President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Wanaomchukia Samia hawana hata sababu bali ni mfumo dume umeganda kwenye vichwa vyao. Ukiwauliza sababu hawana.Miradi midogo na ya kati ndio umeweka hapa.
Halafu kwa nini tumerudi uchumi wa chini, sio middle income tena 🥹
Hii itawekwa kwenye History. Wanaume Kama akina Gwajima, Polepole, January na wengine kama hao wanatumia njia mbalimbali kumchafua ili wanawake waonekane hawawezi. Kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
But tunajipanga upya to clear the air.