Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ni wakenya ndio walikodiwa wake kuuwa watu Tanzania? You guys never fails to amaze me😂😂😂.

From Wakenya ndio walikuwa wamekuwa to Wakenya ndio walikuwa wanauwa watanzania ndani ya Tanzania. Yani you people when will you stop blaming Kenya and Kenyans in everything and face your problems head on?

Your inferiority complex is now becoming too much.
They have always been that way. Whenever their politicians blunder, they conveniently deflect blame onto Kenya, convincing their people that we are the source of all their misfortunes. It’s the same narrative they spun during the collapse of the East African Community. This is why, in the Kenya/Tanzania rivalry, Kenyans often perceive it as harmless banter, while Tanzanians interpret it with undue seriousness, viewing Kenyans as enemies.
Fortunately, in the era of social media, such deception no longer passes unnoticed. Yet, decades from now, a considerable number of Tanzanians will likely still cling to the belief that Kenya sought to destabilize their nation back in 2025.

cc Geza Ulole instanbul Chamoto REAL Comrade Kipepe
 
Siyo form 4 tuu hadi darasa la saba ni failure, she has never won or pass anything other than kubebwa.
Based on this information, I'm made to believe she is a mere flowergirl with the real rulers acting in the background.
 
ichoboy01 uko wapi aisee?
Nashukuru sasa watu wameanza kujadili details.
Kuna watu wengi walikuwa wananiuliza kwanini Venus Star amebadilika, kipi kimemsibu.

Ndugu zangu napenda kuwaambia mimi nafanya mambo bila kukurupuka huwa nafanya utafiti na kisha nakuja na conclusion

1. Matukio ya Polepole, mnauhakika kweli huyu Polepole alikuwa upande wa Magufuli? Polepole ameibuka juzi kati na kuanza kutoa maelezo kuhusu Kifo cha Magufuli. Polepole alikuwa Katibu wa Itikati na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi. Yeye na Bashiru walikuwa na ugomvi usioisha ndania ya chama. Bashiru alikuwa Katibu mkuu wa CCM. Hawa watu wawili walimsumbua sana Magu akiwa mwenyekiti maana walikuwa hawaelewani na kusababisha ugomvi wa mara kwa mara ndani ya CCM.

KUHUSU POLEPOLE
Polepole toka akiwa kijana alikuwa kwenye Civil Society na baadaye kuteuliwa kuwa Rais wa Civil Society Tanzania. Baada ya hapo kuna matukio ya Ulimboka na vyama vya madaktali kugoma. Polepole yeye ndiye aliyekuwa akitumwa na Kikwete kwenda kuongea na kundi la Ulimboka ili waache mpango wao.

Siku ya kabla Ulimboka kutekwa alikaa na Polepole pale mlimani city, Polepole akimsihi ulimboka aachane na mpango wake. Walikaa kutoka Saa 12 jioni mpaka zaidi ya saa 5 za usiku. Ulimboka aligoma. Ndio kutekwa na kuteswa kulitokea baadae.

Polepole alimbiwa na Kikwete kuingia kwenye Tume ya Katiba ya Warioba. Kikwete aliwaacha watu wasomi waliokuwa kwenye Civil Society kama akina Meena akamchukua Polepole. Yalitokea yaliyotokea kila mtu aliona, Polepole alizunguka nchi nzima akiihubiri Rasmu ya katiba iliyoundwa na Warioba huku akimponda Kikwete. He was creating a chaos ili watu wachanganyikiwe. Polepole hakuwahi hata siku moja kufanywa chochote.

Kipindi cha Maazimisho ya siku ya wafanyakazi yalipangwa yafanyike Mwanza. Polepole alipanga kuanzisha Mkutano wake huko Geita ili kuvuruga mkutano wa Kikwete. Kilichotokea, Polepole alifungiwa kwenye hotel tu na Hotel hiyo huko geita kuzungukwa na walinzi. Baada ya mkutano wa Kikwete kuisha aliachiwa na kupewa nauli ya ndege kurudi Dar.

Inabidi sasa tujiulize Polepole alisema yeye yupo na viapo viwili, viapo hivyo ni vipi? I know Polepole Personaly siyo kusimuliwa tu. Baada ya kifo cha Magufuli alikubali kuteuliwa kuwa Mbuge na Rais Samia. Baadae alikubali kuteuliwa kuwa Balozi wa Malawi kisha Balozi wa Cuba. Polepole alianzakuona kabisa Ndoto zake kubwa zinaanza kuziwa taratibu. Polepole alikuwa na uadui mkubwa na Ummy Mwalimu.

Cha kujiuliza zaidi, Kwanini huyu Polepole alikuwa kimya baada ya kifo cha Magufuli mpaka ilipofika muda huu? Hao wa akina Polepole ndio walikuwa washauri na wasaidizi wa Magufuli wa karibu sana, walifanya nini kumlinda Magufuli asiuliwe? Polepole alikuwa anaaminiwa sana na Magufuli. Alifanya nini kumlinda au kutoa ushauri?

Kwenye Comment hii naomba niweke swali hili. Nitaendelea kushusha nondo ili watu wanielewe. Kwanini niliamua kubadilika
 
Ukiangalia juu juu unaweza kukadhani watu wanampiga Rais Samia. Kinachogombaniwa hapa ni Maslah kati ya

Katoliki + Baadhi ya walokole vs Waislam + CCT na Baadhi ya walokole

Maslah yao hawa yakiwekwa sawa hakuna kelele utaziona.
Katoliki wapo na hasira sana baada ya kuondolewa makampuni yao huko Bandarini, Kanisa lilikuwa linajipatia fedha za kumwaga.

Yanapoitwa Maridhiano na mazungumzo wala siyo vyama vya siasa bali ni madhehebu haya ya dini kuwekwa sawa na maslah yao kulindwa. Basi hakuna kingine hapa.
 
They have always been that way. Whenever their politicians blunder, they conveniently deflect blame onto Kenya, convincing their people that we are the source of all their misfortunes. It’s the same narrative they spun during the collapse of the East African Community. This is why, in the Kenya/Tanzania rivalry, Kenyans often perceive it as harmless banter, while Tanzanians interpret it with undue seriousness, viewing Kenyans as enemies.
Fortunately, in the era of social media, such deception no longer passes unnoticed. Yet, decades from now, a considerable number of Tanzanians will likely still cling to the belief that Kenya sought to destabilize their nation back in 2025.

cc Geza Ulole instanbul Chamoto REAL Comrade Kipepe
Yani instead of holding their leaders accountable for killing Tanzanians, they shift blame to Kenya. Even if Kenyans were to come and kill people in Tanzanian, what has their government done for that allegation? What has their military done? Cause that act alone is enough for declaration of war with a neighbor state. Finally, if their poorly cooked allegation is somehow true, then their Tanzanian intelligence must be the shittiest intelligence ever.

I’m surprised even someone like Chamoto blindly agrees with such lame accusations and supports them.
 
Is there any artcaffe in Kenya that is bigger than this one currently coming up in Kisumu apart from the one in Westlands?


This facility located in the compound of United Mall will effectively serve the residents of upcoming Anderson, Lumumba and Makasembo Affordable Housing Projects which are just few meters away.

Image
 
Yani instead of holding their leaders accountable for killing Tanzanians, they shift blame to Kenya. Even if Kenyans were to come and kill people in Tanzanian, what has their government done for that allegation? What has their military done? Cause that act alone is enough for declaration of war with a neighbor state. Finally, if their poorly cooked allegation is somehow true, then their Tanzanian intelligence must be the shittiest intelligence ever.

I’m surprised even someone like Chamoto blindly agrees with such lame accusations and supports them.
They don't want to think. It is easier to accuse a neighbor.
If it's true that it's Kenyans that were rioting, it means they have a weak intelligence and defense system and a useless government.
If it is Kenyan police and soldiers killing their people in their own country, then they were definitely hired by their own government.
Whichever way you look at it, it still points to their government being inept but they would rather shift the blame to Kenya.
All in all, it's impossible for Kenyans to cause chaos of that magnitude in Tanzania unnoticed and still maintain diplomatic relations but they don't want to think.
 
Nashukuru sasa watu wameanza kujadili details.
Kuna watu wengi walikuwa wananiuliza kwanini Venus Star amebadilika, kipi kimemsibu.
Hivi Kikwete kwako ni mwema kwa nchi yetu? Maana hujawahi kusema chochote kuhusu yeye?

Wengine tuna kumbukumbu nzuri ya kila tunachosoma.

Kuna siku ulicharuka hapa ukimtetea Magufuli, tena ukaenda mbali na kuwasema vibaya waislam (kwa kweli uliwatukana).

Uliongea mengi sana kwa hasira mpaka ukaiacha ID yako hii. Ukatumia ID nyingine kwa muda, halafu baada ya wiki chache hivi ukarudi tena na hii ID. Unakumbuka?

Baada ya hapo, haukuwa yule wa mwanzo, ulibadilika na kuwa mtu wa kusifia tuu.

Walikufanya nini ndugu yetu ukabadilika? Au wewe siyo yule wa mwanzo ni mtu mwingine unatumia tuu ID hii?

Juzi nilipokuuliza mbona ulibadilika, ukaniambia, "wewe hunijui". Aisee!
 
Wakenya wametuharibia nchi yetu kabisaa, wameandamana na kuwaua watanzania mnoo, sasa wanamchafua samiaa
 
Yani instead of holding their leaders accountable for killing Tanzanians, they shift blame to Kenya. Even if Kenyans were to come and kill people in Tanzanian, what has their government done for that allegation? What has their military done? Cause that act alone is enough for declaration of war with a neighbor state. Finally, if their poorly cooked allegation is somehow true, then their Tanzanian intelligence must be the shittiest intelligence ever.

I’m surprised even someone like Chamoto blindly agrees with such lame accusations and supports them.
You're not a keen reader, are you?

Re-read what I wrote earlier, paying particular attention to;

Kuhusu Chadema kushirikiana na Kenya sijui
And
Sasa kama kuna sabotage kutoka Kenya, ni nani anazuia kukamilika reli ya mizigo? Ni Wakenya? Kama ni hivyo basi hatuna nchi.
 
Yani instead of holding their leaders accountable for killing Tanzanians, they shift blame to Kenya. Even if Kenyans were to come and kill people in Tanzanian, what has their government done for that allegation? What has their military done? Cause that act alone is enough for declaration of war with a neighbor state. Finally, if their poorly cooked allegation is somehow true, then their Tanzanian intelligence must be the shittiest intelligence ever.

I’m surprised even someone like Chamoto blindly agrees with such lame accusations and supports them.
somalia complaining about kenya, uganda the same, tanzania the same
 
They don't want to think. It is easier to accuse a neighbor.
If it's true that it's Kenyans that were rioting, it means they have a weak intelligence and defense system and a useless government.
If it is Kenyan police and soldiers killing their people in their own country, then they were definitely hired by their own government.
Whichever way you look at it, it still points to their government being inept but they would rather shift the blame to Kenya.
All in all, it's impossible for Kenyans to cause chaos of that magnitude in Tanzania unnoticed and still maintain diplomatic relations but they don't want to think.
somali, rwanda, uganda now tanzania all complaining about kenyans, even ruto himself complains about keyans
 
Some dudes here mnajiaibisha sana, blaming foreigners na wakenya si ufala huu.

Hamjipatii point bali mnasema kua tuna vyombo vya ulinzi dhaifu. Na kuaibisha jeshi letu.

Imagine watanzania wanazikwa jitu limekomaa ni wakenya, kwa hiyo hadi Niffer ni mkenya?

Uhaini umekua kama maji huku.

Kadiri siku ziendavyo liinchi linaendelea kua worse sioni future kabisa maana imani hamna na Serikali, plus mnavyokwepa elephant in room ndio kabisa
 
Hivi Kikwete kwako ni mwema kwa nchi yetu, maana hujawahi kusema chochote kuhusu yeye?

Wengine tuna kumbukumbu nzuri ya kila tunachosoma.

Kuna siku ulicharuka hapa ukimtetea Magufuli, tena ukaenda mbali na kuwasema vibaya waislam (kwa kweli uliwatukana).

Uliongea mengi sana kwa hasira mpaka ukaiacha ID yako hii. Ukatumia ID nyingine kwa muda, halafu baada ya wiki chache hivi ukarudi tena na hii ID. Unakumbuka?

Baada ya hapo, haukuwa yule wa mwanzo, ulibadilika na kuwa mtu wa kusifia tuu.

Walikufanya nini ndugu yetu ukabadilika? Au wewe siyo yule wa mwanzo na watu wengine wanatumia ID hii? Tena juzi nilipokuuliza mbona ulibadilika, ukaniambia, " wewe hunijui".
Hakuna sehemu nimewahi kumsifia JK and I will never. Magufuli alikuwa kipenzi cha wengi ikiwemo mimi. But life goes on, tunaachilia na kusonga mbele.

Masuala ya udini naomba tusiyaingize hapa yanaleta hisia kali na kuchochea visasi.

Mimi ni yuleyule sijawahi kubadilika but, nilisoma kitabu kimoja na kukielewa vizuri "The Art of War", nakuomba ukitafute.

Kuna watu waliokuwa upande wetu walitusaliti na wakashindwa kuwajibika wakaendekeza tamaa zao na madaraka. Ujinga na lack of exposure ikawafanya wakashindwa kumlinda jiwe.
So unataka mimi nifanye nini katika situation hiyo. Kuna watu kabisa walikuwa na wajibu wa kulinda maslah mapana ya Taifa letu lakini wakaendekeza utoto.

Mambo haya hayaitaji emotion bali intelligence. People like Polepole walikuwa na nafasi kubwa sana ya ku solve vitu kwa akili. But waliendekeza ubnafsi, u Mungu mtu bila kuwa na plan zinazoeleweka.

Kuna siku moja nilihudhuria kikao kimoja Mwenyekiti wa Kikao alikuwa Polepole, alikuwa anaongea yeye tu haruhusu watu waongee. Mpaka kikao kinaisha hakuna cha maana tulijadili baadae watu wanachukua posho na kuondoka.

Hakuna aliye mwema, Iwe kikwete, Polepole, Gwajima, Tundu Lisu, Mnyika, Mbowe au Slaa wote hao wanapambania maslah yao.

Mimi angalau kidogo ninaweza kuwa upande wa Samia baada ya Magufuli. She is trying, Nchi aliichukua katika mazingira magumu sana. Makundi ya akina Makamba, Lowasa, Rostam, JK na kundi jipya la Sukuma gang yalianza kupambana na kumuweka yeye mtu kati ili achague upande.

Aliyaweka makundi yote kwenye baraza la mawaziri, baadae akaanza kuchomoa mmoja mmoja na mwisho kabisa asilimia kubwa ya baraza lake la mawaziri lilikuwa na watu wa JPM.

Sasa hata hili kaka hulioni. Mimi nikachagua kuwa upande wa Samia badala ya JK na kundi lake.
 
Back
Top Bottom