Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijani Ridge

Image
 
Hakuna cha kujenga nchi hapo, huwezi kuwa na maono kutoka kwenye kichwa kulicho zungusha form 4. Yote aliyojenga Magu, wanayabomoa taratibu, hata sijui kwa maslahi ya nani?

Samia alipoingia alijidai kuifungua nchi (
sisi tulijua ni usanii) sasa hivi anazidi kuifunga. Hata JF ambayo miaka yote ilikuwa huru bado imefungiwa. Inabidi uwe na wazimu kuitetea serikali hii haramu. Machawa wanatumia VPN (wanavunja sheria) kuja kuitetea serikali. Akili gani hiyo?
Hata huyo unaongea nae ni wa vyeti vya kuunga-unga.
 
Tutamlinda sisi. Na mkileta vya kuleta tutawagonga shaba. Amiri Jeshi hachezewi na wapumbavu kama nyie.
Huyo ni Amiri Jeshi, Head of State na Kiongozi wa Serikali. Sasa leta utoko wako tukumwage ubongo.

There is nothing you can do. Samia ni member wa gang la Kikwete linalozimika kwa kasi. Yeye na senior members wa group hilo hatuta kuwa nao muda si mrefu.

Ulijinadi kuwa unazo za ndani, cha ajabu hata hizi obvious hauna.



 
Kwikwikwikwikwi You sound like a young boy, your age is less than 25 year
Hakuna mtu amepanda usafiri huu ni 25 years. Kwenye Depot pale Ubungo kulikuwa na restaurant ya chakula inaitwa Abiyan miaka ya 1982/3/3/5 to 1990s. Baaday ya usafiri wa Uda kuleta tafran mabasi ya watu binafsi yalianza kazi hasa Ashok Leyland, nakumbuka mpaka baadhi ya majina ya mabasi hayo kama "Jadide" hiyo ni 1980s.

1765750267783.png
 
Back
Top Bottom