Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar port especially the RoRo berth inapokea mzigo mwingi sana wa magari for Southern Africa countries. Jana nimeona chuma 3 za Yutong zikitoka port kuelekea South Africa moja ya Bafana Bafana nyingine ya Brooklyn Express na moja haina charter.
 
Dar port especially the RoRo berth inapokea mzigo mwingi sana wa magari for Southern Africa countries. Jana nimeona chuma 3 za Yutong zikitoka port kuelekea South Africa moja ya Bafana Bafana nyingine ya Brooklyn Express na moja haina charter.
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
 
No we aren't

Back to you. Aren't you still using pit latrines in Dar in 2025?
Really?
1759386365884.png

1759386393329.png

1759386413462.png
 
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
Ila barabara ya Kibaha Chalinze na Morogoro iko under procurement kwa sasa.
 
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
Viongozi hawana vision and they lack sharpness kwenye kuona mbele haraka.
 
Dar port especially the RoRo berth inapokea mzigo mwingi sana wa magari for Southern Africa countries. Jana nimeona chuma 3 za Yutong zikitoka port kuelekea South Africa moja ya Bafana Bafana nyingine ya Brooklyn Express na moja haina charter.
Nikirudi bongo this time nataka nianze content ya kupiga picha gari za IT na trucks zinatoka dar port,binafsi kwa siku uwa nakutana na IT zaidi ya 80 na trucks zaidi ya 50,sasa hivi hadi zimbabwe wamerudi kutumia dar port,TBS wafanye kazi watuletee data sahihi za dar port
 
Nikirudi bongo this time nataka nianze content ya kupiga picha gari za IT na trucks zinatoka dar port,binafsi kwa siku uwa nakutana na IT zaidi ya 80 na trucks zaidi ya 50,sasa hivi hadi zimbabwe wamerudi kutumia dar port,TBS wafanye kazi watuletee data sahihi za dar port
I think kwenye RoRo Dar port inaongoza Eastern and Southern Africa ships prefer calling at Dar port due to increased efficiency and no waiting time for RoRo vessels.
 
Oil wamegundua 10 years ago mpaka sasa wameifanyia nini tuanzie hapo kwanza.
TZ tunachimba dhahabu tarime, ukanda huo huo upande wa Kenya, Migori kuna dhahabu, yaneachia wahuni wanachimba kihuni halafu yanalalamika.

Kenya ina madini kibao, mafuta, Turkana siyo landlocked (ina bandari), ina game reserves (Amboseli, Masaai Mara, Tsavo, Nairobi National Park), lakini ukiyakuta yanabonga unaweza kufikiri yanatoka Botswana au Namibia ambako nchi nzima ni jangwa na landlocked.

Na wanasiasa wao wamesha yajulia.
 
Back
Top Bottom