Kwikwikwikwi. Dongo kundu hiloKijani Ridge
![]()
Hata huyo unaongea nae ni wa vyeti vya kuunga-unga.Hakuna cha kujenga nchi hapo, huwezi kuwa na maono kutoka kwenye kichwa kulicho zungusha form 4. Yote aliyojenga Magu, wanayabomoa taratibu, hata sijui kwa maslahi ya nani?
Samia alipoingia alijidai kuifungua nchi (
sisi tulijua ni usanii) sasa hivi anazidi kuifunga. Hata JF ambayo miaka yote ilikuwa huru bado imefungiwa. Inabidi uwe na wazimu kuitetea serikali hii haramu. Machawa wanatumia VPN (wanavunja sheria) kuja kuitetea serikali. Akili gani hiyo?
Ni miujiza Samia kumaliza 5years.Sasa unataka mimi nifanye nini? Kwikwikwikwikwi unajiumiza tu. Subiri miaka mitano iishe ugombee wewe. Zaidi ya hapo ni upumbavu tu. Siasa zenyewe hujui unajilazimisha kufanya siasa.
Tutamlinda sisi. Na mkileta vya kuleta tutawagonga shaba. Amiri Jeshi hachezewi na wapumbavu kama nyie.Ni miujiza Samia kumaliza 5years.
Tupo hapa na tutaku kumbusha hii post.
thekenyatimes.com
MC Baruti - Tanzania ni ya moto mno wazembe hawaiwezi
View attachment 3515553
View attachment 3515555
View: https://www.instagram.com/p/DSKIVyvjbSV/?hl=en
Kila mwisho wa mwaka lazima kuwe na jam ya meli huko port of dar is a slum. 🤣 🤣 🤣 Not even DP World can save them from their own incompitence.
Purchased not gifted.Netanyahu Gifts Ruto Advanced SPYDER Air Defense System to Boost Kenya’s Airspace Security
![]()
Netanyahu Gifts Ruto Advanced SPYDER Air Defense System To Boost Kenya’s Airspace Security
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has delivered an advanced Surface-to-air Python and Derby (SPYDER) Air Defense System to President William Ruto to boost Kenya’s airspace security.thekenyatimes.com
GiftedPurchased not gifted.
Ukunduni walijenga airport kama hii mara ya mwisho lini?
View: https://www.instagram.com/p/DSMLT6sjUGf/?igsh=MXdqa3V1aHlvZnM1bg==
Tutamlinda sisi. Na mkileta vya kuleta tutawagonga shaba. Amiri Jeshi hachezewi na wapumbavu kama nyie.
Huyo ni Amiri Jeshi, Head of State na Kiongozi wa Serikali. Sasa leta utoko wako tukumwage ubongo.
Jifunze kusoma articles wewe kijana mdogo, how do you expect to pass your future exams if you can’t read and understand articles?Gifted
Kwikwikwikwikwi You sound like a young boy, your age is less than 25 yearThere is nothing you can do. Samia ni member wa gang la Kikwete linalozimika kwa kasi. Yeye na senior members wa group hilo hatuta kuwa nao muda si mrefu.
Ulijinadi kuwa unazo za ndani, cha ajabu hata hizi obvious hauna.
View attachment 3515651
Na wewe you are too old to think.Kwikwikwikwikwi You sound like a young boy, your age is less than 25 year
Hakuna mtu amepanda usafiri huu ni 25 years. Kwenye Depot pale Ubungo kulikuwa na restaurant ya chakula inaitwa Abiyan miaka ya 1982/3/3/5 to 1990s. Baaday ya usafiri wa Uda kuleta tafran mabasi ya watu binafsi yalianza kazi hasa Ashok Leyland, nakumbuka mpaka baadhi ya majina ya mabasi hayo kama "Jadide" hiyo ni 1980s.Kwikwikwikwikwi You sound like a young boy, your age is less than 25 year