Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sikatai, mwaka 2009 Dar ilikuwa hivyo, sasahivi tupo 2025 wewe mkazi wa Kibera 😂😂😂
Ebu tuonyeshe hizo picha unakana tuone vile vinafanana in 2025. I assure you that they are now worse.

Dar in 2025.

1000071771.jpg
 
Ebu tuonyeshe hizo picha unakana tuone vile vinafanana in 2025. I assure you that they are now worse.

Dar in 2025.

View attachment 3479197
Dar kuna mvua nyingi sana, so hayo maeneo ya uswazi kutokana na kutopangiliwa ndio kunakuwa na maji machafu yanayotokana na mvua

Lakini wewe mwenyewe si unajua Nairobi hadi 2025 inakaa hivi. Sasa imagine hapa mvua ikinyesha hali inakuwaje 😂😂😂
Screenshot_2025-09-26-00-37-05-385_com.google.android.apps.maps.png
 
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
But Pipeline is a slum despite having magorofa and self contained rooms?

Ama ikifika Kenya hamuangalii hizo?
 
Dar kuna mvua nyingi sana, so hayo maeneo ya uswazi kutokana na kutopangiliwa ndio kunakuwa na maji machafu yanayotokana na mvua

Lakini wewe mwenyewe si unajua Nairobi hadi 2025 inakaa hivi. Sasa imagine hapa mvua ikinyesha hali inakuwaje 😂😂😂View attachment 3479209
This just house 40%, in Dar 70% of people live like that.

1000052292.jpg
 
This just house 40%, in Dar 70% of people live like that.

View attachment 3479211
Not all informal settlements look like Tandale, Dar ina maeneo mazuri tu yenye nyumba nzuri za kuvutia lakini kwa sababu hayakupimwa kipindi mji unajengwa, so they are also considered informal settlements, but they look nothing like Kenyan slums bro. Hatufanani
 
Not all informal settlements look like Tandale, Dar ina maeneo mazuri tu yenye nyumba nzuri za kuvutia lakini kwa sababu hayakupimwa kipindi mji unajengwa, so they are also considered informal settlements, but they look nothing like Kenyan slums bro. Hatufanani
Tukuamini wewe fundi wa Baiskeli ama tuamini World Bank?

1758881167269.jpeg
 
Thanks for comparing a slum to the CBD of your cleanest town, that alone should tell you how dirty your country is.
Hasty generalisation, here it comes 🙍.

ichoboy01 ametuonesha sana picha za maeneo mnayoita premium huko Naipori mfano Westlands. Licha ya kuwa ndio maeneo best ya huko Nairobi lakini takataka zimezagaa kila kona, watu hadi wanachunga ng'ombe in the so called Singapore
IMG_8878.jpeg
 
Hasty generalisation, here it comes 🙍.

ichoboy01 ametuonesha sana picha za maeneo mnayoita premium huko Naipori mfano Westlands. Licha ya kuwa ndio maeneo best ya huko Nairobi lakini takataka zimezagaa kila kona, watu hadi wanachunga ng'ombe in the so called Singapore View attachment 3479228
Wana slums kila county. 😂😂😂
 
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
Lakini Kenya nyumba zinajengwa na matope, nyingine ni full mabati kuanzia chini hadi juu. Yani watu wanaiona hell hapahapa duniani, halafu wanaona sawa. Eti Singapore ya Africa, Singapore my ass 😂😂😂
Pipeline is considered a slum in Nairobi ila nyumba zote ni za tofali na bati juu. Tena apartments za choo na bafu ndani
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-08-05T223105.521.jpeg
images - 2025-08-05T222804.523.jpeg


Same as Mathare slum
images - 2025-09-26T124911.465.jpeg
images - 2025-09-26T125052.689.jpeg
images - 2025-09-26T124751.830.jpeg
images - 2025-09-26T124723.685.jpeg
hq720 (26).jpg


Same as Huruma (also considered a slum)
images - 2025-09-26T124940.284.jpeg
view-down-a-road-in-huruma-a-district-of-nairobi-showing-people-shops-M0C05B.jpg
DnHurumaHouses1405aer.jpg


Same as Kariobangi (also considered a slum)
images - 2025-09-26T130340.846.jpeg
hq720 (28).jpg
images - 2025-09-26T125813.831.jpeg
hqdefault (3).jpg
maxresdefault (8).jpg
hq720 (27).jpg


Kawangware the story is the same. Also considered a slum in Nairobi
hq720 (29).jpg
nairobi-streets-town-kenya-africa-near-riruta-muslim-community-african-cities-kawangware-25412...jpg
maxresdefault (9).jpg
Kawangware-46-og_image.webp


I can give you so many such examples. Dar has a long way to go
 
Back
Top Bottom