Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wow 60m ?
Apparently the Singa Poorians are reproducing like rodents,
Starehe ya maskini ni Ngono,
Na hawa wakunya lazima wamefika 70m maana huwaga wana tabia ya kujipunguza.
Kanchi kadogo, fukara, slums kila pahala ila sasa wanazaliana kama panya.
Yani Kenya ni half of Tanzania by size ila wanatukaribia population. No wonder nchi yao imejaa slums kila kona, wanazaliana kama kuku🙄

Mungu alifanya vyema kuipa Kenya large arid area with too much drought, maana Kenya yote ingekuwa na ardhi nzuri ya rutuba kama Tanzania sasahivi wangekuwa wameshafika milioni 150+ wanaitafuta 200M, wakizima vibatari ni kudinyana tu humo Kibera
 
Alafu sku izi mbna hamna daily dose, picha za ndan zimepotea sana shida nn
Daily dose ni hii
1773164400651.jpeg
 
Amechukua na dongo kundu

Kuacha terminal ya gesi dongo kundu , kuna kampuni nyingine hapo ya tallying za mizigo na meli msa port... Wamesha anza kupanda joto kwa kuiwekea ngumu fair commission ila atawapasua tu lazima.
 
Mental health crisis is real
If Nairobi is so superior in urban planning then why are floods so severe over there? Even Kampala handles heavy rains way better than Nairobi
That's what you get when you build congested city with poor infrastructure
So juu Dubai and Paris zilifurika 2024 inaamaanisha wako chini??
Iyo dar yenu ni takataka tu without roads.
 
Onesha picha za Dar ambapo Barabara zote hazipitiki. Uharibifu wa magari na vifo zaidi ya 100.. ile 40+ sio kweli
Barabara gani ziko dar vichochoroni?
Iyo ni kibera tu ,
Barabara Moja or mbili zimekatiza ndani ya maSlum tu.
After 4 houses Kunafaa kuwe na barabara na nyuma zao 1 house Tena barabara! 4 by 2 grid.
Hiii dar ni ndoto ya 2070.
 
So juu Dubai and Paris zilifurika 2024 inaamaanisha wako chini??
Iyo dar yenu ni takataka tu without roads.
Dubai ni desert we kijana, hawakujenga proper infrastructure for drainage system. Desert cities are not designed for heavy rainfalls na mwaka jana mvua zilinyesha nyingi Dubai kwa hiyo mji uka flood.
Nyinyi hiyo Nairobi ina receive rain each year, hata sio kwamba imenyesha mvua kubwa all of a sudden, hiyo ni just regular rainy season lakini bado mnapata floods mbaya kuliko sehemu yoyote East Africa

It's so shameful
 
Dubai ni desert we kijana, hawakujenga proper infrastructure for drainage system. Desert cities are not designed for heavy rainfalls na mwaka jana mvua zilinyesha nyingi Dubai kwa hiyo mji uka flood.
Nyinyi hiyo Nairobi ina receive rain each year, hata sio kwamba imenyesha mvua kubwa all of a sudden, hiyo ni just regular rainy season lakini bado mnapata floods mbaya kuliko sehemu yoyote East Africa

It's so shameful
What about Paris Berlin?
Usikuwe mjinga wewe mtoto wa 2004.
 
Barabara gani ziko dar vichochoroni?
Iyo ni kibera tu ,
Barabara Moja or mbili zimekatiza ndani ya maSlum tu.
After 4 houses Kunafaa kuwe na barabara na nyuma zao 1 house Tena barabara! 4 by 2 grid.
Hiii dar ni ndoto ya 2070.
Dar es Salaam ilishatoka huko. We are not your mates. I can't believe a place like Kibera still exists in 2026. Hiyo nchi yenu ni masikini sana
 
Barabara gani ziko dar vichochoroni?
Iyo ni kibera tu ,
Barabara Moja or mbili zimekatiza ndani ya maSlum tu.
After 4 houses Kunafaa kuwe na barabara na nyuma zao 1 house Tena barabara! 4 by 2 grid.
Hiii dar ni ndoto ya 2070.

Una picha hapo tuoneee?
 
kwani hiyo nairobi yenu ndio ina barabara bora? hakuna lolote
Nairobi wanabuild infrastructure for show off. Hawajui hata infrastructure zipi ni za muhimu zaidi kujenga
Ndio maana iko very backward, mbaya zaidi wakenya wanaamini high rising buildings ndio infrastructure. Sasahivi wanahangaika na preventable floods
 
Nairobi wanabuild infrastructure for show off. Hawajui hata infrastructure zipi ni za muhimu zaidi kujenga
Ndio maana iko ver backword, mbaya zaidi wakenya wanaamini high rising buildings ndio infrastructure. Sasahivi wanahangaika na preventable floods
Dar inajengwa kimkakati haswaaa just give us 2 yrs na hawataamini macho yao
 
Walishangilia walivyoongopewa eti wanawekewa seat za kisasa, jamaa plan zao mbovu sanaa, yn wamekopa mabilioni ya pesa kujenga uwanja alafu finalization inawashinda.
Kenyans mara nyingi akili zao ziko kwenye kushindana na kujikweza.
Wao ni kuangalia nchi gani imefanya nini na kuanza kujenga kuipiku bila feasibility study ya kueleweka na hawana hela.
 
Walishangilia walivyoongopewa eti wanawekewa seat za kisasa, jamaa plan zao mbovu sanaa, yn wamekopa mabilioni ya pesa kujenga uwanja alafu finalization inawashinda.
Wewe fuatilia tu miradi yote ya Kenya, huwa wanajenga kama hawana akili timamu. Wana akili za kitoto, kujenga vitu kwa show off badala ya kujenga kimkakati
Ni 2026, ila their biggest city doesn't even have BRT system, just imagine. Wanajenga vitu hovyo tu wanakuja kushituka wameharibu kila kitu
Hata sishangai kusikia stadium yao imeshindwa kufikia matarajio
Huwa nacheka sana wanavyoiita nchi yao Singapore
 
Back
Top Bottom