Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani Kenya ni half of Tanzania by size ila wanatukaribia population. No wonder nchi yao imejaa slums kila kona, wanazaliana kama kuku🙄

Mungu alifanya vyema kuipa Kenya large arid area with too much drought, maana Kenya yote ingekuwa na ardhi nzuri ya rutuba kama Tanzania sasahivi wangekuwa wameshafika milioni 150+ wanaitafuta 200M, wakizima vibatari ni kudinyana tu humo Kibera
na kwa hiyo half 90% wanakaa kwenye less than a 1/3 ya hiyo half
 
Mfano hili daraja walijenga la kazi gani! 😂😂😂

View: https://x.com/africafactszone/status/1369976452087697414?s=46
Mbona linabomolewa!

View: https://x.com/mwangocapital/status/1685253019456163840?s=46
Kuna hii pia wakaanza kulinganisha na stendi ya Mbezi.

View: https://x.com/kenyans/status/1519242954984075265?s=46
Ikawa hivi. 😂😂😂

View: https://x.com/saddiqueshaban/status/1711392273148072303?s=46

Objective ilikuwa kupiga hela tuu kwasababu wanajua wakenya wanapenda vitu kama vya ulaya na marekani
 

Hamna aircraft KQ imenunua wacha ujinga! Get to know the meaning of the term capacity purchase agreement!
Screenshot 2026-03-11 071430.png
 
Lazima ulete photos za 2007 ili ujisikie vizuri. Dar sio your level, nendeni mkashindane na Mwanza
Ulichofanya ni kuingia Google na kuanza ku search "floods in Dar es Salaam" "slums in Dar es Salaam" "Dirty places of Dar es Salaam" "congestion in Dar es Salaam"

Unasearch tu kama fala ili ujidanganye kwamba tuko sawa na nyinyi. We are not your mates 😂😂
Actually hizi picha ni za 1920. Happy now nyamwezi?
 
Back
Top Bottom