Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kusema ukweli ni Tanzania tuu ndo iko na potential SADC, tukiondoa hawa wahuni walioibaka Tanzania yetu.

Ramaphosani ni agent wa Wazungu mwenye mission mahususi ya kuiharibu ANC na amefanikiwa sana kuharibu nchi na kuiharibia ANC reputation yake.

Tanzania tunaendelea vizuri hata chini ya uongozi longolongochini ya huyu bibi. All in all, hili genge la Kikwete soon lita exit.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1967643947251212518


View: https://x.com/Our_DA/status/1967606395718488364
 
Ramaphosani ni agent wa Wazungu mwenye mission mahususi ya kuiharibu ANC na amefanikiwa sana kuharibu nchi na kuiharibia ANC reputation yake.
Viongozi kama hawa ndo hufanya wazungu watuone waafrika wote wajinga. Wakipewa vihela vya uongozi wanaona wamefika, kumbe wanadharaulika, ndo maana wakarundikwa kwenye basi kama ng'ombe, wakati wa mazushi ya Eliza.

Badala ya kutumikia wananchi, wao wanajilimbikizia mali, hovyo kabisa.
Tanzania tunaendelea vizuri hata chini ya uongozi longolongochini ya huyu bibi. All in all, hili genge la Kikwete soon lita exit.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1967643947251212518

Yap! They have to go, the easy way or the hard way.

For yrs nimekuwa nikisema hapa, Kikwete na genge lake ni economic hitman wa nchi yetu, nafurahi sasa imeanza kuwa dhahri.
 
Screenshot_20250916_005338_Chrome.jpg
🤣🤣🤣🤣amkeniiii! The New York of Africa with BRT🤣🤣🙌...
 
Halafu unakuta kuna watu wanamshabikia aendelee, wakati ni sisi pekee kwenye SADC ndiyo wenye SGR, like WTF?
Mimi mwenyew sijui baadhi ya watz wamekumbwa na nini?

Kuna watu wana level ya juu ya ubinafsi sijawahi oná. Kwa kuwa bado tuna watu wa aina hii. Tanzania inahitaji kiongozi mbabe, yaan Magufuli 2 times.

Kwa mwenye akíli timamu, anaona kwamba nchi ipo katika hali mbaya sana kisiasa. Na mwenye uwezo wa kuiokoa kabla haijawa worse ni Mother pale juu.
 
🤦‍♂️kitu unachoshangilia, haina tofauti nakushangilia kwamba umepigwa vidole. That's a waste of public funds and a misuse of Tax payer money from both states!(KE/TZ)...funds ambazo zingetumika ku benefit both of her citizens in one way or another. Na akili kama hizi naona East Africa we are cooked.
Kwahiyo according to your mentality ni bora Raisi afe kwa kuanguka na ndege halafu muite early election sio notwithstanding gharama za election ambazo ni zaidi ya pesa ya kununua hiyo ndege.
 
Ni za chang'aa kwani?
Hatuuzi maji kwenye mkokoteni, hiyo ilikuwa zamani sn since I was child, Tanzania especially Dar hakuna shida ya maji, tulishatoka huko, wauza maji kwa mikokoteni walishatafuta kazi za kufanya, kuna mambo mengi yanaendelea huko kenya kwetu huku hakuna kabisa, ni ajabu kukuta mtu anauza maji mtaani kwa mkokoteni, labda mjini wanauza kwa mkokoteni na maji yenyewe ni yale ya chupa (Uhai, Masafi, Hill etc) msifosi tufanane.
 
Back
Top Bottom