babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Wakenya watadhani hii ni “Akili Unde” 😂😂😂
View: https://x.com/bigeyeug/status/1935321602855739728?s=46
Wakenya watadhani hii ni “Akili Unde” 😂😂😂
Wakenya watadhani hii ni “Akili Unde” 😂😂😂
View: https://x.com/bigeyeug/status/1935321602855739728?s=46
Hiyo ni kweli ila nachoongelea mimi, ni strategy siyo tactic.Hapana ninachokiona ni wahuni wanatakatisha madaraka kupitia dini
Wakenya watadhani hii ni “Akili Unde” 😂😂😂
View: https://x.com/bigeyeug/status/1935321602855739728?s=46
Ukiwa g@y unadhani hizo vitu zita ku impress?No wonder mtabaki kuwa LDC milele, are this what impresses you?
Akili yako ni ndogo sana, now I know why I haven’t seen you any day participating in discussions of serious subjects.Ukiwa g@y unadhani hizo vitu zita ku impress?
Onesha serios subjects unazo discuss humu kama sio matope 24/7.Akili yako ni ndogo sana, now I know why I haven’t seen you any day participating in discussions of serious subjects.
Mombasa imeizidi Mwanza kwa mbali sana ndio maana. Same way you can compare a lion to a tiger but you can't compare a lion to a cheetah. You compare things that are of similar size.Kwani kuna ubaya gani kucompare Mwanza na Mombasa?
Huku kenya mtafika miaka 100 ijayoMombasa imeizidi Mwanza kwa mbali sana ndio maana. Same way you can compare a lion to a tiger but you can't compare a lion to a cheetah. You compare things that are of similar size.
Basi watu wanaochukia dini za wengine hapa Tanzania wapo ila ni wachache sana ukifananisha na wasiochukia dini za wenzao
Na huku Tanzania most of people wenye udini wanatokea Zanzibar kwa asilimia kubwa
Pia mimi huwa ninadiss Kenya online ila siwezi kumchukia Mkenya, cause I have some Kenyan friends online, na ninajua hata nikikutana na Mkenya in real life anaweza kuwa rafiki yangu na simchukii hata kidogo
Kumbuka huu uzi ni battle kati ya Kenya na Tanzania. Wengi wenu of course mtajaribu kuficha uchi kidogo ila ukienda kwa platform zingine za Watanzania watupu utapata mitusi ikiporomoshwa tu. Hapa Afrika Mashariki ukiondoa Somalia, Tanzania ndio inaongoza kwa udini.Hatuna shida ya udini ndo maana watu wanamshamngaa huyo mhuni
Mbona hawa watoto wa kawaida tu? You people where do you live?Kenya huwezi kupata fine ladies kama hawa 😂😂😂
Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.Kumbuka huu uzi ni battle kati ya Kenya na Tanzania. Wengi wenu of course mtajaribu kuficha uchi kidogo ila ukienda kwa platform zingine za Watanzania watupu utapata mitusi ikiporomoshwa tu. Hapa Afrika Mashariki ukiondoa Somalia, Tanzania ndio inaongoza kwa udini.
Kwa sababu kwao kuna ukabila basi analazimisha na Tanzania kuwe na udini.Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.
Somalia hadi wanauana, ni more than just udini wa kutukanana facebook, kule udini upo kwenye level ya Terrorism kabisa
Kwanza hata Kenya imewahi kushambuliwa na Al Shabab juu ya udini. Sisi hatujawahi
Kuna tofauti ya terrorism na udini. Alshabaab ni millitia ya nchi jirani iliyoattack Kenya kwa sababu ya grievances za kisiasa na nimekueleza hivo. Vita vya Somalia sio vya udini bali ni siasa na wanauana waislamu kwa waislamu. Kando na hilo, Somalia kuna udini sana japo huo udini haujaleta shida ya mauaji popote maanake Somalia 98% ya population ni Waislamu. Mimi nimeishi Somalia na nilipokuwa huko, niliona shida ya kidini ipo. Bahati yao wengi wao ni Waislamu ila ukienda huko uwe Mkristo unapata wameanza kukuonyesha kaubaguzi fulani hivi hadi saa zingine inabidi ujifanye Mwislamu ndio maisha kidogo iwe smooth. Somalia ingekuwa na Wakristo zaidi ya asilimi 10 kungekuwa na shida sana.Hapo unataja Somalia ili ionekane na sisi tupo kwenye very bad condition.
Somalia hadi wanauana, ni more than just udini wa kutukanana facebook, kule udini upo kwenye level ya Terrorism kabisa
Kwanza hata Kenya imewahi kushambuliwa na Al Shabab juu ya udini. Sisi hatujawahi
Hakuna udini Tanzania, but tunawaonya tu, wale wanaoleta chokochoko za udini. Mimi ni Mkristo, Mke wangu ni muislam. Watoto wangu wanaenda Kanisani na Msikitini. Wao ni WakrislamKuna tofauti ya terrorism na udini. Alshabaab ni millitia ya nchi jirani iliyoattack Kenya kwa sababu ya grievances za kisiasa na nimekueleza hivo. Vita vya Somalia sio vya udini bali ni siasa na wanauana waislamu kwa waislamu. Kando na hilo, Somalia kuna udini sana japo huo udini haujaleta shida ya mauaji popote maanake Somalia 98% ya population ni Waislamu. Mimi nimeishi Somalia na nilipokuwa huko, niliona shida ya kidini ipo. Bahati yao wengi wao ni Waislamu ila ukienda huko uwe Mkristo unapata wameanza kukuonyesha kaubaguzi fulani hivi hadi saa zingine inabidi ujifanye Mwislamu ndio maisha kidogo iwe smooth. Somalia ingekuwa na Wakristo zaidi ya asilimi 10 kungekuwa na shida sana.