Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brother tunajua mambo mengi sana, wakati mwingine tunakaa kimya tu kuwastili majirani zetu.
Nikuulize:-
Wakati SGR inaanza wengi waliokamatwa wakiiba nyaya za umeme ni wakenya why? Nani aliyewatuma?
Issue ya maandamano ya juzi, utulivu utakaporejea kwa watu ndipo ukweli utatolewa. Vijana walioshitakiwa ni chambo tu. Lakini wapo wengine nyuma. Hawawqezi kwa sasa kuwataja maana wataleta taharuki kwenye nchi jirani. Just subiri mambo yote utayajua tu, usiwe na haraka.
I didn't ask you bro, I want an answer from someone with a brain.
 
Through NGOs, which fund groups of people to initiate demonstrations, the type of a color revolution.

In my opinion, the significance of kenyan's involvement, if any, was very minimal. I suspect over 98% of these demonstrations/vandalism were done by Tanzanians who are fed up with this Kikwete shadow presidency.
1. So are those NGOs that you speak of Kenyan? If they are, kindly name one.
2. Is it truly so difficult to comprehend that citizens might take to the streets to protest an election that, by every objective measure, appears fraudulent without resorting to blaming a neighboring country for the unrest?
 
Na wanajifanya kuchoma vituo vya Lake Oil ili kumchanganya adui. Tangu lini Maria Sarungi na Mange Kimambi wakamgeuka JK? Sisi watu wenye akili tunausoma tu mchezo.

Unadhani Kikwete Kumwita Rais Samuya ilikuwa ni mistake? Hiyo ilikuwa calculated kwa lengo la kumchafua. Sikia baada ya kumwita hivyo vijana wangapi walifanya challange ya kuongea hivyo?

Kwa kuwa umeanza kuelewa ndio maana mimi namtetea Samia. Amezungukwa na mafisi, ndio maana 90% wanaomsaidia ni watu wa jiwe.
Hao watu wa jiwe ni akina nani?
 
1. So are those NGOs that you speak of Kenyan? If they are, kindly name one.
Nimeshakuambia, if any, nikimaanisha uwezekano ni mdogo. Sisemi ilihusika, ila Amnesty ni moja ya NGOs zinazo support mandamano.
2. Is it truly so difficult to comprehend that citizens might take to the streets to protest an election that, by every objective measure, appears fraudulent without resorting to blaming a neighboring country for the unrest?
Georgia (a country) waliweka sheria ya kulazimisha NGO zinazopokea pesa zaidi ya 20% ziwe registered as a foregn organization, cha ajabu EU wakalalamika sana.

kwa nini walalamike wakati wao wanasheria kama hizo kwao?

Sababu ni kuwa hizi NGOs zinatumika kama cover ya ku fund agenda mbalimbali zisizo husiana na kazi rasmi. Serikali ya Sandu, kule Moldova imekuwa funded na hizi hizi NGOs.
 
1000196292.jpg
 
Nimeshakuambia, if any, nikimaanisha uwezekano ni mdogo. Sisemi ilihusika, ila Amnesty ni moja ya NGOs zinazo support mandamano.
Amnesty International is not a Kenyan NGO. It is a global NGO headquartered in London. I don't see how Amnesty supporting Tanzanian activists is Kenya's problem. Furthermore, the core issue here is the sham election and human rights violations. Blaming the activists is missing the point. Global NGOs will fund dissidents in any country that violates human rights and rigs elections. Africa in particular is undergoing a revolution and we are going to see more of these unrests in countries that have tradionally not been known to have political unrests - even the docile Cameroonians this time were up in arms. Are you going to blame Kenya for that too?

Uganda will likely face similar turmoil in its next election—the signs are already there. This isn’t foreign interference; it’s a natural response to injustice. People can only endure oppression for so long before resistance becomes inevitable. Tanzanians must begin to take responsibility for their internal failures instead of externalizing blame onto neighboring countries.
Georgia (a country) waliweka sheria ya kulazimisha NGO zinazopokea pesa zaidi ya 20% ziwe registered as a foregn organization, cha ajabu EU wakalalamika sana.

kwa nini walalamike wakati wao wanasheria kama hizo kwao?

Sababu ni kuwa hizi NGOs zinatumika kama cover ya ku fund agenda mbalimbali zisizo husiana na kazi rasmi. Serikali ya Sandu, kule Moldova imekuwa funded na hizi hizi NGOs.
I don't see how this answers my question/
 
Kindly explain, how would Kenyans be involved in Tanzanian demonstrations?

View: https://m.youtube.com/watch?v=VdAuaqYEk7g&pp=ugUEEgJlbg%3D%3D



these are the articles i was telling you about
 
Kileleshwa developers need to up their game though. Almost every apartment in Kileleshwa and Kilimani have this kind of design. Some creativity is needed
Ikifika Hapo kwa residential towers. Hua there is little room for creativity sio kama commercial na mixed used towers.Target market ya kileleshwa na kilimani are both residential areas, so hapo expect such towers kwa wingi, for now maybe upperhill or westlands zinaweza tupatia something unique...
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=VdAuaqYEk7g&pp=ugUEEgJlbg%3D%3D



these are the articles i was telling you about

So how does Rwandan article concern Kenya? Ama hujui hiyo imeandikwa na Rwandese?
 
Hizi sabotage zipo wazi, wanaomiliki malori na vituo vya mafuta tunawajuwa.

Ni wazi reli inarubuniwa, ndiyo maana hata kipande kuungia bandarini, bado kina sua sua, ili biashara za watu ziendelee. Mambo ya hovyo sana.

Uharibifu wa BRT, ni hao hao wamiliki wa boda boda na dala dala, lakini pia kunaweza kuwa na kundi lililotaka kuharibu maandamano ya amani, kuyafanya yaonekane ya vurugu kama walivyofanya kwenye Occupy Wallstreet, miaka michache iliyopita.

Pia uwezekano wa baadhi ya WaKenya kuhusika upo, ila siyo kwa kiwango cha juu kama hawa watu wetu, wenye uchu wa mali.

Kipande Cha kuingia bandarini imebakia kidogo tu pale nyuma ya Mkuki House. Kwenye February next year treni itaanza kazi.
 
Back
Top Bottom