kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
halafu bora slums zao zingekuwa mbali na mji.karibia zote zipo jirani na CBD.
mfano ni kibera.yenyewe ipo kiliomita 5 tu kutoka nairobi cbd.big shame.
ushahidi huu hapa
kwa wale wanaofahamu vizuri jiografia ya jiji la dar,hiyo kilomita 5 ni distance ya kutoka posta mpya(dar es salaam city centre) to kinondoni morroco.
imagine sasa kinondoni morroco ndio ingekuwa slum kubwa duniani.wakenya wangetucheka sana.tungetafuta pa kujificha wallah.
ushahidi juu cha distance ya kinondoni morroco to posta huu hapa.
mfano ni kibera.yenyewe ipo kiliomita 5 tu kutoka nairobi cbd.big shame.
ushahidi huu hapa
kwa wale wanaofahamu vizuri jiografia ya jiji la dar,hiyo kilomita 5 ni distance ya kutoka posta mpya(dar es salaam city centre) to kinondoni morroco.
imagine sasa kinondoni morroco ndio ingekuwa slum kubwa duniani.wakenya wangetucheka sana.tungetafuta pa kujificha wallah.
ushahidi juu cha distance ya kinondoni morroco to posta huu hapa.