba mbili kimaendeleo behind Dar.
Hakuna miradi yeyote ya maana zaidi ya maviwanda ambayo hayana maana kwenye maisha ya nyie wakazi wa Tanga.
Jikiteni kwenye Kilimo na ufugaji vinginevyo mtaishia kuwa anamba na kuishi kwenye tembe maisha Yenu yote.
Mwisho mtavuka GDP ya Mbeya na Mwanza lini Hadi muwe namba 2?