stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,436
- 33,879
Na hii ungeiweka mbona unakomaa na ya zamani tuu? 😆😆👇👇Nimefurahi sana mtu kutoka huku upumbavuni ananipigia kelele. Mbeya/upumbavuni city 👇🏾😂😂😂View attachment 3580681View attachment 3580682while Tanga city 👇🏾View attachment 3580684View attachment 3580685View attachment 3580693View attachment 3580694mbeya ni hadhi ya vijiji kama Pangani Tanga or Korogwe. 😂😂😂 you ain’t even close to Tanga city. Mji uliopewa hadhi ya jiji kishabiki. Takataka 🚮
Hata Mimi ni WA kg, mentality ya ujiji ni ya Miaka yote Sababu ya kuwa na wabembe wengi, ila ukitoa ujiji na mwandiga ,sehemu nyingine zote zinaendelea kwa kasi.mimi ni Mkigoma unajua ile mentality ya Ujiji bado ipo kaka! sasa imagine agenda ya kulazimisha landlocked kuchukua mizigo toka dryport Kigoma inatoka wapi!? Yani hatuoni fursa na haturidhiki! BTW kuna kiwanda cha saruji malagarasi pia sukari Kigoma!
Kaka hata kilimo, Tanga ni moja ya Mikoa inasifika sana kwa kilimo.😂😂 That’s the only thing they are ahead of us. Walime mpunga walete Dar tule. Mambo ya maendeleo waachane nayo kabisa.
Punguzeni Ujinga,kwamba Songwe Viwandani ni Mkoa wa Songwe au siyo? 😆😆😆😆😆Mbeya hakuna uwanja wa ndege, Uwanja wa ndege upo Songwe
Kigoma kupata Mchele mzuri ni mtihani sababu ya Kongo , Mchele wote mzuri unaenda njewa kigoma naujua vizuri sana, sehem unaponunuliwa naonaga ndo the most expensive ila mzuri sana
wewe Mmbeya hunaga hoja nyingine zaidi ya kujimwambafy?Punguzeni Ujinga,kwamba Songwe Viwandani ni Mkoa wa Songwe au siyo? 😆😆😆😆😆
Jengeni kwanza uwanja ndio tuje kujadiliana.
Umeishiwa tayari .Tanga level zake ni TaboraKwamba hili eneo mumevunja.? 😂😂😂👇🏾 View attachment 3580726hii mbeya ni takataka iko nyuma kimaendeleo ukilinganisha na miji ya Tz karibu yote.. sijui ni mjinga gani aliipa hii slum eti ni jiji. 😂😂.
umejaa pale mlimani, naukubali vibaya mnoKigoma kupata Mchele mzuri ni mtihani sababu ya Kongo , Mchele wote mzuri unaenda nje
Watu wa Tanga kwenye tembe mkijenga uwanja mje Sasa tujadiliane kuhusu Uchumi vinginevyo level zenu ni Tabora na Geita 😆😆👇👇wewe Mmbeya hunaga hoja nyingine zaidi ya kujimwambafy?
Haha wewe sema unaingisha kwenu tu ila ukweli kigoma Mchele hata UNGA uko bei ya juu kuliko hata darumejaa pale mlimani, naukubali vibaya mno
Sawa. Upo mkoa wa Mbeya lakini ki ukweli mbeya haiwezi kuifikia Tanga. Mimi siyo mtu wa Tanga lakini nimewahi ishi Tanga na Mbeya. Sijaua mpaka leo kwanini Mbeya iliitwa jiji. Inazidiwa na Moshi.Punguzeni Ujinga,kwamba Songwe Viwandani ni Mkoa wa Songwe au siyo? 😆😆😆😆😆
Jengeni kwanza uwanja ndio tuje kujadiliana.
Sawa Tufanye mnalima maparachicho haya chimbeni na dhahabu basi 😆😆😆👇Tanga inazidiwa na Mbeya kwa kilimo cha mpunga tu. Maana hata maparachichi yanalimwa Tanga
Haiwezekani kuifikia Kwa lipi kwenye hako kamkoa kalikojaa tembe?Sawa. Upo mkoa wa Mbeya lakini ki ukweli mbeya haiwezi kuifikia Tanga. Mimi siyo mtu wa Tanga lakini nimewahi ishi Tanga na Mbeya. Sijaua mpaka leo kwanini Mbeya iliitwa jiji. Inazidiwa na Moshi.