Jambo linaumiza na kusikitisha ndio. Japo binafsi sitaki kuliongelea sana. Ni jambo ambalo liliweza kuepukika vizuri tu bila shuruba hizi.
Tatizo Sasa hivi tuna anza kuongelea matokeo tu huku tukiacha kuongelea chanzo na mzizi wa haya yote. Hapa kuna upande uliamua kuchagua ugomvi kwa nguvu.. kati ya tarehe ya maandamano na tarehe ya uchaguzi kuna ambayo ilitangulia... Ilikuwa ni suala la kuachiana mafasi tu kila mmoja na jambo lake.
Tofauti na hapo ubabe mwisho wake sio mzuri hata kidogo, ni jambo la kusoma alama za nyakati tu. Na vijana walishindwa kujiongeza kidogo Waka amini propaganda kwamba watalimdwa... Wakapuuzia matamko yote na maonyo yaliyotolewa.
It's a zero sum kinda thing... Hakuna wa kumbenesha lawama hapa...yameshatokea , tuyapokee na tuyachukue kama funzo.