Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma Stadium ujenzi unaendelea ujenzi upo 2%
1. Arusha Stadium u/c - capacity 32,000
2. Dodoma Stadium u/c - capacity 32,000
3. Zanzibar Stadium u/c - capacity 36,500 plus Two 15k seat training ground.
4. Mkapa Stadium - capacity 62,000
5. New Amaan Stadium - capacity 15,000
6. Uhuru Stadium - 23,000 (wanaweka viti capacity inaweza kuongezeka)
7. Gombani stadium - capacity 15,000


1765552445929.jpeg
 
Hapana ninachokiona ni wahuni wanatakatisha madaraka kupitia dini
Hiyo ni kweli ila nachoongelea mimi, ni strategy siyo tactic.

Chini chini tactic inaonekana wanachochea udini ila unaweza kuta na wao wanafuata script waliyopewa na ma globalist ili tumalizane, wapate Urani, lithium, gesi, madini adimu, makaa ya mawe n.k.

Fikiria hili, kulikuwa na sababu gani ya Samia kuwa karibu na Blair? Atashauri nini kwa faida ya Watanzania?

Kulikuwa na sababu gani ya kuanza kutumia barakoa, na kuleta chanjo baada ya Magu kufariki, wakati watu waliishi vizuri zaidi ya mwaka bila barakoa?

Kilikuwa na sababu gani ya kuwaminya wananchi na tozo, huku watawala, wakiendelea kununua magari ya V8? Huoni ni counter intuitive?

Ukiangalia kwa makini, hizi ni time tested script za ma globalist, kutufanya tuendelee kuwa maskini wategenezi na nchi kutokutawalika. Na ukiona mtawala anatekeleza haya, ujue ni kibaraka.

CCM mtandao ni vibaraka ma globalist. Hata wanapojidai kumshtaki Samia ICC, ni wanafiki.

Pamoja na yote yaliyofanyika, kama utekaji, mauaji, na katiba kuvunjwa, utaona hawatumii msuli mkubwa kama walioutumia kumminya Magu. Hii kwangu ni signal tosha kuwa tuna economic hitman Tanzania.
 
Basi watu wanaochukia dini za wengine hapa Tanzania wapo ila ni wachache sana ukifananisha na wasiochukia dini za wenzao
Na huku Tanzania most of people wenye udini wanatokea Zanzibar kwa asilimia kubwa

Pia mimi huwa ninadiss Kenya online ila siwezi kumchukia Mkenya, cause I have some Kenyan friends online, na ninajua hata nikikutana na Mkenya in real life anaweza kuwa rafiki yangu na simchukii hata kidogo
Hatuna shida ya udini ndo maana watu wanamshamngaa huyo mhuni
Kumbuka huu uzi ni battle kati ya Kenya na Tanzania. Wengi wenu of course mtajaribu kuficha uchi kidogo ila ukienda kwa platform zingine za Watanzania watupu utapata mitusi ikiporomoshwa tu. Hapa Afrika Mashariki ukiondoa Somalia, Tanzania ndio inaongoza kwa udini.
 
Kumbuka huu uzi ni battle kati ya Kenya na Tanzania. Wengi wenu of course mtajaribu kuficha uchi kidogo ila ukienda kwa platform zingine za Watanzania watupu utapata mitusi ikiporomoshwa tu. Hapa Afrika Mashariki ukiondoa Somalia, Tanzania ndio inaongoza kwa udini.
Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.
Somalia hadi wanauana, ni more than just udini wa kutukanana facebook, kule udini upo kwenye level ya Terrorism kabisa
Kwanza hata Kenya imewahi kushambuliwa na Al Shabab juu ya udini. Sisi hatujawahi
 
Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.
Somalia hadi wanauana, ni more than just udini wa kutukanana facebook, kule udini upo kwenye level ya Terrorism kabisa
Kwanza hata Kenya imewahi kushambuliwa na Al Shabab juu ya udini. Sisi hatujawahi
Kwa sababu kwao kuna ukabila basi analazimisha na Tanzania kuwe na udini.
 
Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.
Somalia hadi wanauana, ni more than just udini wa kutukanana facebook, kule udini upo kwenye level ya Terrorism kabisa
Kwanza hata Kenya imewahi kushambuliwa na Al Shabab juu ya udini. Sisi hatujawahi
Kuna tofauti ya terrorism na udini. Alshabaab ni millitia ya nchi jirani iliyoattack Kenya kwa sababu ya grievances za kisiasa na nimekueleza hivo. Vita vya Somalia sio vya udini bali ni siasa na wanauana waislamu kwa waislamu. Kando na hilo, Somalia kuna udini sana japo huo udini haujaleta shida ya mauaji popote maanake Somalia 98% ya population ni Waislamu. Mimi nimeishi Somalia na nilipokuwa huko, niliona shida ya kidini ipo. Bahati yao wengi wao ni Waislamu ila ukienda huko uwe Mkristo unapata wameanza kukuonyesha kaubaguzi fulani hivi hadi saa zingine inabidi ujifanye Mwislamu ndio maisha kidogo iwe smooth. Somalia ingekuwa na Wakristo zaidi ya asilimi 10 kungekuwa na shida sana.
 
Kuna tofauti ya terrorism na udini. Alshabaab ni millitia ya nchi jirani iliyoattack Kenya kwa sababu ya grievances za kisiasa na nimekueleza hivo. Vita vya Somalia sio vya udini bali ni siasa na wanauana waislamu kwa waislamu. Kando na hilo, Somalia kuna udini sana japo huo udini haujaleta shida ya mauaji popote maanake Somalia 98% ya population ni Waislamu. Mimi nimeishi Somalia na nilipokuwa huko, niliona shida ya kidini ipo. Bahati yao wengi wao ni Waislamu ila ukienda huko uwe Mkristo unapata wameanza kukuonyesha kaubaguzi fulani hivi hadi saa zingine inabidi ujifanye Mwislamu ndio maisha kidogo iwe smooth. Somalia ingekuwa na Wakristo zaidi ya asilimi 10 kungekuwa na shida sana.
Hakuna udini Tanzania, but tunawaonya tu, wale wanaoleta chokochoko za udini. Mimi ni Mkristo, Mke wangu ni muislam. Watoto wangu wanaenda Kanisani na Msikitini. Wao ni Wakrislam
 
Back
Top Bottom