MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,515
Yani Nairobi mji wa ajabu sana. Pale city centre pasafi kweli.. nenda hatua kumi pale Ngara.. unatema mate..
You guys are good in faking.. waTanzania hatuna mambo ya kuiga iga.. waKenya jinsi wanavyo fake kila mtu utadhani anaishi Karen au Hurlinghum.. wakati karibia half of the city dwell in slums.
You guys are good in faking.. waTanzania hatuna mambo ya kuiga iga.. waKenya jinsi wanavyo fake kila mtu utadhani anaishi Karen au Hurlinghum.. wakati karibia half of the city dwell in slums.