Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

View attachment 3522579

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Rostam Aziz amenunua hisa zote za Nation Media Group,huo ni ushindi mwingine wa Dar dhidi ya Nairobi
 
“Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.” 😂😂😂View attachment 3556140
Nairobi bado sana, hii town yao sijui hata nani alii design, hata big infrastructure wao wanajenga hovyo hovyo tu bila plan. Hawajui hata vipaumbele vya city yao ni nini. Very shitty place
 
Kama kawaida mkibanwa, lazima mkimbilie Kibera. 😂 😂 😂
😂😂😂
1773164687141.jpeg
 
Talanta will never be built and other stories 🥱🥱View attachment 3556133View attachment 3556134
Fix kwanza hiyo town yenu

Poor drainage system
Very congested place
No BRT system
A lot of slums
Very dirty streets
Young people dancing in the CBD instead of working

Sometimes it feels offensive to compare this 19th century town with Dar es Salaam
 
Hawataki kuendeleza miji mingine.
Kijiji kidogo kina slums kila kona. 😂😂😂
Size of Nairobi ni kama tu ya Mwanza lakini iko na watu 5M wakati Mwanza ina 1.5M, sijui walikuwa wanafikiria nini kujaza watu wengi sehemu ndogo bila proper infrastructure
Waliweka pavements nyingi CBD kwa ajili ya show off badala ya kuweka drainage system, mvua imenyesha, maji yamekuta pavements badala ya drainage channels hata maji yenyewe yanashangaa hawa watu wana akili au ni mavi yamejaa kichwani. Matokeo yake nyumba ya Teargass imebebwa na floods
 
Nani hajui Rostam is Ruto's proxy, Standard Media Group imemnyorosha kiboko ameaumua kutafuta equalizer.

Rostam anamaliza kunyaland yote... Soon utasikia deal anayonyakua hapo mombasa port.

Mark this post, anachukua operations zote za mombasa port.
 
Wow 60m ?
Apparently the Singa Poorians are reproducing like rodents,
Starehe ya maskini ni Ngono,
Na hawa wakunya lazima wamefika 70m maana huwaga wana tabia ya kujipunguza.
Kanchi kadogo, fukara, slums kila pahala ila sasa wanazaliana kama panya.
 
Back
Top Bottom