Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1777032535558.png
1777032565003.png
 
niko 50/50 kuna mradi wa $42B pale mtwara wa GAS alafu pia kuna gas stations kama 2 znajengwa dodoma kubwa kama ile ya dar, the way forward ya Tanzania ni kuachana na oil, labda wakubali lakini focus kubwa kuwauzia kenya and earn money 🤣
kwahiyo ukiwapo mradi wa LNG Lindi unazuia nn huo wa Dangote Tanga?
 
Sijui sana mambo ya biashara ya Mafuta lakini mwenye jibu anisaidie Kwa nini anaomb ruhusa Kwa kina Kenya na Uganda wakati Zambia wanajenga kiwanda kikubwa Cha kusafisha Mafuta lakini pia Zambia hao hao na Botswana wamenunua hisa za kumiliki kwenye kiwanda kingine kipya Cha Mafuta huko Angola.

Kwani akijenga hapa Tanzania bila hao Kuna shida gani?

View: https://www.instagram.com/p/DXe2VqTDbFu/?img_index=1&igsh=MXRia2cxOWR0aHgzaA==

wewe unamuamulia? hivyo vya Angola na Zambia nn capacities zake?
 
Ingekuwa Viwanda vinabadili maisha ya watu basi Wakazi wa Pwani wangekuwa matajiri but very unfortunate ni kati ya Mikoa 5 maskini.

Hiyo Tanga Yako inaongoza Tanzania Kwa vijumba vya makuti,mabati na matope na uswazi 😆😆
Kama unabisha sema nikupe takwimu.

Mwisho huku kwetu tunashikilia uchumi wenyewe sio kampuni chache za mapebari ndio maana tuko vizuri mfukoni.
Heb maliza kujifurahisha nna haraka mimi.
 
Mnahesabu non existence staffs?😂😂.

Majority of those roads under Construction were already tarmacked. Is like saa hii tuanze kuhesabu Nairobi - May Summit Duall carriageway of 177km which is currently under Construction.
We utajua mwenyewe mjomba, kama unaona unateseka lia.
 
The world of Athletics is converged in Nairobi today for the annual Kip Keino classic ( the only World Athletics Gold meet in Africa). It’s being broadcasted live worldwide. Many world running superstars will be there. I will be watching from my living room thousands of miles away .
IMG_8783.jpeg
 
Back
Top Bottom