Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi Makafiri na mimi kama x-missionary huwa tunajifunza upendo, umoja na uwajibikaji tu kwa wengine.
Ndio maana hatuna "epithet" ama majina ya kejeli ama ya kibaguzi dhidi ya wanaadam wengine tulio tofautiana kwa imani.


Ukoloni upi?
Magufuli alikataa lockdown, chanjo na barakoa na mama yenu kwenye speech yake ya kwanza kabisa kama rais alisema,

"Tanzania sio kisiwa ni lazima twende na wengine."
Nakuingiza chanjo na kulazimisha watu wavae barakoa. We all know, COVID ni huge scam!

Pia alisema kuhusu mgogoro wa Barrick Gold, akitoa maelekezo,
"Sitaki kuona mkipigishana vikumbo huko, sisi ndio wenye uhutaji"

Ntaleta video clip kama ushahidi wa hili utaitajika.

Ukoloni upi unaongelea wewe zaidi ya kuwapa Barrick msamaha na kudai sisi ndio wenye uhitaji?
Ukoloni upi unadai wewe zaidi ya kutuleta chanjo za sumu tayari zilikuwa zimesha pigwa marufuku Tanzania?
Wakatoliki mnajipa umuhimu ambao hamna. Badilikeni dunia imebadilika.
 
njooni muichukue zanzibar na watu wake pia wawavuruge, sisi tuna visiwa vingine vya kutosha kama mafia na vinginevyo ...
Kwanza hata iweje, Zanzibar hawawezi kukubali kuungana na Kenya
Kumbuka Zanzibar walivyo na udini, kidogo Watanganyika tumechanganyika Wakristo kwa waislamu, so Wazanzibari wanajihisi free wakija Tanganyika. Sasa imagine Kenya ilivyo na Wakristo wengi na jinsi Wazanzibari walivyo na udini, kila siku wataomba kutengana na Kenya.
Kenya haiwezi kuhandle Zanzibar, Wazanzibari ni watu wenye udini sana, Kenya haitakalika siku Mzanzibari akishika nchi
 
Kelele nyingi tumboni empty (Djibouti, Kenya, Somalia, South Sudan, the Sudan and Uganda)

42 million people in six IGAD member states face high levels of acute hunger in 2025​


 
Teargass Nahitaji maelezo

1765519405160.png
 
Mimi nashindwa kuelewa watu wanakosa utu! Mimi ningependa kama dini zote ziikemea udhalimuwa utekaji, uchaguzi batioli na ukandamizi kama Wakatoliki!
Yani basi tu kuna watu wameshakubali kufunga akili zao, kwamba Rais ni Mungu mtu kwa hiyo hakosei
Hata akiteka watu ni sawa tu, na ukimkosoa basi wewe ndio mwenye unakosea, dah haya mambo yanaumiza sana
 
Back
Top Bottom