Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu wapo kazini kwaajili ya maendeleo. Wengine wapo kupiga domo na Mange.

TADB - Kilimo kinabenkika

 
Kwanza correnction.
BRT ilianzishwa wakati wa Kikwete.
Mradi wa SGR Fesibility study ilianza wakati wa Kikwete, lilikuwa adhimio la East Africa kujenga SGR.

2. Wakati Magufuli akiwa president mshauri wake wa kwanza na wa karibu alikuwa Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassani Mwanamke wa Shoka, wanaume wakimuona wanatetemeka.
Feasibility study ni easy issue ni utekelezaji, kama Samia ni mshauri mzuri sana mbona sasa awamu yake anashindwa kujenga sana kama Magufuli
 
Umeamua kupuuzia miradi ninayokuonesha Kwikwikwikwikwi

Miradi uliyoonesha ni ya kawaida sana. Sio mibaya ila sio mikubwa ukilinganisha na pesa ambazo serikali inakusanya sasa
Halafu hiyo Kwikwikwikwi... ndio nini
 
Miradi uliyoonesha ni ya kawaida sana. Sio mibaya ila sio mikubwa ukilinganisha na pesa ambazo serikali inakusanya sasa
Halafu hiyo Kwikwikwikwi... ndio nini
Sasa unataka miradi gani mdogo wangu. Kwikwikwikwikwi umeshiwa points. Kinachokusumbua bro ni chuki tu hakuna kingine.

Pole
 
Kwa hiyo hapa ndio nini sijaelewa. Kwamba watalii wameletwa na Mama Samia au Samia ndo kaleta vivutio vya utalii. Hiyo Kazi na Utu inahusikaje hapa, maana ni slogan ya Samia, sio ya utalii 😂😂
Good Question. Unaikumbuka Royal Tour Film? Hii imeleta mabadiliko makubwa sana kwenye Sector ya Utalii. Huu ubunifu haujawahi kutokea tangu dunia iumbwe. Hii Film ilioneshwa kwenye maeneo mengi sana Duniani. Imechechemua utalii Tanzania, hadi sasa wakenya wanaugulia maumivu. Hawana hamu Na Dkt.


View: https://youtu.be/WyHKO9DB4dQ?si=s9eC_SOBNcQ9jJzN
 
Sasa unataka miradi gani mdogo wangu. Kwikwikwikwikwi umeshiwa points. Kinachokusumbua bro ni chuki tu hakuna kingine.

Pole
Ni kweli, nachukia kuona nchi yetu inaendelea taratibu kuliko inavyotakiwa. Na hii chuki ni kweli inanisumbua
 
Ni kweli, nachukia kuona nchi yetu inaendelea taratibu kuliko inavyotakiwa. Na hii chuki ni kweli inanisumbua
Mimi kaka nakugonga kwa facts tu. Tanzania ni kati ya nchi 10 zinazokua kwa haraka Afrika.

Hii nayo unalo la kusema?

1762449437517.png
 
Miradi midogo na ya kati ndio umeweka hapa.
Halafu kwa nini tumerudi uchumi wa chini, sio middle income tena 🥹
Wanaomchukia Samia hawana hata sababu bali ni mfumo dume umeganda kwenye vichwa vyao. Ukiwauliza sababu hawana.

Hii itawekwa kwenye History. Wanaume Kama akina Gwajima, Polepole, January na wengine kama hao wanatumia njia mbalimbali kumchafua ili wanawake waonekane hawawezi. Kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

But tunajipanga upya to clear the air.
 
Wanaomchukia Samia hawana hata sababu bali ni mfumo dume umeganda kwenye vichwa vyao. Ukiwauliza sababu hawana.

Hii itawekwa kwenye History. Wanaume Kama akina Gwajima, Polepole, January na wengine kama hao wanatumia njia mbalimbali kumchafua ili wanawake waonekane hawawezi. Kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

But tunajipanga upya to clear the air.
Wanamsema Samia kwa sababu serikali yake inafumbia macho shutuma za mauaji, utekaji na ufisadi. Pia inakandamiza wapinzani.
It has nothing to do with gender
 
Reuben Challe hii ni leo watalii wanaendelea kumiminika Tanzania. Hii inawauma sana wakenya. Wametumia silaha zao zote kuichafua Tanzania, but bado inang'aa.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE

 
Mimi kaka nakugonga kwa facts tu. Tanzania ni kati ya nchi 10 zinazokua kwa haraka Afrika.

Hii nayo unalo la kusema?

View attachment 3498293
Lakini tulifika middle income. Sasa mbona tumerudi tena Low Income kama ni kweli tunakua kwa kasi hivyo. Huenda tupo top 10 kwa sababu nchi nyingi za Africa zimelala, sio kwa sababu tunafanya vizuri sana
 
Reuben Challe hii ni leo watalii wanaendelea kumiminika Tanzania. Hii inawauma sana wakenya. Wametumia silaha zao zote kuichafua Tanzania, but bado inang'aa.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE

View attachment 3498298
Ongezeko la watalii Tanzania ni habari njema kwangu pia. Mimi napenda tuendelee, Wakenya huwa na wivu na Tanzania, hiyo ni case tofauti kwangu. Mimi naona we are not developing fast enough maana tuna kila kitu. Sina wivu na Tanzania, kwanza ndio nyumbani. Unaanzaje kuanza kuniterm as if sitaki Tz iendelee
 
Wanamsema Samia kwa sababu serikali yake inafumbia macho shutuma za mauaji, utekaji na ufisadi. Pia inakandamiza wapinzani.
It has nothing to do with gender
Nakumbuka wakati wa Kiwete akina Ulimboka waling'olewa kucha na wengine wengi walifanyiwa mabaya lakini hatukusikia kelele kama hizi. wakati wa Maguli akina Tundu Lisu, Roma, Mo, Mauaji kule kibiti, Kituo cha Police Staki Shari askari waliuliwa kinyama.

Samia alichukua nchi katika kipindi kigumu, pia ni mwanamke wa kwanza kuwa rais. Adui zetu wameona opotunit ya kuangamiza taifa letu.

Sisi hatutakubali. Mnamchukia kwa sababu ni mwanamke!!?
 
Back
Top Bottom