Kama kawaida mkibanwa, lazima mkimbilie Kibera. 😂 😂 😂“Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.” 😂😂😂View attachment 3556140
Kama kawaida mkibanwa, lazima mkimbilie Kibera. 😂 😂 😂“Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.” 😂😂😂View attachment 3556140
Nairobi bado sana, hii town yao sijui hata nani alii design, hata big infrastructure wao wanajenga hovyo hovyo tu bila plan. Hawajui hata vipaumbele vya city yao ni nini. Very shitty place“Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.” 😂😂😂View attachment 3556140
Fix kwanza hiyo town yenuTalanta will never be built and other stories 🥱🥱View attachment 3556133View attachment 3556134
Kwa nini unaumia sana ukisikia Kibera 😂😂Kama kawaida mkibanwa, lazima mkimbilie Kibera. 😂 😂 😂
Hawataki kuendeleza miji mingine.Nairobi bado sana, hii town yao sijui hata nani alii design, hata big infrastructure wao wanajenga hovyo hovyo tu bila plan. Hawajui hata vipaumbele vya city yao ni nini. Very shitty place
Size of Nairobi ni kama tu ya Mwanza lakini iko na watu 5M wakati Mwanza ina 1.5M, sijui walikuwa wanafikiria nini kujaza watu wengi sehemu ndogo bila proper infrastructureHawataki kuendeleza miji mingine.
Kijiji kidogo kina slums kila kona. 😂😂😂
Excuses man 🤣🤣🤣Of course you are too dumb to know.
Well done KQ, make proper use of the 747.
View: https://x.com/KenyaAirways/status/2031395497257148874?s=20
Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.
Sasa hivi ni mwendo wa kununua kampuni zao maana ukitaka kufungua kampuni mpya vizingiti vinakuwa vingi.Rostam anamaliza kunyaland yote... Soon utasikia deal anayonyakua hapo mombasa port.
Mark this post, anachukua operations zote za mombasa port.
HAta yule wa cement na azam ni ruto proxy, you know what.. just cryNani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.
Ana mitungi ya gesi pale mombasa, the bigges in kenyaRostam anamaliza kunyaland yote... Soon utasikia deal anayonyakua hapo mombasa port.
Mark this post, anachukua operations zote za mombasa port.
SGR to Malaba is loading, wachawi mutajificha kule mlijificha wakati Talanta was launching.
View: https://x.com/KenyaRailways_/status/2031395628534698139?s=20
Amechukua na dongo kunduRostam anamaliza kunyaland yote... Soon utasikia deal anayonyakua hapo mombasa port.
Mark this post, anachukua operations zote za mombasa port.