Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
We are not perfect.Nairobi iko na POOR INFRASTRUCTURE. Mnatetea ujinga tu
Dar es Salaam ni next level mzee, sio kama NairoslumsWe are not perfect.
Hiii inhenyesha ata Dubai,Paris, Berlin ingeflood tooo
Na ni infrastructure gani mko nayo ya kuToa iyo maji yote???
Kwa city ambayo inafanana slum without feeder roads just vichochoro all over mtawezana ata na 50mm per day within two days consecutively!!!
mwambie hata Jangwani walipokuwa wanapigia kelele na super structure inajengwa!Dar es Salaam ni next level mzee, sio kama Nairoslums
Dar inapata heavy rains na floods hutokea lakini sio kama hizo za Nairobi. Heavy rain kama hiyo iliyonyesha Nairobi huwa inanyesha mara nyingi Dar, floods zake haziui watu wengi hivyo cause our drainage is better
You can't admit lakini Dar ni more complete city kuliko Nairoslums
without roads , zero sewerage system,Dar es Salaam ni next level mzee, sio kama Nairoslums
Dar inapata heavy rains na floods hutokea lakini sio kama hizo za Nairobi. Heavy rain kama hiyo iliyonyesha Nairobi huwa inanyesha mara nyingi Dar, floods zake haziui watu wengi hivyo cause our drainage is better
You can't admit lakini Dar ni more complete city kuliko Nairoslums
Next level
without roads , zero sewerage system,
No planning and zoning
Dar ni Kampala or Ibadan tu.
Mental health crisis is realNext level
without roads , zero sewerage system,
No planning and zoning
Dar ni Kampala or Ibadan tu.
Tanzania floods zilizoua watu wengi ni zile za Manyara ziliua 47+ people kwa sababu haikuwa floods pekee, kulikuwa na massive land slide ambayo ndio iliua watu wengiOnesha picha za Dar ambapo Barabara zote hazipitiki. Uharibifu wa magari na vifo zaidi ya 100.. ile 40+ sio kweli
mwambie hata Jangwani walipokuwa wanapigia kelele na super structure inajengwa!
View: https://x.com/CCCC_Tanzania/status/2016689309357936761
View: https://x.com/rs_nkl31405/status/2001154500665450692
This is how quality infrastructure looks like!
View: https://www.instagram.com/p/DVslaTrDMA9/?e=815b204c-e58e-4de4-850f-165f26b7f8ff&g=5
Ingekuwa Kila mwaka inafurika na kuua watu, Nairobi mvua ya 145mm imeua watu almost 40 dar huwa inanyesha mpaka ya 178mm na mara chache kuuaNext level
without roads , zero sewerage system,
No planning and zoning
Dar ni Kampala or Ibadan tu.
Petrodollar zinaanza ku flow this July 💰Na ndio kinachowapa kujiamin!
Mwenge Efatha ministry
Aisee safi sana inaenda kuwa iconicMwenge Efatha ministry