Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ongezeko la watalii Tanzania ni habari njema kwangu pia. Mimi napenda tuendelee, Wakenya huwa na wivu na Tanzania, hiyo ni case tofauti kwangu. Mimi naona we are not developing fast enough maana tuna kila kitu. Sina wivu na Tanzania, kwanza ndio nyumbani. Unaanzaje kuanza kuniterm as if sitaki Tz iendelee
Sasa unataka afanye nini kaka. Nadhani tunatakiwa kumtia moyo. Nchi ameichukua katika kipindi kigumu, Yeye ni mwanamke. Upinzani alianza nao ndani ya dini yake, viongozi wa dini yake walipinga. Kulikuwa na makundi hasimu akina January na kundi lake, Akina Bashe na kundi lake na wale waliofiwa. Ilikuwa kipindi kigumu sana.

But ameweza kutufikisha hapa. Kwangu mimi namuona ni mwanamke shujaa. Tumpe maua yake.
 
UKIMWONA MTANZANIA YOYOTE BADO YUPO KWENYE HUU UZI KUANZIA KIFO CHA JPM BASI JUA UMEMWONA MPUMBAVU HASWA ...NI MPUMBAVU TU ANAYE WEZA KUENDELEA NA HUU UZI.....KWA HAWA MARAIS TULIO NAO SASA EAST AFRICA 🙄
 
Lakini tulifika middle income. Sasa mbona tumerudi tena Low Income kama ni kweli tunakua kwa kasi hivyo. Huenda tupo top 10 kwa sababu nchi nyingi za Africa zimelala, sio kwa sababu tunafanya vizuri sana
Kaka acha kulishwa na propaganda za wasiotutakia mema. Taarifa sahihi hizi hapa kutoka source ya uhakika


Tanzania na Kenya zipo kwenye kundi moja

1762451110748.png


Mabadiliko ya mwaka huu haya hapa:

1762451169853.png
 
Nakumbuka wakati wa Kiwete akina Ulimboka waling'olewa kucha na wengine wengi walifanyiwa mabaya lakini hatukusikia kelele kama hizi. wakati wa Maguli akina Tundu Lisu, Roma, Mo, Mauaji kule kibiti, Kituo cha Police Staki Shari askari waliuliwa kinyama.

Samia alichukua nchi katika kipindi kigumu, pia ni mwanamke wa kwanza kuwa rais. Adui zetu wameona opotunit ya kuangamiza taifa letu.

Sisi hatutakubali. Mnamchukia kwa sababu ni mwanamke!!?
Mimi bado young sana, kipindi cha Kikwete huko nilikuwa sijui kitu chochote kuhusu siasa, mi ninagrow sasahivi kwa Magufuli na Samia hapo ndio nimeanza kusikia habari za siasa. Mimi si support mauaji yoyote yale hata afanye nani
Kwanza baada ya kifo cha Magufuli kutuhuzunisha Watanzania, nilifurahi kuona anayeshika kiti chake ni mwanamke. Nilikuwa curious nione utawala wake utakuaje, it's been 4 years now kwa sasa nimeona uongozi wake, kiukweli sina imani naye tena huyu mama. Mimi sidharau gender yoyote, ila utawala wa Samia kwa kweli haujanifurahisha, tena hapo kwa kuteka watu na kuua ndio naumia kabisa, tena licha ha malalamiko yote kakaa kimya
Unavyolazimisha eti namchukia kisa ni mwanamke unakosea sana. Hiyo sio sababu, nah.... not for me
 
UKIMWONA MTANZANIA YOYOTE BADO YUPO KWENYE HUU UZI KUANZIA KIFO CHA JPM BASI JUA UMEMWONA MPUMBAVU HASWA ...NI MPUMBAVU TU ANAYE WEZA KUENDELEA NA HUU UZI.....KWA HAWA MARAIS TULIO NAO SASA EAST AFRICA 🙄
Hizo ni person opinions zako tunaziheshimu.
 
Kaka acha kulishwa na propaganda za wasiotutakia mema. Taarifa sahihi hizi hapa kutoka source ya uhakika


Tanzania na Kenya zipo kwenye kundi moja

View attachment 3498300

Mabadiliko ya mwaka huu haya hapa:

View attachment 3498301
Hizi data mbona zinaishia 2024
 
Mimi bado young sana, kipindi cha Kikwete huko nilikuwa sijui kitu chochote kuhusu siasa, mi ninagrow sasahivi kwa Magufuli na Samia hapo ndio nimeanza kusikia habari za siasa. Mimi si support mauaji yoyote yale hata afanye nani
Kwanza baada ya kifo cha Magufuli kutuhuzunisha Watanzania, nilifurahi kuona anayeshika kiti chake ni mwanamke. Nilikuwa curious nione utawala wake utakuaje, it's been 4 years now kwa sasa nimeona uongozi wake, kiukweli sina imani naye tena huyu mama. Mimi sidharau gender yoyote, ila utawala wa Samia kwa kweli haujanifurahisha, tena hapo kwa kuteka watu na kuua ndio naumia kabisa, tena licha ha malalamiko yote kakaa kimya
Unavyolazimisha eti namchukia kisa ni mwanamke unakosea sana. Hiyo sio sababu, nah.... not for me
Ndio maana ninakuambia sasa kama unataka kufuatilia siasa, unatakiwa ufuatilie kwa kina. Maana wale ambao hawalitakii mema taifa letu wanaweza kufanya chochote na kuangushia mzigo serikali.

Hizo siasa chafu zinafanywa kila sehemu duniani. Serikali zinaongozwa na watu, humo humo kwenye serikali kuna watu wenye roho mbaya. Wakati wa Magufuli, Mbowe alitiwa ndani kwa kosa la ugaidi.

Hakuna mtu anayependa mauaji na watu kutekwa hata Rais mwenyewe hapendi. But hilo jambo is very complex maana kuna wengine wanatumiwa na NGOs ili kuchafua nchi.
 
Sasa unataka afanye nini kaka. Nadhani tunatakiwa kumtia moyo. Nchi ameichukua katika kipindi kigumu, Yeye ni mwanamke. Upinzani alianza nao ndani ya dini yake, viongozi wa dini yake walipinga. Kulikuwa na makundi hasimu akina January na kundi lake, Akina Bashe na kundi lake na wale waliofiwa. Ilikuwa kipindi kigumu sana.

But ameweza kutufikisha hapa. Kwangu mimi namuona ni mwanamke shujaa. Tumpe maua yake.
Ametufikisha hii hatua ya Political unrest, yani hadi Watanzania na upole wote ule wakafikia hatua ya kuandamana kwa wingi against serikali, hadi wananchi wamepoteza imani na serikali yao. Na hii massacre duh... Mbona naona katufikisha pabaya sana

Ila mimi natamani tu hii miaka 5 apunguze kuteka, na aanze kusikiliza wananchi. Pia aruhusu criticism. Hali ni mbaya watu wanaogopa kucriticise serikali kuhofia kutekwa na kuuawa. Naomba sana kwa Mungu Samia ajirekebishe. Kama akiongoza vizuri hii miaka 5 hakika nitampenda. Mimi natamani kuona nchi inaendelea na pia inakuwa na haki. Sio kama sasahivi, wenye amani na uhuru wa kuongea ni machawa wake tu
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza na wananchi Wa Tanzania na Kenya mpakani Namanga

 
Hizo ni person opinions zako tunaziheshimu.
Ni true ....mtu awezi kuwa na akili akaendelea na huu uzi toka kifo cha jpm ...tambua huu ukweli ...kama wewe ni mmoja wapo basi jitambue toka sasa kuwa wewe ni low iq na mmoja wapo wa wapumbavu walio tukuka .....lengo siyo kukutukaneni bali nisemacho ni ukweli.
 
Ni true ....mtu awezi kuwa na akili akaendelea na huu uzi toka kifo cha jpm ...tambua huu ukweli ...kama wewe ni mmoja wapo basi jitambue toka sasa kuwa wewe ni low iq na mmoja wapo wa wapumbavu walio tukuka .....lengo siyo kukutukaneni bali nisemacho ni ukweli.
Truth is relative.
 
Ametufikisha hii hatua ya Political unrest, yani hadi Watanzania na upole wote ule wakafikia hatua ya kuandamana kwa wingi against serikali, hadi wananchi wamepoteza imani na serikali yao. Na hii massacre duh... Mbona naona katufikisha pabaya sana

Ila mimi natamani tu hii miaka 5 apunguze kuteka, na aanze kusikiliza wananchi. Pia aruhusu criticism. Hali ni mbaya watu wanaogopa kucriticise serikali kuhofia kutekwa na kuuawa. Naomba sana kwa Mungu Samia ajirekebishe. Kama akiongoza vizuri hii miaka 5 hakika nitampenda. Mimi natamani kuona nchi inaendelea na pia inakuwa na haki. Sio kama sasahivi, wenye amani na uhuru wa kuongea ni machawa wake tu
Hata kipindi cha Nyerere kulikuwa na political unrest. Ni mambo ya kawaida katika nchi. Huko USA kulikuwa na kipindi wakati wa Trump political unrest watu wakatembea na agenda ya Black Matter. Mambo yataenda kisha yatakaa sawa.

It is normal in a coutry kutoka mambo hayo ndio maana vipo vyombo vya ulinzi
 
Ni true ....mtu awezi kuwa na akili akaendelea na huu uzi toka kifo cha jpm ...tambua huu ukweli ...kama wewe ni mmoja wapo basi jitambue toka sasa kuwa wewe ni low iq na mmoja wapo wa wapumbavu walio tukuka .....lengo siyo kukutukaneni bali nisemacho ni ukweli.
Uzi ni Battle: Dar es Salaam vs Nairobi, muda umeenda sasahivi umebadilika umekuwa Tanzania vs Kenya
Kila mtu humu ana nchi yake ambayo kwa upande wake anaona ni bora kuliko nyingine, that's why huu uzi unaendelea hadi leo.
Sio uzi wa kusifia viongozi bali ni uzi wa kutetea beliefs zako kwa hoja. Anayeona Tanzania ni bora analeta facts kutetea anachoamini na anayeona Kenya ni bora anatetea anachokiamini kwa hoja. Kuwa na viongozi wabaya haimaanishi nchi zetu ni mbaya 100%. Fuatilia vizuri huu uzi tafadhali. Sio kweli kwamba sisi ni wapumbavu
 
Hata kipindi cha Nyerere kulikuwa na political unrest. Ni mambo ya kawaida katika nchi. Huko USA kulikuwa na kipindi wakati wa Trump political unrest watu wakatembea na agenda ya Black Matter. Mambo yataenda kisha yatakaa sawa.

It is normal in a coutry kutoka mambo hayo ndio maana vipo vyombo vya ulinzi
Umeona lakini jinsi kulivyotokea unnecessary deaths? Yani jinsi authorities zilivyodeal na hili suala, kwa kuua watu hadi majumbani kwao duh.
Mungu aisaidie Tanzania
 
Tena at least mkunda kaonesha ujasiri wake,nakumbuka kipindi cha nyuma walikua wanatolewa kufanya usafi,sad siku ya 3 maria akawa anaingiza tena chaka vijana waingie mtaani wakauliwe,madogo wameuliwa kikatili mno,zile bullet sio za kupigia binadamu aisee 🥲🥲

Jambo linaumiza na kusikitisha ndio. Japo binafsi sitaki kuliongelea sana. Ni jambo ambalo liliweza kuepukika vizuri tu bila shuruba hizi.
Tatizo Sasa hivi tuna anza kuongelea matokeo tu huku tukiacha kuongelea chanzo na mzizi wa haya yote. Hapa kuna upande uliamua kuchagua ugomvi kwa nguvu.. kati ya tarehe ya maandamano na tarehe ya uchaguzi kuna ambayo ilitangulia... Ilikuwa ni suala la kuachiana mafasi tu kila mmoja na jambo lake.

Tofauti na hapo ubabe mwisho wake sio mzuri hata kidogo, ni jambo la kusoma alama za nyakati tu. Na vijana walishindwa kujiongeza kidogo Waka amini propaganda kwamba watalimdwa... Wakapuuzia matamko yote na maonyo yaliyotolewa.
It's a zero sum kinda thing... Hakuna wa kumbenesha lawama hapa...yameshatokea , tuyapokee na tuyachukue kama funzo.
 
Umeona lakini jinsi kulivyotokea unnecessary deaths? Yani jinsi authorities zilivyodeal na hili suala, kwa kuua watu hadi majumbani kwao duh.
Mungu aisaidie Tanzania
Hilo suala la Authority kuua watu majumbani ni propaganda za akina Mange kimambi kuichafua Tanzania. Nimeliongelea hapo juu. Uchunguzi unaendelea vyombo vya uchunguzi kutoka ndani na nje vinaendelea ili kufahamu ni nani aliyeua watanzania wasio na hatia kwa kuwapiga risasi za kuulia tembo.

Vilevile nilieleza kuhusu ROE procedures kuwa Tanzania ipo kwenye utaratibu huo na utaratibu huo unajurikana kimataifa.
 
Hilo suala la Authority kuua watu majumbani ni propaganda za akina Mange kimambi kuichafua Tanzania. Nimeliongelea hapo juu. Uchunguzi unaendelea vyombo vya uchunguzi kutoka ndani na nje vinaendelea ili kufahamu ni nani aliyeua watanzania wasio na hatia kwa kuwapiga risasi za kuulia tembo.

Vilevile nilieleza kuhusu ROE procedures kuwa Tanzania ipo kwenye utaratibu huo na utaratibu huo unajurikana kimataifa.
Videk zimepostiwa na Watanzania kwanza, sio Mange. Watanzania kibao wanalalamika ndugu zao wameuliwa wakiwa kwao. Sio kila kitu Mange tu
 
Ngoja tusubiri tuone
Hilo ndilo ninaloendelea kuwaambia watu. Mambo ya security hayafanywi kwenye social media. Maadui wanachofanya ni kutengeneza chuki ili kuleta vurugu katika nchi.

Ni bora kusubiri kuona vyombo vya kiuchunguzi vinakuja na jibu gani. Kwanza mpaka sasa hatujaambiwa ni akina nani wamekamatwa. Na inawezekana hata humo ndani ya jeshi kulikuwa labda na uasi. Let wait and see.
 
Back
Top Bottom