much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
kwani hawa maccm sio vibaraka?Mikataba mibovu inasainiwa na vibaraka.
kwani hawa maccm sio vibaraka?Mikataba mibovu inasainiwa na vibaraka.
Hapo, tupo kwenye ukurasa mmoja.kwani hawa maccm sio vibaraka?
Watu wote wanaombagaza Amiri Jeshi Mkuu ni makuwadi wa mabeberu. Watanzania wote wenye uelewa wanalijua hilo.Hapo, tupo kwenye ukurasa mmoja.
Acha hizo brother, tuanzie hapa, hivi Tony Blair alikuwa anaishauri nini serikali?Watu wote wanaombagaza Amiri Jeshi Mkuu ni makuwadi wa mabeberu. Watanzania wote wenye uelewa wanalijua hilo.
Ila seriously, mademu wa Kenya wengi wako na sura personal 😂😂I was surprised to see that Conman kufuraishwa na vitu cya kawaida like that. Hiyo pekee is enough to tell you that they might have married their fellow men as wives.
Serikali yoyote inayojitambua kama Tanzania inasikiliza mawazo ya watu mbalimbali. Hata mtu binafsi mwenye IQ ya juu anasikiliza watu wa kila aina, but hapokei maelekezo. Hiyo ndiyo Tanzania (Hatufungamani na upande wowote)Acha hizo brother, tuanzie hapa, hivi Tony Blair alikuwa anaishauri nini serikali?
Wewe soma kijana. Remember in this thread you are the only one still sleeping in hostel and eating in a a cafeteria.Ila seriously, mademu wa Kenya wengi wako na sura personal 😂😂
I'm not in hostel, nime rent room, na sili cafeteria. Na ninasoma sana tu, sasahivi niko free. Hata wewe ulisoma pia, kabla ya ku become whoever you are sasahiviWewe soma kijana. Remember in this thread you are the only one still sleeping in hostel and eating in a a cafeteria.
Ndio maana amekasirika. 😂😂😂Ila seriously, mademu wa Kenya wengi wako na sura personal 😂😂
Mimi naongea kuhusu girls wao walivyo na sura personal yeye anaanza kunipa ushauri eti nisome. Hata hakuna uhusiano wowote na comment yangu 😂😂😂Ndio maana amekasirika. 😂😂😂