hata KweliKwanza alikubaliNaomba u repost hii bro jeez!
Kweli hakuna mji unaupita mombasa apa Tz zaid ya Dar
Chakula tutawapa hata bure, ninyi ni watani wetu.Mexico iko.
Cash money tunatoa.
Jifunzeni biashara ili wakulima wenu wawe matajiri kama wakulima wa Amerika Kusini I.e Mexico na Brazil
Ruxa kutoa povuKwa hivyo hata wewe unaamini kwamba mnachojenga hapo bongo ni bullet train? lol. Yani hizi siku zote mmeamini hivyo? Mungu wangu! Icho, hata kule ulaya, ni nchi chache tu amabazo ziko na bullet trains while almost all of them have electric trains. What you guys are building is an ELECTRIC TRAIN, not a bullet train. Don't confuse an electric train with a bullet train tafadhali. Mtaonekana wajinga sana
kabißa
Hahahahaaa kwel sometimes life is not fair ila ndio hivyo...poleni kenyans msihofu mahindi tutawauzia huku mavuno yameongezeka maradufu hahahaga....na masikini hapa ndio anaonekanaKenyans face bleak year after poor maize, wheat harvests
Kweli dunia haina usawa, wakati ndugu mmoja anafurahia kupokea ndege yake, ametangaza tenda ya kununua train za umeme kwa pesa yake, anajenga rail ya umeme kwa pesa yake, ndugu mwengine anasumbukia chakulaa.
JIRANI KATUPOST HAHAHA
hahahah wachina nitalia nao sana 😀😀😀JIRANI KATUPOST HAHAHA
MITUNGI YA CHANG'AA HOYEEEEEE
MCHINA MUNGU ANAWAONA
![]()
Ni ndugu yako huyu,nashangaa hureport udhalilishwaji wa sura za ukoo wenu.lini utaacha kumdhalilisha huyo punda wa kike apo kwa avi yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Nimeona kina kadoda kwa hii gari, wanakuja tour nairobi lol
View attachment 666427
Sasa yenu si ni gari moshi ausubiri ijengwe iishe. ata wanaija walijenga yao kwa kupitia shida nyingi sana na hio gdp yao. na still bado walikopa. waethiopia nao bado wamekwama. it is only in Kenya where the railway was built in a record time
Wenzetu walivyokuwa washamba, Macharia alikua anatumia hizo double stack kuhalalisha reli yao kuwa ghali, sasa hizo hapo zinakuja Tanzania na bado Tanzania is far cheaper
JIRANI KATUPOST HAHAHA
MITUNGI YA CHANG'AA HOYEEEEEE
MCHINA MUNGU ANAWAONA
![]()
HahahahahahahahahahaTenders, renders na "tuta" bado zitaendelea kama kawaida hapa Tz.