Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.
Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.
Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro
Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam