Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

3. Mc Gilbert Munga

1765708139646.png


1765708203512.png



View: https://www.instagram.com/p/DRWse1pDV65/?hl=en
 
Reyna Malkia wa Shamba | Mkulima/Mfugaji mbunifu (Tanzania) Vijana wa Kenya wapo kwenye social media kuichamba Tanzania 24/7 Njaa ikiwakuta wanaanza kumtukana Ruto

1765709286357.png


1765709358854.png


1765709411670.png



 
Serikali yoyote inayojitambua kama Tanzania inasikiliza mawazo ya watu mbalimbali. Hata mtu binafsi mwenye IQ ya juu anasikiliza watu wa kila aina, but hapokei maelekezo. Hiyo ndiyo Tanzania (Hatufungamani na upande wowote)

Ukizijua sera za Tanzania wala hutapata shida. Na sasa tupo na new foreign policy. Isome uijue Tanzania
Serikali inayojitambua haiwezi kuwa karibu na watu wa aina hiyo, haijalisi sera.

Vipi familia ya Jenista, ilikubaliwa wafanye autopsy kutoka kwa Dr. waliomtaka wao?
 
Serikali inayojitambua haiwezi kuwa karibu na watu wa aina hiyo, haijalisi sera.

Vipi familia ya Jenista, ilikubaliwa wafanye autopsy kutoka kwa Dr. waliomtaka wao?
Sasa ukianza kuhamisha hamisha mada zidhani kama mjadala utaisha, tumeacha kuongelea Tony Blair
Former Prime Minister of the United Kingdom, sasa tunaanza kuongelea familia ya Jenista!!!
1. Kwanza kubali kuwa serikali inasikiliza kila mtu akiwa na wazo na haijihusishi na hisia za mtu binafsi kama hisia yako hii juu ya Tony Blair

2. Tanzania ni nchi isiyofungamana na upande wowote. Tumekuwa hivi miaka na miaka na tutamsikiliza yeyote as long as haingilii maslahi yetu kama Taifa.

3. Nimekuomba usome New Foreign policy nikiwa na lengo la kuwa uielewe kuwa Tanzania tumeshahama kutoka kwenye Policy za kisiasa na tunaongelea policy za kiuchumi. (Kwa sasa unatakiwa uelewe tunaenda na msemo wa kichina Paka ni Paka tu regardless color yake as long as anakamata panya, ukiuelewa msemo huu ndio utaijua sasa sera ya Tanzania.

Mambo mengine kuhusu familia ya Jenista, hayo ni mambo mapya yapo nje ya hoja yako ya msingi, labda useme kuwa hoja yako ya msingi umeachana nayo.
 
Tunaua kila kona

TANESCO (Tanzania Electric Supply Company limited), covers over 8,141.38 km of high-voltage lines ranging from 66kV to 400kV (Kenya Length 6,294 km))​

Tanzania’s electricity transmission, managed by TANESCO (Tanzania Electric Supply Company limited), covers over 8,141.38 km of high-voltage lines ranging from 66kV to 400kV.


The size of transmission network (400kV, 220kV and 132kV) is currently approximately 6,294KM of which 2,364 km (37.5%) is owned by KETRACO. This includes 963kms of 132kV lines, 381km of 220kV lines and 1,020km of 400kV.

 
Sasa ukianza kuhamisha hamisha mada zidhani kama mjadala utaisha, tumeacha kuongelea Tony Blair
Former Prime Minister of the United Kingdom, sasa tunaanza kuongelea familia ya Jenista!!!
1. Kwanza kubali kuwa serikali inasikiliza kila mtu akiwa na wazo na haijihusishi na hisia za mtu binafsi kama hisia yako hii juu ya Tony Blair

2. Tanzania ni nchi isiyofungamana na upande wowote. Tumekuwa hivi miaka na miaka na tutamsikiliza yeyote as long as haingilii maslahi yetu kama Taifa.

3. Nimekuomba usome New Foreign policy nikiwa na lengo la kuwa uielewe kuwa Tanzania tumeshahama kutoka kwenye Policy za kisiasa na tunaongelea policy za kiuchumi. (Kwa sasa unatakiwa uelewe tunaenda na msemo wa kichina Paka ni Paka tu regardless color yake as long as anakamata panya, ukiuelewa msemo huu ndio utaijua sasa sera ya Tanzania.

Mambo mengine kuhusu familia ya Jenista, hayo ni mambo mapya yapo nje ya hoja yako ya msingi, labda useme kuwa hoja yako ya msingi umeachana nayo.
Hiyo sera ya uchumi unayoisema ni alinacha, kiini macho ili kufanya ufisadi.

Usifananishe CCP wanaowajali wananchi wao na CCM mtandao wanaojali familia zao.

CCM mtandao walileta tozo, kuwaminya wananchi wa chini kiuchumi, badala ya kuwawezesha. Rostam anapewa migodi kwa bei chee, unafikiri huyo mtu mmoja atajenga uchumi?

Sera hizo hizo za uchumi za hovyo ndizo zilizoua reli ya kati kwa kuwapa wahindi.

Magu akaja kuihuisha reli ya kati na hata ya Tanga na kujenga reli ya kisasa, wakamuua. Hata mke wake hakuwepo alipotoa pumzi ya mwisho, kama siyo uchawi ni nini huo?

Pesa nyingi zilikopwa kuboresha bandari, eti baada ya kufanya hayo yote anakuja Samia anasema hatuwezi kuiendesha, kagawa kwa waarabu. Tunarudi kule kule, kipindi cha JK, kutuletea wageni watuendeshee sekta nyeti kama uzalishaji umeme.

Ndiyo maana nilisema hawa CCM mtandao ni vibaraka, economic hit men.
 
Hiyo sera ya uchumi unayoisema ni alinacha, kiini macho ili kufanya ufisadi.

Usifananishe CCP wanaowajali wananchi wao na CCM mtandao wanaojali familia zao.

CCM mtandao walileta tozo, kuwaminya wananchi wa chini kiuchumi, badala ya kuwawezesha. Rostam anapewa migodi kwa bei chee, unafikiri huyo mtu mmoja atajenga uchumi?

Sera hizo hizo za uchumi za hovyo ndizo zilizoua reli ya kati kwa kuwapa wahindi.

Magu akaja kuihuisha reli ya kati na hata ya Tanga na kujenga reli ya kisasa, wakamuua. Hata mke wake hakuwepo alipotoa pumzi ya mwisho, kama siyo uchawi ni nini huo?

Pesa nyingi zilikopwa kuboresha bandari, eti baada ya kufanya hayo yote anakuja Samia anasema hatuwezi kuiendesha, kagawa kwa waarabu. Tunarudi kule kule, kipindi cha JK, kutuletea wageni watuendeshee sekta nyeti kama uzalishaji umeme.

Ndiyo maana nilisema hawa CCM mtandao ni vibaraka, economic hit men.
Sina cha kukusaidia kaka. Endelea hivyo hivyo. Sisi tunaendelea kujenga nchi yetu ya Tanzania.
Kama unasubiria serikali ije ikuletee maendeleo nyumbani kwako wakati wewe umelala kitandani sahau. Utawaona vijana wachapakazi kama sisi tunafanikiwa, wewe umebaki kulaumu tu.
Soma sera hii hapa:

 
Sina cha kukusaidia kaka. Endelea hivyo hivyo. Sisi tunaendelea kujenga nchi yetu ya Tanzania.
Hakuna cha kujenga nchi hapo, huwezi kuwa na maono kutoka kwenye kichwa kulicho zungusha form 4. Yote aliyojenga Magu, wanayabomoa taratibu, hata sijui kwa maslahi ya nani?

Samia alipoingia alijidai kuifungua nchi (sisi tulijua ni usanii) sasa hivi anazidi kuifunga. Hata JF ambayo miaka yote ilikuwa huru bado imefungiwa. Inabidi uwe na wazimu kuitetea serikali hii haramu. Machawa wanatumia VPN (wanavunja sheria) kuja kuitetea serikali. Akili gani hiyo?
 
Tunaua kila kona

TANESCO (Tanzania Electric Supply Company limited), covers over 8,141.38 km of high-voltage lines ranging from 66kV to 400kV (Kenya Length 6,294 km))​

Tanzania’s electricity transmission, managed by TANESCO (Tanzania Electric Supply Company limited), covers over 8,141.38 km of high-voltage lines ranging from 66kV to 400kV.


The size of transmission network (400kV, 220kV and 132kV) is currently approximately 6,294KM of which 2,364 km (37.5%) is owned by KETRACO. This includes 963kms of 132kV lines, 381km of 220kV lines and 1,020km of 400kV.


Lol. Own goal.
KETRACO does not transmit in small small voltage like 66kv. Hio ni kazi ya Kenya Power.

Your Tanesco does everything from generation to selling tokens. That's why you'll never grow a behemoth like KenGen.
 
Hakuna cha kujenga nchi hapo, huwezi kuwa na maono kutoka kwenye kichwa kulicho zungusha form 4. Yote aliyojenga Magu, wanayabomoa taratibu, hata sijui kwa maslahi ya nani?

Samia alipoingia alijidai kuifungua nchi (
sisi tulijua ni usanii) sasa hivi anazidi kuifunga. Hata JF ambayo miaka yote ilikuwa huru bado imefungiwa. Inabidi uwe na wazimu kuitetea serikali hii haramu. Machawa wanatumia VPN (wanavunja sheria) kuja kuitetea serikali. Akili gani hiyo?
Sasa unataka mimi nifanye nini? Kwikwikwikwikwi unajiumiza tu. Subiri miaka mitano iishe ugombee wewe. Zaidi ya hapo ni upumbavu tu. Siasa zenyewe hujui unajilazimisha kufanya siasa.
 
Lol. Own goal.
KETRACO does not transmit in small small voltage like 66kv. Hio ni kazi ya Kenya Power.

Your Tanesco does everything from generation to selling tokens. That's why you'll never grow a behemoth like KenGen.
For yor information 66kV is just 2KM. Kwikwikwikwikwi in Kigoma Region
Kenya - 2,211km of 132kV pwahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom