Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,219
- 12,613
Hii ni too much, stop pleaseSinza Palestina kuna miili zaidi ya 100, ndani ya mifuko yao wapo na vitambulisho vya kenya. Tumecheza 6-3-1. Tumewaacha wakashambulia wakaona wameshinda, dakika ya 90 tukawapiga counter attack, tukapiga bao safi, refa akaita mpira katikati na mchezo ukaisha.