Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza is one of the best places to live in Africa
Life is cheap, the city is very big, its green, its beautiful, weather is very nice, the city is growing very fast, it's a construction site now, it's peaceful, with cool views of Rocky Mountains and Lake Victoria
Tanzania is a small heaven 🇹🇿👌
FB_IMG_1765541431397.jpg
FB_IMG_1765541456262.jpg
Screenshot_2025-12-12-15-11-31-261_com.facebook.katana.png
FB_IMG_1765541508159.jpg
FB_IMG_1765541529051.jpg

FB_IMG_1765541562076.jpg

FB_IMG_1765541572688.jpg

FB_IMG_1765541593757.jpg
 
Kaka hao wanakutumia wakiona hufai tena wanakutoa roho. They call them devices. Wakiona wewe ni kikwazo kwenye missions zao they just terminate you. Kwanini wanaopata vifo vya ghafla ni wakatoliki tu? Hakuna mtu kutoka Protestant alipata kifo cha ghafla. Lowassa kadunda miaka mingi sana na afya yake.

Brother ndani ya katoliki kuna assasination group. Take it or leave it. Fuatilia kwa umakini sana utaona, wale wanaokuwa against na kanisa huku ni waumini wa katoliki wanauliwa. Very simple wanapewa sumu kwenye sakramenti wanakunywa then wanakufa chap.
Inafikirisha kwa nini wote ni wakatoliki, ila bado kuna too much noise, kwenye huu mswala wa Kikwete na Samia. Wacha akili itulie nijaribu kutafuta kama kuna signal.
 
Mwanza is one of the best places to live in Africa
Life is cheap, the city is very big, its green, its beautiful, weather is very nice, the city is growing very fast, it's a construction site now, it's peaceful, with cool views of Rocky Mountains and Lake Victoria
Tanzania is a small heaven 🇹🇿👌
View attachment 3514679View attachment 3514680View attachment 3514681View attachment 3514682View attachment 3514683
View attachment 3514684
View attachment 3514685
View attachment 3514686
This Mwanza is what some of you wanted to compare with Mombasa? Mnafaa kuwa serious saa zingine.
 
Honestly haya mambo mimi nayaona mitandaoni tu, na nimeanza kuyaona mwisho wa huu mwaka.
Nasema ukweli, mimi sijawahi kukutana na mtu mwenye udini in real life
That is how discrimination works bro. Mtu hawezi kwambia face to face ana chuki na wewe, utajua mitandaoni. Hata hawa wanaoisema Kenya vibaya nikikutana nao one on one wataongea mambo tofauti sana.
 
Jamaa uwezo wake wa kiakili na kuchanganua mambo ni mdogo sana.
Ni dizain ya watu wenye vyeti vya kuunga-unga. Memory span yake ni ndogo sana, hawezi kumbuka hsta tiny details za majadiliano weaks ago.

Ni dizain ya wana kila alichosoma kina evaporate minutes akitoka class.🚮
Sidhani kama unamuelewa vizuri huyu jamaa.

Nitakupa scenario moja kuhusu signal and noises, kutoka kwa mbwa.

Huyu mnyama, anauwezo mkubwa sana wa kunusa, anaweza kunusa harufu ya tone moja la damu lililodondoka na kupotea kwenye Olympic size swimming pool.

Wengi watanusa harufu ya chlorine kwenye swimming pool ila mbwa, Mungu amempa uwezo wa kutambua kuwa mbali na harufu ya chlorine, kuna damu.

Kiufupi mbwa anauwezo wa ku ignore noise akisikiliza signal.

Usijali noises anazoandika huyu Venus Star sikiliza signal. Katika mambo 1000 atakayoongea kuna signal huwa anatuma, mfano husema, " acha emotions" na hapo juu kasema, " deception ..."

Msome vizuri.
 
Inafikirisha kwa nini wote ni wakatoliki, ila bado kuna too much noise, kwenye huu mswala wa Kikwete na Samia. Wacha akili itulie nijaribu kutafuta kama kuna signal.
Kaka noise zote hizi issue ni bandari na sheria ya mpya ya kodi inayiyataka mashirika ya kidini.
Mashirika ya dini hususani Katoliki walikuwa wananufaika na msamaha wa kodi kupitisha vifaa bandarini. Kitu hicho kilifanya watu binafsi wawe wanaagiza vifaa kupitia mashirika ya dini baadae wanakuja kuuza. Lakini sheria mpya ya kodi na kanuni zake inawataka wafanye yafuatayo:

Barua ya maombi ya msamaha (kutoka kwa Mkuu wa shirika)
Barua ya utambulisho kutoka Mkuu wa Wilaya
Cheti cha Usajili cha shirika (ya kidini/uhisani)
Cheti cha TIN (namba ya mlipa kodi)
Hati za kibiashara za bidhaa zinazoagizwa (bili, orodha ya mizigo)
Mpango wa ununuzi wa kila mwaka wa shirika
Ripoti ya matumizi ya mwaka uliopita (ikiwepo)

Na baada ya TICS iliyokuwa chini ya Nazir Karamagi kuondolewa pale bandarini ndio ugomvi ukaanza.

Pitia document hii


Kisha soma sheria hii hapa ambayo ilitungwa 2019 na ndio ilimuondoa Magufuli

 
Sidhani kama unamuelewa vizuri huyu jamaa.

Nitakupa scenario moja kuhusu signal and noises, kutoka kwa mbwa.

Huyu mnyama, anauwezo mkubwa sana wa kunusa, anaweza kunusa harufu ya tone moja la damu lililodondoka na kupotea kwenye Olympic swimming pool.
Wengi hatanusa harufu ya chlorine kwenye swimming pool ila mbwa, Mungu amempa uqezo wa kutambua kuwa mabali na harufu ya chlorine, kuna damu.

Kiufupi mbwa anauwezo wa ku ignorr noises alisikiliza signal.

Usijali noises anazoandika huyu Venus Star Venus
Ndani ya noises zangu kuna ukweli mtupu.
 
That is how discrimination works bro. Mtu hawezi kwambia face to face ana chuki na wewe, utajua mitandaoni. Hata hawa wanaoisema Kenya vibaya nikikutana nao one on one wataongea mambo tofauti sana.
Basi watu wanaochukia dini za wengine hapa Tanzania wapo ila ni wachache sana ukifananisha na wasiochukia dini za wenzao
Na huku Tanzania most of people wenye udini wanatokea Zanzibar kwa asilimia kubwa

Pia mimi huwa ninadiss Kenya online ila siwezi kumchukia Mkenya, cause I have some Kenyan friends online, na ninajua hata nikikutana na Mkenya in real life anaweza kuwa rafiki yangu na simchukii hata kidogo
 
Sidhani kama unamuelewa vizuri huyu jamaa.

Nitakupa scenario moja kuhusu signal and noises, kutoka kwa mbwa.

Huyu mnyama, anauwezo mkubwa sana wa kunusa, anaweza kunusa harufu ya tone moja la damu lililodondoka na kupotea kwenye Olympic size swimming pool.

Wengi watanusa harufu ya chlorine kwenye swimming pool ila mbwa, Mungu amempa uwezo wa kutambua kuwa mbali na harufu ya chlorine, kuna damu.

Kiufupi mbwa anauwezo wa ku ignore noises alisikiliza signal.

Usijali noises anazoandika huyu Venus Star sikiliza signal. Katika mambo 1000 atakayoongea kuna signa huwa anatuma, mfano husema, " acha emotions" na hapo juu kasema, " deception..." msome vizuri.
Roger that.
Ntamchunia kuanzia sasa.
 
Nilimu ignore kwa wiki kadhaa, baadae nikamu unignore nilidhani atakuwa amepunguza comments zake za namna hii. I guess I was wrong
Kwa wakatoliki namuunga mkono jamaa.
Wakatoliki wanapenda kujipa umuhimu KULIKO MTU YEYOTE.
Na mara nyingi ukigusa maslahi yao ni ugomvi.
Rejelea Ummy Mwalimu alipowagusa kuhusu ruzuku za KCMC baada ya kugundua wanaenda kinyume na makubaliano ya ruzuku.
Wakatoliki ni watu ambao wanatakiwa wavunjwe nguvu kabisa Na taasisi yao.
Pia wakatoliki wana udini wa waziwazi.
 
Ndani ya noises zangu kuna ukweli mtupu.
Isome tena, hapo nilipost kibahati mbaya, kabla sijamslizia.
Kaka noise zote hizi issue ni bandari na sheria ya mpya ya kodi inayiyataka mashirika ya kidini.
Mashirika ya dini hususani Katoliki walikuwa wananufaika na msamaha wa kodi kupitisha vifaa bandarini. Kitu hicho kilifanya watu binafsi wawe wanaagiza vifaa kupitia mashirika ya dini baadae wanakuja kuuza. Lakini sheria mpya ya kodi na kanuni zake inawataka wafanye yafuatayo:

Barua ya maombi ya msamaha (kutoka kwa Mkuu wa shirika)
Barua ya utambulisho kutoka Mkuu wa Wilaya
Cheti cha Usajili cha shirika (ya kidini/uhisani)
Cheti cha TIN (namba ya mlipa kodi)
Hati za kibiashara za bidhaa zinazoagizwa (bili, orodha ya mizigo)
Mpango wa ununuzi wa kila mwaka wa shirika
Ripoti ya matumizi ya mwaka uliopita (ikiwepo)

Na baada ya TICS iliyokuwa chini ya Nazir Karamagi kuondolewa pale bandarini ndio ugomvi ukaanza.

Pitia document hii


Kisha soma sheria hii hapa ambayo ilitungwa 2019 na ndio ilimuondoa Magufuli

Mbona Tec walikuwa wanatoa matamko miaka yote, hata kwa Mkapa, Kikwete na Magufuli walitoa nyaraka?

Ishu hapa naona ni kubwa kuliko hizo tuhuma za wakatoliki. Dp World wamelalamikiwa nchi nyingi, hata hawa nyang'au waliwatimua, Marekani pia waliwatimua, kote huko sababu ni wakatoliki?
 
Matajiri wakubwa zaidi Tanzania wana asili ya Asia, mikoa yenye uislamu sana Tanzania ina umasikini wa kutisha, ikiongozwa na Kigoma
Watu weusi hapa Africa bila kujali dini wala kabila wengi wao ni masikini tu. Acha kujifurahisha mzee
Wafanyabiashara wengi wakubwa Tanzania ni waislam haijalishi ana asili ya Asia ama laaah.
Nenda kariakoo kitovu cha Biashara, Biashara nyingi za Kati Na juu za waislam weusi ukiachilia mbali wenye asili ya ushombe.
Hiyo mikoa najua utataja Lindi,Mtwara,Tabora. Usisahau Shinyanga,Kigoma ni mikoa ya wakristo wengi.
Na udumavu wa maendeleo katika hiyo mikoa unachagizwa kwanza ni uwajibikaji hafifu wa serikali ndogo pili jamii zenyewe zinazoishi hapo pasi Na kujalisha dini.
 
Kaka noise zote hizi issue ni bandari na sheria ya mpya ya kodi inayiyataka mashirika ya kidini.
Mashirika ya dini hususani Katoliki walikuwa wananufaika na msamaha wa kodi kupitisha vifaa bandarini. Kitu hicho kilifanya watu binafsi wawe wanaagiza vifaa kupitia mashirika ya dini baadae wanakuja kuuza. Lakini sheria mpya ya kodi na kanuni zake inawataka wafanye yafuatayo:

Barua ya maombi ya msamaha (kutoka kwa Mkuu wa shirika)
Barua ya utambulisho kutoka Mkuu wa Wilaya
Cheti cha Usajili cha shirika (ya kidini/uhisani)
Cheti cha TIN (namba ya mlipa kodi)
Hati za kibiashara za bidhaa zinazoagizwa (bili, orodha ya mizigo)
Mpango wa ununuzi wa kila mwaka wa shirika
Ripoti ya matumizi ya mwaka uliopita (ikiwepo)

Na baada ya TICS iliyokuwa chini ya Nazir Karamagi kuondolewa pale bandarini ndio ugomvi ukaanza.

Pitia document hii


Kisha soma sheria hii hapa ambayo ilitungwa 2019 na ndio ilimuondoa Magufuli

Nazir Karamagi ni mtandao wa Kikwete na TICTS iliidhinishwa kipindi cha Kikwete na Nazir Karamagi alisafiri na mihuri ya nchi kwenda kusign mgodi wa dhahabu wa Buzwagi huko hotelini ulaya.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1379193215149092877

Magufuli kwenye mkutano wa ikulu akitoa maelekezo ya watu kushughulikiwa aliweka kabisa bayana huyu "Nazir Karamagi". Na kipindi cha Magufuli TICTS ilipigwa chini.
 
Wafanyabiashara wengi wakubwa Tanzania ni waislam haijalishi ana asili ya Asia ama laaah.
Nenda kariakoo kitovu cha Biashara, Biashara nyingi za Kati Na juu za waislam weusi ukiachilia mbali wenye asili ya ushombe.
Hiyo mikoa najua utataja Lindi,Mtwara,Tabora. Usisahau Shinyanga,Kigoma ni mikoa ya wakristo wengi.
Na udumavu wa maendeleo katika hiyo mikoa unachagizwa kwanza ni uwajibikaji hafifu wa serikali ndogo pili jamii zenyewe zinazoishi hapo pasi Na kujalisha dini.
Mmh sawa
 
Back
Top Bottom