Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ile westland hua hamuoneshwi😂😂😂
siti in ze san

IMG_9182.jpeg
IMG_9183.jpeg
IMG_9184.jpeg
 
Anayejidanganya kati yangu na wewe ni nani sasa? We are getting rid of our slums and evidence ipo for all to see. Nyinyi on the other hand, slums zenu zinazidi kuongezeka na hakuna uboreshaji wowote inafanyika. Sasa ni wapi ndio bado sana as you put it? Ugua pole
Licha ya kujaribu kuficha na hayo maghorofa lakini bado sana.
1759779286948.jpeg


Cc: Mimi Wewe Yule
 
Huyo anatamani aamke akute ma slums yameondoka yoteee, lkn bad news kwake ma slums ndo kwanza yame triple, wao wanadhani wakijenga vighorofa viwili vitatu ndiyo watamaliza ma slums, hawajui ma slums ni matokeo ya umaskini uliokithiri, leo hii mkazi wa mukuru kayaba ukimpeleka posh areas badala yeye abadilike aendane na mazingira but mazingira ndiyo yatabadilika yaendane na yeye, akili hawana wakenya.
Watchman unaongea hapa na wewe mwenyewe unaishi slum?
 
Back
Top Bottom