Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanian street beggar arrested by public in Pangani Kenya 🤣🤣
Hii sura mbona hakai Mtanzania!
IMG_6321.jpeg
 
I have never in my whole life heard a vehicle going by the make of Emirata or Sultan, unless you don't know what a make means. To give you a benefit of doubt can you share with me the vehicle logos of the Sultan and Emirata brands?
How will you know yet you are clueless about vehicles?
 
Dar port especially the RoRo berth inapokea mzigo mwingi sana wa magari for Southern Africa countries. Jana nimeona chuma 3 za Yutong zikitoka port kuelekea South Africa moja ya Bafana Bafana nyingine ya Brooklyn Express na moja haina charter.
 
Dar port especially the RoRo berth inapokea mzigo mwingi sana wa magari for Southern Africa countries. Jana nimeona chuma 3 za Yutong zikitoka port kuelekea South Africa moja ya Bafana Bafana nyingine ya Brooklyn Express na moja haina charter.
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
 
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
Ila barabara ya Kibaha Chalinze na Morogoro iko under procurement kwa sasa.
 
Tungekuwa na akili tungeanza kuipanua mdogo mdogo Barabara ya Dar to Tunduma. Miezi sita sita km 50 kwa kuongeza lane mbili kila upande wa Barabara. Mbona Barabara za masaki zimejengwa haraka haraka ndani ya miezi miwili.

Wanaweza Anza na madaraja kwanza maeneo kama ruvu, bwawani nk.
Tunaweza sana kuongeza lane 4 Barabara ikawa Njia sita hadi Tunduma tena kwa pesa za ndani.

Tukianza sasa, mwezi wa sita mwakani Barabara ya Njia sita inakuwa challinze, mwisho wa mwaka mikese. Hivyo hivyo hadi Morogoro

Barabara ikiwa nzr na Pana kutoka Dar hadi Tunduma. Watu wa southern wote watahamia port of Dar es Salaam
Viongozi hawana vision and they lack sharpness kwenye kuona mbele haraka.
 
Back
Top Bottom