ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ajira zipo tanzania lakini kwa watanzania
View: https://x.com/millardayo/status/1967659071407882606?s=46
View: https://x.com/millardayo/status/1967659071407882606?s=46
"Wanakunywa maziwa nchi nzima" 🚮View attachment 3472774🤣🤣🤣sio sisi ndio tumesema.Ni Mzalendo mwenzenu huyo kasema🙌...
Hata South Africa ni choka choka pia.Dah!, sasa nani hapa mwenye political emotions?
Lobito Atlantic railway ni cape gauge.
Investment ya kubadilisha cape gauge kuwa standard gauge kwenye nchi za Sadc, pesa hiyo hakuna. Zimbabwe, Zambia na Botswana wote choka mbaya, ndiyo maana nikasema hizo ni empty promises, we ain't stupid.
imagine 2025 maji bado yanauzwa kwenye toroli ndani ya singapore😂😂😂
View: https://x.com/propesatv/status/1967614001883607545?s=46
Kusema ukweli ni Tanzania tuu ndo iko na potential kubwa SADC, tukiondoa hawa wahuni walioibaka Tanzania yetu, tutakimbia haraka sana.Hata South Africa ni choka choka pia.
Lesotho, Eswatini, Namibia ni viuchumi Mchicha.
Kusema ukweli ni Tanzania tuu ndo iko na potential SADC, tukiondoa hawa wahuni walioibaka Tanzania yetu.
imagine 2025 maji bado yanauzwa kwenye toroli ndani ya singapore😂😂😂
View: https://x.com/propesatv/status/1967614001883607545?s=46
Viongozi kama hawa ndo hufanya wazungu watuone waafrika wote wajinga. Wakipewa vihela vya uongozi wanaona wamefika, kumbe wanadharaulika, ndo maana wakarundikwa kwenye basi kama ng'ombe, wakati wa mazushi ya Eliza.Ramaphosani ni agent wa Wazungu mwenye mission mahususi ya kuiharibu ANC na amefanikiwa sana kuharibu nchi na kuiharibia ANC reputation yake.
Tanzania tunaendelea vizuri hata chini ya uongozi longolongochini ya huyu bibi. All in all, hili genge la Kikwete soon lita exit.
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1967643947251212518
Mimi mwenyew sijui baadhi ya watz wamekumbwa na nini?Halafu unakuta kuna watu wanamshabikia aendelee, wakati ni sisi pekee kwenye SADC ndiyo wenye SGR, like WTF?
hapo safaricom over 60% shares ni ya foreigners alaf MTN over 83% ni foreigners
View: https://x.com/uchumiforum/status/1967476251960226147?s=46
Quality tu ya images inakuprove wrongView attachment 3472943View attachment 3472944View attachment 3472945
🤣🤣🤣🤣😂🙌 naona New Yorkers kwenye pilka pilka zao ...okay Mungu nisamehe please😂 🙏 ...kwa kusema kweli nyani haoni kundule duh!🤣😂...
😁 Kwahiyo una amini hizo dumu ni za maji?View attachment 3472941View attachment 3472942🤣🤣🤣🤣amkeniiii! The New York of Africa with BRT🤣🤣🙌...