Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukisema kinaislum ni kidogo kama piriton huwa mnapandisha kisukari, angalia hilo pori nyuma ya railway line View attachment 3490248
1. Do you know that Nai is the only large city in the world with a national park? Hilo ni pori linalowavutia wataliiwengi kutoka kenya na ulimwenguni kutizama wanyama. Pengine ulitarajia kuwa kuna watu wanaishi humo. Hapa sio Tanzania boss.

2. Hio ni sehemu tu ya mtaa mmoja Nairobi. jifunze kusoma pia sio kutizama picha pekee bila kuelewa maelezo
 
Tukisema kinaislum ni kidogo kama piriton huwa mnapandisha kisukari, angalia hilo pori nyuma ya railway line View attachment 3490248
After kukuaibisha na kukosa comeback umerudi kujifariji. That's South C kijana wa Tandale. Najua kwa akili yako unadhani ni cbd. No bongolala, it's just South C, a residential area on the edge of Nairobi National Park. Look at that skyline! Not comparable to anywhere in Dar ukiondoa posta. Utaumia sana na bado😂😂
 
The guy thinks that's cbd. 🤣🤣🤣Hajui kwamba hapo ni South C. Yani hii Nairobi inazidi tu kuchanganya wanyamwezi Kila siku 🤣 🤣
Na anafaa kujua South C is not even among the top 10 places with tall buildings in Nairobi. Lakini sasa ukichukua hiyo South C alafu upeleke Dar, it will be the most developed area in Dar is slum.
 
Na anafaa kujua South C is not even among the top 10 places with tall buildings in Nairobi. Lakini sasa ukichukua hiyo South C alafu upeleke Dar, it will be the most developed area in Dar is slum.
I doubt kama kuna mahali popote Dar ukiondoa posta pa kulinganishwa na south C in terms of tall structures
 
1. Do you know that Nai is the only large city in the world with a national park? Hilo ni pori linalowavutia wataliiwengi kutoka kenya na ulimwenguni kutizama wanyama. Pengine ulitarajia kuwa kuna watu wanaishi humo. Hapa sio Tanzania boss.

2. Hio ni sehemu tu ya mtaa mmoja Nairobi. jifunze kusoma pia sio kutizama picha pekee bila kuelewa maelezo
Punguza matumizi mabovu ya nguvu, ungeweka hii uondoke

Screenshot_20211212-114613.png
 
After kukuaibisha na kukosa comeback umerudi kujifariji. That's South C kijana wa Tandale. Najua kwa akili yako unadhani ni cbd. No bongolala, it's just South C, a residential area on the edge of Nairobi National Park. Look at that skyline! Not comparable to anywhere in Dar ukiondoa posta. Utaumia sana na bado😂😂
Nionyeshe hapa ipo wapi South C
Screenshot_20211212-114613.png
 
Na huo udogo wake it's still much wealthier than Dar three times.

So hiyo place umecircle ndio Nairobi yote?
Kumbe naislum zoo ni kubwa kuliko developed area na hapo bado misitu ya ngong na Karen na mapori mengine naislum, ndio maana slums ni nyingi, kaeneo kadogo equally to several basketball fields kameshona masikini million 7
 
Nionyeshe hapa ipo wapi South C View attachment 3490272
Your desperation levels zinatia huruma. You started by claiming that a Ugandan town is in Kenya. After proving you wrong, ukaona urudi Kenya, this time bringing a photo of a residential area on the edge of the national park thinking it's the CBD. Baada ya kuaibishwa hata zaidi, umerudi na hii picha. What are you bringing next mnyamwezi?
 
Kumbe naislum zoo ni kubwa kuliko developed area na hapo bado misitu ya ngong na Karen na mapori mengine naislum, ndio maana slums ni nyingi, kaeneo kadogo equally to several basketball fields kameshona masikini million 7
"Ndio maana slums ni nyingi"

1000052292.jpg
 
Stop the desperation mnyamwezi. Why would Bobby Wine campaign in Kenya? And don't you know that Busia is a border town with two sides? That's the Ugandan side of Busia town. Stop the desperation na ulimbukeni

Kama hizo ni slums in the background, then I don't know what to call the shanties in Dar that spread all over the place!
Masaibu ya kutoenda shule.
 
1. Do you know that Nai is the only large city in the world with a national park? Hilo ni pori linalowavutia wataliiwengi kutoka kenya na ulimwenguni kutizama wanyama. Pengine ulitarajia kuwa kuna watu wanaishi humo. Hapa sio Tanzania boss.

2. Hio ni sehemu tu ya mtaa mmoja Nairobi. jifunze kusoma pia sio kutizama picha pekee bila kuelewa maelezo
Unajaribu kusaidia huyo primary school dropout kufikiria. Huyo hawezi saidika hadi ile siku atarudi primary school aendele na masomo.
 
Back
Top Bottom