Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tetenus inapita kwenye uchafu😂😂😂


IMG_8893.jpeg
 
Huyo anatamani aamke akute ma slums yameondoka yoteee, lkn bad news kwake ma slums ndo kwanza yame triple, wao wanadhani wakijenga vighorofa viwili vitatu ndiyo watamaliza ma slums, hawajui ma slums ni matokeo ya umaskini uliokithiri, leo hii mkazi wa mukuru kayaba ukimpeleka posh areas badala yeye abadilike aendane na mazingira but mazingira ndiyo yatabadilika yaendane na yeye, akili hawana wakenya.
Watchman unaongea hapa na wewe mwenyewe unaishi slum?
 
Back
Top Bottom