Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,878
Another blonde la mto msimbaziBonde la mto Msimbazi ambako watu walishalipwa fidia ili wahame kwa ajili ya Mradi wa uendelezaji wa bonde la Msimbazi! 😂😂😂
I was going to say the same when I saw that picture yesterday. It is better planned than most of their towns. Who were the planners of Dar? 😂😂Despite thatched houses and dusty roads , this probably the best organized bongo town I have ever seen. Kudos.. you are moving in the right direction..😜
Hizo ni grass thatched huts mjini? 🤣 🤣 🤣Tanzania na barabara za Lamu ni kama maji na mafuta.
This is Kahama Town, Shinyanga.
View attachment 3484661
This is not Kenya.
Asante kwa render 🤣🤣🤣🤣
As usual, photos from 8 years ago
Certified nincompoop.Another blonde la mto msimbazi View attachment 3484779
Mara nyingi wakundustan mkisikia kuhusu small mining Tanzania mnafikiria forced underage labor wakiwa na medieval tools stone age environment fetching gold particles, hamna Habari Tanzania tupo mbali, angalia shughuli za watanzania wazawa huku, hii plant 1 ni sawa na hizo stores zenu Kunyaland yote mnazoziita industrial parksUnalia hapa yet your economy is controlled by the same people you have mentioned plus Kenyans.
wangetengeneza Ile barabara ya kupitia kiteto.Tanga to Tunduma kuna excess ya kilometers 80 compare to Dar, Tunduma ndio gateway ya tankers nyingi from the Dar port to the SADC region naona walizingatia cost lakini pia nimependa kuona Kigamboni ipo reserved kwa oil products tu
I can bet on my three cents that you don't even know the meaning of that wordCertified nincompoop.
Ukakosa picha kabisa hiyo picha ni zaid ya week anaipost🤣🤣🤣
viwanda vyote vimekufa wako hapa kupanua midomo yao 😂😂😂
View: https://x.com/ntvkenya/status/1974873510137782563?s=46
Duuu hii ni slum mpya?