stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,827
- 15,740
Thr one at narok is biggerIs there any artcaffe in Kenya that is bigger than this one currently coming up in Kisumu apart from the one in Westlands?
This facility located in the compound of United Mall will effectively serve the residents of upcoming Anderson, Lumumba and Makasembo Affordable Housing Projects which are just few meters away.
![]()
Gdp is an inflated floating estimated value, what matters is trade done in the region
like this
View: https://m.youtube.com/watch?v=3k0m6Rkuv9g&pp=ygUNcnV0byB0YW56YW5pYQ%3D%3D
Picture please.Thr one at narok is bigger
Hizi sabotage zipo wazi, wanaomiliki malori na vituo vya mafuta tunawajuwa.Kaka Sabotage ipo ni kubwa mno, tukianza kwa wale wenye malori ya kusafirisha mizigo. Kutokea ndani ya nchi mpaka nje ya nchi. Watu wanapata faida kubwa mno kwenye Transportation. Kutoka kwa wenye vituo vya mafuta, wenye malori na viwanda vya magari.
Inatakiwa roho ya chuma kuvuka mtihani huu. Usidhani kelele zote hizi kumchafua Samia ni one direction. Wengine hao hao akina kikwete wanachochea moto wakiwa wamekaa kwa mbali.
Mimi naomba tumpatie support japo kidogo aweze kuuvunja huu ukuta. Ukishalielewa hilo basi utakuwa umefunguka macho.
Sometimes waliochoma vituo vya Mwendo Kasi ni hawa hawa wamiliki wa Daladala.
Kuna mkusanyikoa wa vitu vingi. Wapo kweli wenyelengo la kufanya maandamano ya ikweli, but ndani yake kuna hujuma kubwa mno. We need to handle this with care.
Kindly explain, how would Kenyans be involved in Tanzanian demonstrations?Hizi sabotage zipo wazi, wanaomiliki malori na vituo vya mafuta tunawajuwa.
Ni wazi reli inarubuniwa, ndiyo maana hata kipande kuungia bandarini, bado kina sua sua, ili biashara za watu ziendelee. Mambo ya hovyo sana.
Uharibifu wa BRT, ni hao hao wamiliki wa boda boda na dala dala, lakini pia kunaweza kuwa na kundi lililotaka kuharibu maandamano ya amani, kuyafanya yaonekane ya vurugu kama walivyofanya kwenye Occupy Wallstreet, miaka michache iliyopita.
Pia uwezekano wa baadhi ya WaKenya kuhusika upo, ila siyo kwa kiwango cha juu kama hawa watu wetu, wenye uchu wa mali.
Wanatakiwa wakae pamoja tukubaliane mwelekeo wa Taifa. Kama biashara zao hizo wabadli namna ya uendeshaji. Dunia haitusubili. Wahafidhina (conservatives) hawataki kukubali mabadiliko makubwa haya yanayoikumba dunia. Watu wengi sasa ni Liberals. Bahati mbaya sana watumishi wakubwa na viongozi kwenye serikali wameshilikiwa na haya makampuni. Anatakiwa pure person mwenye roho ngumu na watu wake wamlinde kwelikweli. Tutatoboa.Hizi sabotage zipo wazi, wanaomiliki malori na vituo vya mafuta tunawajuwa.
Ni wazi reli inarubuniwa, ndiyo maana hata kipande kuungia bandarini, bado kina sua sua, ili biashara za watu ziendelee. Mambo ya hovyo sana.
Uharibifu wa BRT, ni hao hao wamiliki wa boda boda na dala dala, lakini pia kunaweza kuwa na kundi lililotaka kuharibu maandamano ya amani, kuyafanya yaonekane ya vurugu kama walivyofanya kwenye Occupy Wallstreet, miaka michache iliyopita.
Pia uwezekano wa baadhi ya WaKenya kuhusika upo, ila siyo kwa kiwango cha juu kama hawa watu wetu, wenye uchu wa mali.
Brother tunajua mambo mengi sana, wakati mwingine tunakaa kimya tu kuwastili majirani zetu.Kindly explain, how would Kenyans be involved in Tanzanian demonstrations?
Uchafu
Through NGOs, which fund groups of people to initiate demonstrations, the type of a color revolution.Kindly explain, how would Kenyans be involved in Tanzanian demonstrations?
Eeeh hivo ndivo iko.Hizi sabotage zipo wazi, wanaomiliki malori na vituo vya mafuta tunawajuwa.
Ni wazi reli inarubuniwa, ndiyo maana hata kipande kuungia bandarini, bado kina sua sua, ili biashara za watu ziendelee. Mambo ya hovyo sana.
Uharibifu wa BRT, ni hao hao wamiliki wa boda boda na dala dala, lakini pia kunaweza kuwa na kundi lililotaka kuharibu maandamano ya amani, kuyafanya yaonekane ya vurugu kama walivyofanya kwenye Occupy Wallstreet, miaka michache iliyopita.
Pia uwezekano wa baadhi ya WaKenya kuhusika upo, ila siyo kwa kiwango cha juu kama hawa watu wetu, wenye uchu wa mali.
Na wanajifanya kuchoma vituo vya Lake Oil ili kumchanganya adui. Tangu lini Maria Sarungi na Mange Kimambi wakamgeuka JK? Sisi watu wenye akili tunausoma tu mchezo.Through NGOs, which fund groups of people to initiate demonstrations, the type of a color revolution.
In my opinion, the significance of kenyan's involvement, if any, was very minimal. I suspect over 98% of these demonstrations/vandalism were done by Tanzanians who are fed up with this Kikwete shadow presidency.
You are a r*tarded m*ron.Through NGOs, which fund groups of people to initiate demonstrations, the type of a color revolution.
In my opinion, the significance of kenyan's involvement, if any, was very minimal. I suspect over 98% of these demonstrations/vandalism were done by Tanzanians who are fed up with this Kikwete shadow presidency.
I didn't ask you bro, I want an answer from someone with a brain.Brother tunajua mambo mengi sana, wakati mwingine tunakaa kimya tu kuwastili majirani zetu.
Nikuulize:-
Wakati SGR inaanza wengi waliokamatwa wakiiba nyaya za umeme ni wakenya why? Nani aliyewatuma?
Issue ya maandamano ya juzi, utulivu utakaporejea kwa watu ndipo ukweli utatolewa. Vijana walioshitakiwa ni chambo tu. Lakini wapo wengine nyuma. Hawawqezi kwa sasa kuwataja maana wataleta taharuki kwenye nchi jirani. Just subiri mambo yote utayajua tu, usiwe na haraka.
😂😂😂I didn't ask you bro, I want an answer from someone with a brain.
1. So are those NGOs that you speak of Kenyan? If they are, kindly name one.Through NGOs, which fund groups of people to initiate demonstrations, the type of a color revolution.
In my opinion, the significance of kenyan's involvement, if any, was very minimal. I suspect over 98% of these demonstrations/vandalism were done by Tanzanians who are fed up with this Kikwete shadow presidency.
Hao watu wa jiwe ni akina nani?Na wanajifanya kuchoma vituo vya Lake Oil ili kumchanganya adui. Tangu lini Maria Sarungi na Mange Kimambi wakamgeuka JK? Sisi watu wenye akili tunausoma tu mchezo.
Unadhani Kikwete Kumwita Rais Samuya ilikuwa ni mistake? Hiyo ilikuwa calculated kwa lengo la kumchafua. Sikia baada ya kumwita hivyo vijana wangapi walifanya challange ya kuongea hivyo?
Kwa kuwa umeanza kuelewa ndio maana mimi namtetea Samia. Amezungukwa na mafisi, ndio maana 90% wanaomsaidia ni watu wa jiwe.
Huu mjadala upo public any person can answer whatever you ask. Kama unataka kuuliza mtu specific send him privaty message.I didn't ask you bro, I want an answer from someone with a brain.
Nimeshakuambia, if any, nikimaanisha uwezekano ni mdogo. Sisemi ilihusika, ila Amnesty ni moja ya NGOs zinazo support mandamano.1. So are those NGOs that you speak of Kenyan? If they are, kindly name one.
Georgia (a country) waliweka sheria ya kulazimisha NGO zinazopokea pesa zaidi ya 20% ziwe registered as a foregn organization, cha ajabu EU wakalalamika sana.2. Is it truly so difficult to comprehend that citizens might take to the streets to protest an election that, by every objective measure, appears fraudulent without resorting to blaming a neighboring country for the unrest?