President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Sasa unataka afanye nini kaka. Nadhani tunatakiwa kumtia moyo. Nchi ameichukua katika kipindi kigumu, Yeye ni mwanamke. Upinzani alianza nao ndani ya dini yake, viongozi wa dini yake walipinga. Kulikuwa na makundi hasimu akina January na kundi lake, Akina Bashe na kundi lake na wale waliofiwa. Ilikuwa kipindi kigumu sana.Ongezeko la watalii Tanzania ni habari njema kwangu pia. Mimi napenda tuendelee, Wakenya huwa na wivu na Tanzania, hiyo ni case tofauti kwangu. Mimi naona we are not developing fast enough maana tuna kila kitu. Sina wivu na Tanzania, kwanza ndio nyumbani. Unaanzaje kuanza kuniterm as if sitaki Tz iendelee
But ameweza kutufikisha hapa. Kwangu mimi namuona ni mwanamke shujaa. Tumpe maua yake.