Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mtu amepanda usafiri huu ni 25 years. Kwenye Depot pale Ubungo kulikuwa na restaurant ya chakula inaitwa Abiyan miaka ya 1982/3/3/5 to 1990s. Baaday ya usafiri wa Uda kuleta tafran mabasi ya watu binafsi yalianza kazi hasa Ashok Leyland, nakumbuka mpaka baadhi ya majina ya mabasi hayo kama "Jadide" hiyo ni 1980s.

View attachment 3515659
Naliona kumba kumba hapo.
 
There is nothing you can do. Samia ni member wa gang la Kikwete linalozimika kwa kasi. Yeye na senior members wa group hilo hatuta kuwa nao muda si mrefu.

Ulijinadi kuwa unazo za ndani, cha ajabu hata hizi obvious hauna.



View attachment 3515651
Mtandao hawawezi kuendelea kuongoza, kutoka kikwete mpaka kwa Rizwan, hapo kati, kuna pengo. kuna wakina Nchimbi, Mugwilu, Makamba na wengine wengi. Hapata kalika.
 
Kikwete na genge lake ndio wameharibu sana nchi na kutucheleweshea sana maendeleo.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1779278657116062162

We acha tuu, halafu unakuta watu wanatetea ujinga. Nimeona mahali wanaleta ajenda ya sekta binafsi kwenye umeme, yale yale ya Richmond.

Yaani hawajali hata maslahi ya Watanzania. Ndiyo maana CCM mtandao, nawaita vibaraka, maana huwezi unguza nyumba unayoishi mwenyewe, kama siyo kibaraka.

Kama kweli Venus Star ni mzalendo wa kweli, at least angeuchuna kama Geza Ulole anavyofanya, kuliko kutetea huu ujinga.
 
We acha tuu, halafu unakuta watu wanatetea ujinga. Nimeona mahali wanaleta ajenda ya sekta binafsi kwenye umeme, yale yale ya Richmond.

Yaani hawajali hata maslahi ya Watanzania. Ndiyo maana CCM mtandao, nawaita vibaraka, maana huwezi unguza nyumba unayoishi mwenyewe, kama siyo kibaraka.

Kama kweli Venus Star ni mzalendo wa kweli, at least angeuchuna kama Geza Ulole anavyofanya, kuliko kutetea huu ujinga.
Upendo na uwajibikaji kwa wenzetu ndio tatizo kubwa sana.
Wizi, ufisadi, madawa ya kulevya.
Kwanzia leo anza kukusanya majina ya wanao kamatwa ndani na nje, utapata jibu.
 
Upendo na uwajibikaji kwa wenzetu ndio tatizo kubwa sana.
Wizi, ufisadi, madawa ya kulevya.
Kwanzia leo anza kukusanya majina ya wanao kamatwa ndani na nje, utapata jibu.
Mtandao ni mafia kishenzi, na kuna ajenda ya siri imeanza kuonekana kama unavyosema, hasa ukiangalia viongozi wanaouawa.

Kama unakaa nje, sasa hivi ukirudi bongo, unanyang'anjwa passport. Wameiharibu sana nchi.

Kuna wakati Tanzania ilikuwa hub ya madawa ya kulevya, mzigo ulikuwa unashushwa Bongo, ndo wanafanya distribution, Afrika na South America.

Usione hawa machawa wanaotetea hapa, wengine walitekwa na kushurtishwa, hata kufirwa na hawa cartel.

Ndiyo maana nguvu kubwa inatumika kuhodhi madaraka, ili kulinda biashara haramu, ikiwemo ya viungo vya binadamu.
 
Hakuna mtu amepanda usafiri huu ni 25 years. Kwenye Depot pale Ubungo kulikuwa na restaurant ya chakula inaitwa Abiyan miaka ya 1982/3/3/5 to 1990s. Baaday ya usafiri wa Uda kuleta tafran mabasi ya watu binafsi yalianza kazi hasa Ashok Leyland, nakumbuka mpaka baadhi ya majina ya mabasi hayo kama "Jadide" hiyo ni 1980s.

View attachment 3515659
Unayoandika ni maneno tu. Kwenye social media hata mtoto wa miaka 8 anaweza sema yupo na miaka 60. Ukweli comments zako zinaonesha how stupid your are, na namna umri wako ulivyo chini.

Hujui kuwa majeshi yote ya ulinzi na usalama yanaapa kumlinda amiri jeshi mkuu? Halafu ulivyo mpubavu unakuja hapa kutuletea usenge wako wa kumtukana Head of State, Amiri Jeshi Mkuu na Kiongozi wa Serikali.


View: https://youtube.com/shorts/gSdLUC3fdgA?si=KKvaxgWAHlvE7EVb

Mkila mahrage mnavimbiwa na kuanza kuropoka kwenye mitandao

Eboh!!
 
Katikaki chini lina mduara mkubwa unazunguka likikata kona.
Huyu dogo Venus Star hata hiyo experience ya hizi Hungarian buses, Ikarus, hana.
Nimekuambia wewe ni mpumbavu na wewe ni Gen Z. Unaivishwa na propaganda ndogo tu za kwenye social mendia na unabadilika na kuanza kulitukana Taifa lako. Akili zako bado zinakua hazijakomaa. Kama akina Maria Sarungi na Mange Kimambi wameweza kukupiga propaganda za video za AI ukajaa kwenye mfumo sasa tukuiteje?

1. Utakuwa bado akili zako ni za kitoto haziwezi kuchambua huu ni ukweli na huu ni uongo.

2. Elimu yako ya kuchambua hii ni Black Propaganda na hii ni kweli huna

3. Unajilazimisha kufanya siasa wakati hujui siasa, matokeo yake unakasirika ovyo na kuongea maneno ya ajabu ajabu kama akina Heche na Lissu ambao ki msingi siyo wanasiasa ni activist. (Mwanasiasa anafanya kwa lengo la kuleta maendeleo katika nchi na kulinda uhuru wa nchi yake). Sasa Heche anasema nchi iwe chini ya wazungu kama siyo bangi za Mara itakuwa ni akili za kitumwa.

4. Hujui uwezo wa Rais na hujui kuwa Urais ni Taasisi. Unapiga kelele na kitoto eti unadhani utamdogosha Amiri Jeshi Mkuu kwa maneno yako na Mange ya Michambo kwenye social media.

5. Dogo nenda shule kwanza kajifunze kuhusu National Interest hususani Interest za Tanzania. Shukuru Rais Samia amekomaa sana kisiasa. Kaanza kuwepo kwenye NEC ya CCM since mwaka 2,000. So amekuwa kwenye siasa za Taifa hili miaka zaidi ya 25. Anazijua Siasa za ndani na nje. Na siasa ngumu kuliko siasa zote ni zile za ndani ya CCM. I know I have been in CCM siasa zaidi ya miaka 20 sasa. Kwahiyo huniambii kitu wewe mtoto wa mama.
NB: Acha kuropoka ropoka. Propaganda nazijua mno, maana mimi nimesoma Propaganda nchini Yugoslavia na German. Najua kutengenea Big Lie na namna ya ku overcome. Nazijua propaganda za Kisiasa na za Kidini. Nilisoma Imminent Threats miaka 2 Israel, Nimesoma mwaka mmoja Aktivnye Meropriyatiya Urusi.

Nimekudokeza vitu vichache tu, ujifunze kuhusu mimi. Mimi siyo wa kuparamiwa kipumbavu dogo.
 
We acha tuu, halafu unakuta watu wanatetea ujinga. Nimeona mahali wanaleta ajenda ya sekta binafsi kwenye umeme, yale yale ya Richmond.

Yaani hawajali hata maslahi ya Watanzania. Ndiyo maana CCM mtandao, nawaita vibaraka, maana huwezi unguza nyumba unayoishi mwenyewe, kama siyo kibaraka.

Kama kweli Venus Star ni mzalendo wa kweli, at least angeuchuna kama Geza Ulole anavyofanya, kuliko kutetea huu ujinga.
Brother acha kupiga propaganda za kitoto. Hizo tulishacheza nazo wakati tunaanza kufundishwa Bandwagon Propaganda, Glittering Generalities Propaganda, Name Calling Propaganda, Hizi propaganda zikishindwa wanakuja na Fear Appeals

Na kwa bahati nzuri mimi ni Informationa Analysist mzuri sana na ninaheshimika na mataifa makubwa mno.
Baada ya adui wa Tanzania kufanikiwa kumuua Magufuli kupitia vibaraka wao wa Katoliki wakajua Samia yupo upande wao. Katoliki wakaanza kumsifia but they didn't know kuwa Samia ndiye aliyekuwa Mentor wa Magufuli.

Walitegemea kuwa atakuwa upande wao, But walishangaa anaendelea na mipango ya Magufuli in low voice wakatengeneza syndicate. Mpango ulikuwa kama ifuatavyo.

1. Kuhakikisha TLS inakuwa mikononi mwao (Kweli pesa nyingi sana zilimwagwa na propaganda kali zilipitishwa kwa mawakili mpaka Mwambukusi akaingizwa)

2. Hatua iliyo mfuata ni Kukitoa CHADEMA KKKT kiweze kuwa cha Katoliki 100%. Mikakati ilipangwa na kufanikiwa kuwang'oa KKKT na Waislam ndani ya CHADEMA (Hapo sasa walifanikiwa kuwa na silaha mbili)

Next step ilikuwa ni kumg'oa Rais kwa namna yoyote ile.

Sisi wataalam wa Informationa tuliiona hiyo movement tunamtonya Rais. Tukaanza kubomoa kidogo kidogo.

1. Tukaanza kumuunganisha Rais wa TLS na masuala ya Kiserikali, kuhusu kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi wa Tanzania. Alianza kujaa kwenye mfumo, Baadae maadui wakamtonya kuwa unajaa kwenye 18. Akawa njia panda tayari ameshaingia kwenye mfumo.

2. Tundu Lissu akapewa Airtime, tunajua huyo ni mropokaji. Akajaa kwenye mfumo siku chache tu za ku saini maadili ya Uchaguzi. Na ilijulikana kabisa CHADEMA watagoma ku saini maadili ya uchaguzi kwasababu mwenyekiti wao katiwa ndani. Kweli wakajaa kwenye mfumo.

Kwasababu ilikuwa ni syndicate kuna watu walikuwa ndani ya TISS ambao wanasaidia maadui. Ikatengenezwa Counter syndicate. Hii siisemi, lakini imefanya kazi na wote waliokuwa wanafanya mambo hayo taarifa zao zote wamesomewa na wamepewa ushahidi. Sasa hivi wanasubiri kutiwa kwenye kifungo cha kijeshi.


Nina uhakika hapa umekula somo na uache kuropoka kwa kutumia hisia.
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Open Spaces or Parks hakuna kabisa Dar es Salaam - wazee wahuni washauziana balaa;
 
Brother acha kupiga propaganda za kitoto. Hizo tulishacheza nazo wakati tunaanza kufundishwa Bandwagon Propaganda, Glittering Generalities Propaganda, Name Calling Propaganda, Hizi propaganda zikishindwa wanakuja na Fear Appeals

Na kwa bahati nzuri mimi ni Informationa Analysist mzuri sana na ninaheshimika na mataifa makubwa mno.
Baada ya adui wa Tanzania kufanikiwa kumuua Magufuli kupitia vibaraka wao wa Katoliki wakajua Samia yupo upande wao. Katoliki wakaanza kumsifia but they didn't know kuwa Samia ndiye aliyekuwa Mentor wa Magufuli.

Walitegemea kuwa atakuwa upande wao, But walishangaa anaendelea na mipango ya Magufuli in low voice wakatengeneza syndicate. Mpango ulikuwa kama ifuatavyo.

1. Kuhakikisha TLS inakuwa mikononi mwao (Kweli pesa nyingi sana zilimwagwa na propaganda kali zilipitishwa kwa mawakili mpaka Mwambukusi akaingizwa)

2. Hatua iliyo mfuata ni Kukitoa CHADEMA KKKT kiweze kuwa cha Katoliki 100%. Mikakati ilipangwa na kufanikiwa kuwang'oa KKKT na Waislam ndani ya CHADEMA (Hapo sasa walifanikiwa kuwa na silaha mbili)

Next step ilikuwa ni kumg'oa Rais kwa namna yoyote ile.

Sisi wataalam wa Informationa tuliiona hiyo movement tunamtonya Rais. Tukaanza kubomoa kidogo kidogo.

1. Tukaanza kumuunganisha Rais wa TLS na masuala ya Kiserikali, kuhusu kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi wa Tanzania. Alianza kujaa kwenye mfumo, Baadae maadui wakamtonya kuwa unajaa kwenye 18. Akawa njia panda tayari ameshaingia kwenye mfumo.

2. Tundu Lissu akapewa Airtime, tunajua huyo ni mropokaji. Akajaa kwenye mfumo siku chache tu za ku saini maadili ya Uchaguzi. Na ilijulikana kabisa CHADEMA watagoma ku saini maadili ya uchaguzi kwasababu mwenyekiti wao katiwa ndani. Kweli wakajaa kwenye mfumo.

Kwasababu ilikuwa ni syndicate kuna watu walikuwa ndani ya TISS ambao wanasaidia maadui. Ikatengenezwa Counter syndicate. Hii siisemi, lakini imefanya kazi na wote waliokuwa wanafanya mambo hayo taarifa zao zote wamesomewa na wamepewa ushahidi. Sasa hivi wanasubiri kutiwa kwenye kifungo cha kijeshi.


Nina uhakika hapa umekula somo na uache kuropoka kwa kutumia hisia.
Kuhusu propaganda, mimi siko interested na hayo, nipo hapa kutoa maoni yangu binafsi tuu.

Kuhusu watu wa Tanganyika Law society (TLS), Maria Sarungi na hata Tundu lissu, mimi huwa siwaoni kama wana uzalendo wa kweli (labda kama kazi yao ni kupeleka watu maboya) ila kusema CCM mtandao ni wazalendo, hapo ndipo tutatofautiana.

Magufuli kweli alikuwa mzalendo, ukiondoa mapungufu aliyokuwa nayo, alileta positive impact kwa nchi yetu, ndiyo maana wakamuua, sasa unajiuliza, walimuua mzalendo kwa faida ya nani?

Sasa hivi tunaona mpasuko, watu wanaanza kuchochea udini, hii ni kwa faida ya nani? Ikichafuka Tanzania, utafurahi?
 
Kuhusu propaganda, mimi siko interested na hayo, nipo hapa kutoa maoni yangu binafsi tuu.

Kuhusu watu wa Tanganyika Law society (TLS), Maria Sarungi na hata Tundu lissu, mimi huwa siwaoni kama wana uzalendo wa kweli (labda kama kazi yao ni kupeleka watu maboya) ila kusema CCM mtandao ni wazalendo, hapo ndipo tutatofautiana.

Magufuli kweli alikuwa mzalendo, ukiondoa mapungufu aliyokuwa nayo, alileta positive impact kwa nchi yetu, ndiyo maana wakamuua, sasa unajiuliza, walimuua mzalendo kwa faida ya nani?

Sasa hivi tunaona mpasuko, watu wanaanza kuchochea udini, hii ni kwa faida ya nani? Ikichafuka Tanzania, utafurahi?
Hapo kwenye red ndio propaganda zenyewe kaka. Hiyo inaitwa Name Calling Propaganda.
Hiyo propaganda inatumika sana, na ukiulizwa utoa ufafanuzi kunakuwa hakuna ufafanuzi. Propaganda kazi yake ni kuamsha hisia na siyo logical issues. Mifano ya Name Calling "Nduli Idd Amin", Bashite, Ponjoro, Nyanga'u, Makaburu nk.

Sasa na wewe either ni msambaza propaganda pasipo kujijua au wewe ni sehemu ya mpango wa propaganda hizo.

Hebu tueleze CCM mtandao ni akina nani na wamefanya nini? Weka ushahidi wa kitu walichokifanya.
 
Back
Top Bottom