Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tueleze CCM mtandao ni akina nani na wamefanya nini? Weka ushahidi wa kitu walichokifanya.
Mtandao ni kundi ililoanzishwa na kikwete, akiwa na Rostam, Membe, Lowasa n.k katika harakati za urais wa '05 ili kuiweka Tanzania mikononi mwao.

Kikwete alistaafu, miaka 10 iliyopita, nini kinamfanya aendelee kujihusisha na serikali hii? Samia mwenyewe alishasema, "huyu ni bosi wangu". Kama ulikuwa hujui pale alikiri, Kikwete ni bosi wake wa mtandao, wewe Venus Star ni nani wa kuipinga kauli ya bosi wako? Au na wewe umekuwa mhaini?

Tangu lini amiri jeshi mkuu akawa na bosi?

Sasa kama unapingana na kauli ya kiongozi wako mkuu, basi wewe ni dhahri ndiye unaefanya propaganda.
 
Mtandao ni kundi ililoanzishwa na kikwete, akiwa na Rostam, Membe, Lowasa n.k katika harakati za urais wa '05 ili kuiweka Tanzania mikononi mwao.

Kikwete alistaafu, miaka 10 iliyopita, nini kinamfanya aendelee kujihusisha na serikali hii? Samia mwenyewe alishasema, "huyu ni bodi wangu". Yaani bodi wa mtandao, wewe Venus Star ni nani wa kuipinga kauli ya bosi wako? Au na wewe umekuwa mhaini?

Tangu lini amiri jeshi mkuu akawa na bosi?

Sasa kama unapungana na kauli ya kiongozi wako basi ni wewe unayetembeza propaganda maana unapinga ukweli uliowazi.
Propaganda za kitoto kabisa. Huenda kinachokusumbua ni kukosa exposure au unafanya makusudi.
1. Nyerere aliacha kuwa Rais mwaka 1985 lakini alitoa maamuzi kwenye nchi ihamie vyama vingi au la.
2. Barack Obama aliacha kuwa Rais since 2017 lakini bado Biden alikimbilia kwa Obama mara kwa mara.

Mifano ipo mingi mno tena ya kumwaga. Lakini kwasababu umefumbwa macho yako na Mange Kimambi huoni mbele wala nyuma. Pole sana.

Kuhusu Mtandao hebu tuambie mtandao wa Nyerere kwanini huusemi? Kwanini husemi kuwa Joseph Sinde Warioba kuwa ni mtoto wa dada yake na Nyerere? Hebu tuambie Warioba alikuwa na vyeo vipi Serikalini?

Kwa mantik hiyo hoja yako ya mtandao imekufa haina mashiko. Leta hoja nyingine.
 
Propaganda za kitoto kabisa. Huenda kinachokusumbua ni kukosa exposure au unafanya makusudi.
1. Nyerere aliacha kuwa Rais mwaka 1985 lakini alitoa maamuzi kwenye nchi ihamie vyama vingi au la.
2. Barack Obama aliacha kuwa Rais since 2017 lakini bado Biden alikimbilia kwa Obama mara kwa mara.

Mifano ipo mingi mno tena ya kumwaga. Lakini kwasababu umefumbwa macho yako na Mange Kimambi huoni mbele wala nyuma. Pole sana.

Kuhusu Mtandao hebu tuambie mtandao wa Nyerere kwanini huusemi? Kwanini husemi kuwa Joseph Sinde Warioba kuwa ni mtoto wa dada yake na Nyerere? Hebu tuambie Warioba alikuwa na vyeo vipi Serikalini?

Kwa mantik hiyo hoja yako ya mtandao imekufa haina mashiko. Leta hoja nyingine.
Kwa nini unautetea mtandao wa Kikwete, we ni mmoja wao?
 
Kwa nini unautetea mtandao wa Kikwete, we ni mmoja wao?
Ninakuuliza maswali hutaki kujibu unaogopa kuyajibu? Unaujua uhusiano wa Warioba na Nyerere? Butiku je na Mwalimu Nyerere Foundation? Hivi unajua nani alitoa wazo la Serikali kuhamia Dodoma?

Nijibu maswali hayo ya msingi ambayo yanaumuhimu zaidi kuliko propaganda za Name Calling aka kuita watu wanamtandao.

1765783657264.png


1765783751615.png
 
Ninakuuliza maswali hutaki kujibu unaogopa kuyajibu? Unaujua uhusiano wa Warioba na Nyerere? Butiku je na Mwalimu Nyerere Foundation? Hivi unajua nani alitoa wazo la Serikali kuhamia Dodoma?

Nijibu maswali hayo ya msingi ambayo yanaumuhimu zaidi kuliko propaganda za Name Calling aka kuita watu wanamtandao.
Unafanya propaganda sasa, uliniuliza mtandao ni nani, nikakujibu, sasa naona uneamua kuhamisha magoli ili tusimuongelee Kikwete. Acha mambo ya kufunika kombe, hatujamalizana na mtandao wa kikwete bosi wa Samia.

Hiyo kauli ya kikwete bosi wa mtandao, kuwa bosi wa Samia unaielewa?
 
Unafanya propaganda sasa, uliniuliza mtandao ni nani, nikakujibu, sasa naona uneamua kuhamisha magoli ili tusimuongelee Kikwete. Acha mambo ya kufunika kombe, hatujamalizana na mtandao wa kikwete bosi wa Samia.

Hiyo kauli ya kikwete bosi wa mtandao, kuwa bosi wa Samia unaielewa?
Tatizo akili zako ni ngumu sana kaka. Ninakujibu kisomi sana lakini wewe ni mgumu sana kuelewa. Jibu langu fupi:
Kabla ya kuongelea Mtandao wa Kikwete anza kwanza Kuongelea mtandao wa Nyerere.
 
Tatizo akili zako ni ngumu sana kaka. Ninakujibu kisomi sana lakini wewe ni mgumu sana kuelewa. Jibu langu fupi:
Kabla ya kuongelea Mtandao wa Kikwete anza kwanza Kuongelea mtandao wa Nyerere.
Naona uko layal sana kwa bosi wa mtandao, ambaye ni Kikwete. Umeamua kufanya spinning tuu sasa, nimekuelewa.
 
Ona sasa unakoelekea. Unaukwepa ukweli kwa kujificha kwenye kichaka cha ufito. Mwasisi wa mtandao ni Nyerere. Ukivunja mtandao wa Nyerere mitandao mingine automatic inakufa.
Kikwete ndiyo muasisi wa mtandao, acha kutudanganya watu wazima, tuliokuwepo kipindi cha uchaguza 1995, wakati Kikwete ana rafiki yake wakipanda ndege ya kukodi kwenda Dodoma kichukua fomu.
 
Kikwete ndiyo muasisi wa mtandao, acha kutudanganya watu wazima, tuliokuwepo kipindi cha uchaguza 1995, wakati Kikwete ana rafiki yake wakipanda ndege ya kukodi kwenda Dodoma kichukua fomu.
Kama huujui mtandao wa Nyerere ulioondoa uhai wa Sokoine, Ukaondoa uhai wa Horace Kolimba, Mtandao uliomfanya Oscar Kambona akimbilie uhamishoni, basi utakuwa Gen-Z

Mwasisi wa mtandao ni Nyerere. Ukivunja mtandao wa Nyerere vitu vyote vinakuwa free.
 
Kama huujui mtandao wa Nyerere ulioondoa uhai wa Sokoine, Ukaondoa uhai wa Horace Kolimba, Mtandao uliomfanya Oscar Kambona akimbilie uhamishoni, basi utakuwa Gen-Z

Mwasisi wa mtandao ni Nyerere. Ukivunja mtandao wa Nyerere vitu vyote vinakuwa free.
Tunamzungunzia Kikwete bosi wa mtandao, usinitoe kwenye reli kizembe.
 
Tunamzungunzia Kikwete bosi wa mtandao, usinitoe kwenye reli kizembe.
Chamoto anaumia sana. Utakufa kwa presha siku si zako. Relax Life is so easy

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga kwa ajili ya kufungua mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Makamanda, tarehe 15 Desemba, 2025.

1765790614224.png


1765790630071.png


1765790652989.png


1765790663247.png
 
Back
Top Bottom