ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tell that to your Bongo comrades since just a few hours ago , they were claiming the song was invented by Tanzanians . At least your take is much better…Kwanza, ni vizuri ujue kuwa Mungu Ibariki Afrika haikuibwa na Tanzania. Wimbo huo uliandikwa na Enoch Sontonga, Mzulu kutoka Afrika Kusini, mwaka 1897. Ulienea kote Afrika kama wimbo wa mapambano na umoja wa Waafrika kabla hata nchi nyingi kupata uhuru.
Tanzania ilichagua wimbo huo kama alama ya umoja wa Waafrika na mapambano ya ukombozi, si uvivu wala wizi.
Kwa hiyo, si “copycat” ni kuzingatia urithi wa real panafricanism, ambao unawakilisha maombi ya pamoja ya Waafrika wote: Mungu ibariki Afrika
Acheni kuwa wazembe na wezi pia. Thieves of national anthems🤣🤣😂
Yani these people sometimes makes me wonder if they even posses a brain. Reasoning yao canmmake you puke.Niliona nikajizuia kucomment nikajua utakuja. 🤣 🤣
risasi kwenye msiba hii nchi imelaaniwa na nani jameni 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://x.com/tonymkenya7/status/1978803232655704522?s=46
Kwani ni uongo? Si mmeiba wimbo wa taifa😂😂Pambana na njaa iliyopo kwenu ukabila ndiyo uje useme tumeiba wimbo wa taifa
Nenda Kasarani wewe nyang'au kwenye msiba wa 'baba' sio unakaa hapa kupiga porojo siku nzima😂Kwani ni uongo? Si mmeiba wimbo wa taifa😂😂
Kuiba wapi?Kwani ni uongo? Si mmeiba wimbo wa taifa😂😂
Tuna backup anthem 2 ni nzuri kuliko anthem ya kunyan,na hii anthem yetu ya sasa hivi atuiachi ng'o,sisi ndio tuliyoibuni iwe anthem ya upande wa SADCSo unadhani kwamba hatukutunga wimbo wetu wenyewe wa taifa kwa sababu hatukuwa "creative"?
Is common sense banned in Kenya?
Na wanapaswa wajue kuwa Dar majengo yakijengwa yanang'aa, hata picha za Dar ukiangalia maghorofa yana shine vizuri sana, Jua linapiga vizuri, jiji liko bright hadi raha. Dar ni naturally blessed area kwa kweliNi vile tu Tz hatuna midomo. Na tall buildings don't excite us
Kuna hiz twin towers pale Morocco
View attachment 3489423View attachment 3489424View attachment 3489425
Endelea kujidunga ukimwaga.Tuna backup anthem 2 ni nzuri kuliko anthem ya kunyan,na hii anthem yetu ya sasa hivi atuiachi ng'o,sisi ndio tuliyoibuni iwe anthem ya upande wa SADC
Dar ni kubwa sana, ukitaka kuona hizo construction fuatilia YouTube channel ya BertinYou just don't have them, nothing like tall buildings doesn't excite you. I once said and I say it again, just show me at least 3 buildings currently under construction in Tanzania that's 20 floors and above. Just show me three.
Sahihi. Hawajui Tanzania tuna nyimbo ya uzalendo "Tazama Ramani" na ni nzuri kuliko national anthem ya KenyaTuna backup anthem 2 ni nzuri kuliko anthem ya kunyan,na hii anthem yetu ya sasa hivi atuiachi ng'o,sisi ndio tuliyoibuni iwe anthem ya upande wa SADC
Kitu nilichogundua Dar panang'aa sana kuliko Nairobi. Mazingira yanavutiaSiku machafu chafu wa north wakifika level hii,kamji kao watakaita capital of the world walivyokua washamba
View attachment 3489407