Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You talking of slums in Nairobi while your city is one big sprawling slum from east to west and north to south! Isn't this the face of your entire city?
View attachment 3479136View attachment 3479137View attachment 3479139View attachment 3479140View attachment 3479141

The biggest slum in the world?🤣🤣🤣. Where did you get that info from bongolala? You've definitely hit panic mode
Hapa East Africa hakuna sehemu inazidi Kenya kwa slums wewe Mkundustan. Kenya mna slums level moja na India na Nigeria. Kenya haijalishi uende wapi, South, East, West au Central kote ni slums tu, ukienda North ni ukame na njaa😂😂😂

Angalia Nairobi ambayo mnaita world class city 🤣🤣🤣
Screenshot_2025-09-26-00-35-16-307_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-35-48-511_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-00-36-34-826_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-36-53-988_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-37-05-385_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-09-26-00-43-58-280_com.google.android.apps.maps.jpg


Achana na Nairobi twende Mombasa 😂😂😂
Screenshot_2025-09-26-12-26-15-205_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-26-06-717_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-25-30-180_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-25-15-965_com.google.android.apps.maps.jpg
Screenshot_2025-09-26-12-24-35-181_com.google.android.apps.maps.jpg

Nchi nzima imejaa nyumba za matope na mabati na mko hapa mnatrash Tanzania. Kwenye hili suala la slums Kenya mko juu sana.
Kama unabisha nenda YouTube search slum in Tanzania (2024/2025) uone, halafu search slums in Kenya (2024/2025) ndio uone tofauti ya Jua na mwezi. Haki ya Mungu, hakuna slum chafu kama Kibera hapa East Africa 🤣🤣🤣

Hebu angalia hawa watu wanaoishi hapa, hivi wana future kweli hawa? Nchi za Africa zina watu masikini lakini Kenya mmezidi kwa kweli 😑😑

View: https://youtu.be/6rIV8TlrbLQ?si=nq3I4O_8m7bj2ppO
 
Mbona huwa hawataji na kuonesha hizo slums zilizopo Dar!
Wanasahau kuwa biggest slum in Africa na duniani yapo Kenya. 😂😂😂
Anadhani kwenda Google earth na ku zoom out kutaweka slums Dar.
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
Lakini Kenya nyumba zinajengwa na matope, nyingine ni full mabati kuanzia chini hadi juu. Yani watu wanaiona hell hapahapa duniani, halafu wanaona sawa. Eti Singapore ya Africa, Singapore my ass 😂😂😂
 
Wewe scammer unashindwaje kujua list of Slums in your big slumish city?

View attachment 3479163
Nimekuitisha statement umeshindwa kuleta umebaki kulazimisha niwe scammer ili kuficha aibu ya kutoleta statement! 😂😂😂
Poor jaluo kumbe siku hizi informal settlement imekuwa slums! 😂😂😂
Hayo majibu ya AI mbona yanakuumbua!
Kazi ni kuvaa kama wazee.
 
Nimekuitisha statement umeshindwa kuleta umebaki kulazimisha niwe scammer ili kuficha aibu ya kutoleta statement! 😂😂😂
Poor jaluo kumbe siku hizi informal settlement imekuwa slums! 😂😂😂
Hayo majibu ya AI mbona yanakuumbua!
Kazi ni kuvaa kama wazee.
Why are you so ashamed of your job? You should have some pride in Scamming people.

Anyway back to slums Mr. Scammer.

1000071770.jpg
 
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
Lakini Kenya nyumba zinajengwa na matope, nyingine ni full mabati kuanzia chini hadi juu. Yani watu wanaiona hell hapahapa duniani, halafu wanaona sawa. Eti Singapore ya Africa, Singapore my ass 😂😂😂
Tofauti ya hawa Wakunya na kondoo ni harufu. 😂😂😂

View: https://youtu.be/0B_vZCLDs-M?si=BDLanziot3KCMHgF
 
Ebu tuonyeshe hizo picha unakana tuone vile vinafanana in 2025. I assure you that they are now worse.

Dar in 2025.

View attachment 3479197
Dar kuna mvua nyingi sana, so hayo maeneo ya uswazi kutokana na kutopangiliwa ndio kunakuwa na maji machafu yanayotokana na mvua

Lakini wewe mwenyewe si unajua Nairobi hadi 2025 inakaa hivi. Sasa imagine hapa mvua ikinyesha hali inakuwaje 😂😂😂
Screenshot_2025-09-26-00-37-05-385_com.google.android.apps.maps.png
 
Hata mimi namshangaa, hata hizo anazoita slums bado zina nyumba zilizojengwa kwa matofali na kuezekwa bati juu, ni vile tu mabati ni ya zamani kwa hiyo yana kutu (rust)
But Pipeline is a slum despite having magorofa and self contained rooms?

Ama ikifika Kenya hamuangalii hizo?
 
Back
Top Bottom