Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo awali nili Ignore Id zaidi ya 10 za Kikenya ila Nimezi Unignore na Kuanza Kuzi Ignore za Watanzania wajinga na wapumbavu wano shabikia Ujinga uliofanyika.
Unawezaji kuwa na Akili timamu ukaendelea Kuisapoti Nchi ilio jaaa Laana na Damu kila kona!
Unapataje Nguvu kubishana na wakenya kwa Ushenzi kama huu!!
Kifo cha JPM kilikuwa pigo kubwa kwa Watanzania
 
Jambo linaumiza na kusikitisha ndio. Japo binafsi sitaki kuliongelea sana. Ni jambo ambalo liliweza kuepukika vizuri tu bila shuruba hizi.
Tatizo Sasa hivi tuna anza kuongelea matokeo tu huku tukiacha kuongelea chanzo na mzizi wa haya yote. Hapa kuna upande uliamua kuchagua ugomvi kwa nguvu.. kati ya tarehe ya maandamano na tarehe ya uchaguzi kuna ambayo ilitangulia... Ilikuwa ni suala la kuachiana mafasi tu kila mmoja na jambo lake.

Tofauti na hapo ubabe mwisho wake sio mzuri hata kidogo, ni jambo la kusoma alama za nyakati tu. Na vijana walishindwa kujiongeza kidogo Waka amini propaganda kwamba watalimdwa... Wakapuuzia matamko yote na maonyo yaliyotolewa.
It's a zero sum kinda thing... Hakuna wa kumbenesha lawama hapa...yameshatokea , tuyapokee na tuyachukue kama funzo.
Walioua na waliochochea wote wana makosa,huwezi kutumia silaha za moto kwa mtu ambae ameshika jiwe,kibaya zaidi ile tarehe 2 maria akawa anawaingiza chaka vijana wa watu wakafe, ile damu iliyomwagikq tarehe 29 na 30 aliona aitoshi aisee,eti tuendelee kukiwasha huku yy yupo nyuma ya keyboard,dah
Screenshot_20251102-181810.png
 
Hapo awali nili Ignore Id zaidi ya 10 za Kikenya ila Nimezi Unignore na Kuanza Kuzi Ignore za Watanzania wajinga na wapumbavu wano shabikia Ujinga uliofanyika.
Unawezaji kuwa na Akili timamu ukaendelea Kuisapoti Nchi ilio jaaa Laana na Damu kila kona!
Unapataje Nguvu kubishana na wakenya kwa Ushenzi kama huu!!
Kifo cha JPM kilikuwa pigo kubwa kwa Watanzania
Humu Jamii Forums kuna ID zinasikitisha. Kuna jamaa anajiita Lucha, kafurahi sana Watanzania kuuawa, kuna huyu anajiita Lucas Mwashambwa, yani huyu kila siku ni kumpamba Samia tu, everyday Mama this Mama that, thread zake zinatia kinyaa sana. Yani uchawa umepitiliza mipaka 🙌
 
Endeleeni kujifariji ila dahh ...Miili ya waandamanaji wakenya imejaa kwenya mochwari huku dar hadi zinazikwa kwa makaburi ya pamoja, wengi walikuwa wakijifanya kuwa walimuu..
So in your Bongolala fantasies , you contemplate a Kenyan mob in Dar protesting and being killed by the patriotic Bongo soldiers. Bro! What are you smoking???
 
Wale wakenya waliokuwa wanajifanya waalimu, kwa sasa wameshakuwa fundisho kwa wakenya wenzao. 70% ya vijana hao wa kenya kwa sasa ni vilema hawana minguu. Poleni sana wakenya
Wenzenu watanzania wameuliwa kama mende, lakini wewe akili yako tupu umeiweka tu kwa wakenya, chunga sana huyo mama asije akakuua kama vile ameua wenzako.
 
Back
Top Bottom