Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mdogo mdogo tunasogea Ikulu tumeanza kwenye gas tukaja kwenye cement na sasa media
Kenya is officially colonized
 
I thought you had the best infrastructure, sisi tulikubali hio mafuriko ilituzidi, nyinyi mumesema you have the infrastructure. So why is it happening?


View: https://x.com/i/status/2031377285979230390

Do you know that Mwanza City is about the same size as Nairobi? Lakini floods za Nairobi ziliaffect very big part of the city
Hizo video za Mwanza zote ni the same street na mafuriko yake ni nothing compared to Nairoslums flood, tofauti na Nairobi ambayo very big part was affected
Don't ever try to compare your Nairoslums crappy drainage system with Mwanza, we are not your mates dude
 
Talanta will never be built and other stories 🥱🥱
IMG_8993.jpeg
IMG_8994.jpeg
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

View attachment 3522579

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Rostam Aziz amenunua hisa zote za Nation Media Group,huo ni ushindi mwingine wa Dar dhidi ya Nairobi
 
Back
Top Bottom