Bitter pill
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 917
- 782
Poawacha kujisahau
Poawacha kujisahau
Napenda sana data znavyowadanganya na hapo ndio tutawapitia maana nyie mnapokua bize kuchekelea data zisizo na uhalisia sisi maskini huku ndio tunapiga miproject ya kufa mtu nyie endeleni kushangaa tuu na data za kiboya hizokwa taarifa yako. Tanzania ni nchi maskini sana tena sana tena sana. kama hauamini... google 30most poorest nations in the world. so ubavu huo hamuna hata mutumie mchawi gani
hehehe kwann unachachawa sana na kinachokuumiza wewe ni kuona tanzania inafanya wonders 😀😀😀kwa taarifa yako. Tanzania ni nchi maskini sana tena sana tena sana. kama hauamini... google 30most poorest nations in the world. so ubavu huo hamuna hata mutumie mchawi gani
Lakushangaza inafanya mambo makubwa kuliko hizo nchi tajiri kama Nigeria, wakati Lagos wanajazana katika vibasi vidogo dogo, na inachukua masaa hadi manne kumaliza safari moja, Dar tunatumia aina ya usafiri bora kabisa na wakisasa, Nigeria wamejenga train ya kizamani kama Kenya, Tanzania comes with bullet trains, hiyo ndiyo nchi masikini kabisa dunianikwa taarifa yako. Tanzania ni nchi maskini sana tena sana tena sana. kama hauamini... google 30most poorest nations in the world. so ubavu huo hamuna hata mutumie mchawi gani

At it again,hakuna mahindi kutoka TZ kwenda huko.
Haamini ka ndio sisi watz tupo na speed ya jet ....walizoea wanahic tz ya miaka ya nyuma hiii ..hehehe kwann unachachawa sana na kinachokuumiza wewe ni kuona tanzania inafanya wonders 😀😀😀
hahahaha....hehehe kwann unachachawa sana na kinachokuumiza wewe ni kuona tanzania inafanya wonders 😀😀😀
I am just arriving at Nairobi from MSA what a great place for the holidays... Had absolute fun! Cheers to the coastal mega city MSA!Mombasa, our second city...ask the tanzanians to bring their second city😀😀😀
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mexico iko.At it again,hakuna mahindi kutoka TZ kwenda huko.
hii ndio maana ya nchi ya viwanda😀😀😀hahahaha....
wananchi wanataka viwanda.... wewe unashobokea viWonder???
I don die!!!
Kuna tofaut ya cruising speed na top speedKwa taarifa yako ile ya Morocco itafanya 320km/hr

mega city au sio😀😀😀😀😀I am just arriving at Nairobi from MSA what a great place for the holidays... Had absolute fun! Cheers to the coastal mega city MSA!
haelewi na hataelewa kamwe 😀😀😀😀Kuna tofaut ya cruising speed na top speed