Sidhani kama unamuelewa vizuri huyu jamaa.
Nitakupa scenario moja kuhusu signal and noises, kutoka kwa mbwa.
Huyu mnyama, anauwezo mkubwa sana wa kunusa, anaweza kunusa harufu ya tone moja la damu lililodondoka na kupotea kwenye Olympic size swimming pool.
Wengi watanusa harufu ya chlorine kwenye swimming pool ila mbwa, Mungu amempa uwezo wa kutambua kuwa mbali na harufu ya chlorine, kuna damu.
Kiufupi mbwa anauwezo wa ku ignore noises alisikiliza signal.
Usijali noises anazoandika huyu
Venus Star sikiliza signal. Katika mambo 1000 atakayoongea kuna signa huwa anatuma, mfano husema, " acha emotions" na hapo juu kasema, " deception..." msome vizuri.