RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,911
Wewe huwa wanakuambia unaangalia sana movies.
Wewe huwa wanakuambia unaangalia sana movies.
Wakatoliki mnajipa umuhimu ambao hamna. Badilikeni dunia imebadilika.Sisi Makafiri na mimi kama x-missionary huwa tunajifunza upendo, umoja na uwajibikaji tu kwa wengine.
Ndio maana hatuna "epithet" ama majina ya kejeli ama ya kibaguzi dhidi ya wanaadam wengine tulio tofautiana kwa imani.
Ukoloni upi?
Magufuli alikataa lockdown, chanjo na barakoa na mama yenu kwenye speech yake ya kwanza kabisa kama rais alisema,
"Tanzania sio kisiwa ni lazima twende na wengine."
Nakuingiza chanjo na kulazimisha watu wavae barakoa. We all know, COVID ni huge scam!
Pia alisema kuhusu mgogoro wa Barrick Gold, akitoa maelekezo,
"Sitaki kuona mkipigishana vikumbo huko, sisi ndio wenye uhutaji"
Ntaleta video clip kama ushahidi wa hili utaitajika.
Ukoloni upi unaongelea wewe zaidi ya kuwapa Barrick msamaha na kudai sisi ndio wenye uhitaji?
Ukoloni upi unadai wewe zaidi ya kutuleta chanjo za sumu tayari zilikuwa zimesha pigwa marufuku Tanzania?
Hadithi za kutunga. Watanzania wanajua story yote ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ati landgrabber Kenyatta akatae Zanzibar Islands! Kanchi chao kaliuwa na mwezi mmoja tangu kapate uhuru!Hadithi za kutunga. Watanzania wanajua story yote ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Kwani kosa la Wakatoliki ni nini. Kupinga utekaji?Wakatoliki mnajipa umuhimu ambao hamna. Badilikeni dunia imebadilika.
Kwanza hata iweje, Zanzibar hawawezi kukubali kuungana na Kenyanjooni muichukue zanzibar na watu wake pia wawavuruge, sisi tuna visiwa vingine vya kutosha kama mafia na vinginevyo ...
Kila mtu duniani anajua wauaji wakuu na watekaji ni wakatoliki. Waliokuwa wanateka watu ni wakatoliki.Kwani kosa la Wakatoliki ni nini. Kupinga utekaji?
www.icpac.net
Mimi nashindwa kuelewa watu wanakosa utu! Mimi ningependa kama dini zote ziikemea udhalimuwa utekaji, uchaguzi batioli na ukandamizi kama Wakatoliki!Kwani kosa la Wakatoliki ni nini. Kupinga utekaji?
mbona unakuwa burukenge namna hii? Utakuwa hivi vidini vilivyo hasi! si kwa chuki hii kwa Katoliki!Kila mtu duniani anajua wauaji wakuu na watekaji ni wakatoliki. Waliokuwa wanateka watu ni wakatoliki.
Kaka, wengine tunajua vitu kiundani zaidi. Usiniite mburukenge kama hujui uliza ufafanuliwe. Waliomuua Magufuli ni hao hao wakatoliki baada ya kwenda kinyume nao. Kwa sababu ya security ya Waislam wameshindwa kumpata Samia.mbona unakuwa burukenge namna hii? Utakuwa hivi vidini hasi!
Yani basi tu kuna watu wameshakubali kufunga akili zao, kwamba Rais ni Mungu mtu kwa hiyo hakoseiMimi nashindwa kuelewa watu wanakosa utu! Mimi ningependa kama dini zote ziikemea udhalimuwa utekaji, uchaguzi batioli na ukandamizi kama Wakatoliki!