Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi SLUM CITY of 660sqm.

View attachment 3479442
Screenshot_20250927-191931.png

Ukunyan kuna hadi maghorofa ya udongo
 
Unplanned settlements haitokani na ubora wa nyumba, ila hutokana na ujenzi wa maeneo yasiyopimwa.
Tofautisha upimaji wa viwanja na makazi yaliyopangiliwa,bongo tuna viwanja vilivyopimwa tuu lakini makazi hayajapangiliwa nchi zilizoendelea huwezi kuhamia nyumba haijakamilika ila bongo ni kawaida nyumba hazina sewage system,nyingine hazina maji ila utakuta mtu anaishi ndani na familia yake, hapo hapo barabara hamna na vitu kibao vya msingi ila makazi yakiwa planned huduma zote za kijamii zinakuwa zishafikishwa kabla ya mtu kuhamiaa mfano mbweni ni rich neighborhood ila hakuna public pack au reliable public transport na reliable simaniishi bodaboda
 
Tofautisha upimaji wa viwanja na makazi yaliyopangiliwa,bongo tuna viwanja vilivyopimwa tuu lakini makazi hayajapangiliwa nchi zilizoendelea huwezi kuhamia nyumba haijakamilika ila bongo ni kawaida nyumba hazina sewage system,nyingine hazina maji ila utakuta mtu anaishi ndani na familia yake, hapo hapo barabara hamna na vitu kibao vya msingi ila makazi yakiwa planned huduma zote za kijamii zinakuwa zishafikishwa kabla ya mtu kuhamiaa mfano mbweni ni rich neighborhood ila hakuna public pack au reliable public transport na reliable simaniishi bodaboda
Ulitaka aishi wapi?
 
Back
Top Bottom