Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza, ni vizuri ujue kuwa Mungu Ibariki Afrika haikuibwa na Tanzania. Wimbo huo uliandikwa na Enoch Sontonga, Mzulu kutoka Afrika Kusini, mwaka 1897. Ulienea kote Afrika kama wimbo wa mapambano na umoja wa Waafrika kabla hata nchi nyingi kupata uhuru.

Tanzania ilichagua wimbo huo kama alama ya umoja wa Waafrika na mapambano ya ukombozi, si uvivu wala wizi.

Kwa hiyo, si “copycat” ni kuzingatia urithi wa real panafricanism, ambao unawakilisha maombi ya pamoja ya Waafrika wote: Mungu ibariki Afrika
Tell that to your Bongo comrades since just a few hours ago , they were claiming the song was invented by Tanzanians . At least your take is much better…
 
Back
Top Bottom