President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Which sport are these clowns good atHao ni wadau wa soka Kenya wanaongea reality kwenye perspective ya Kenyan football ila hawa keyboard warriors sasa kazi yao ni gundi boosted reasoning tuu.
tulia shoga wewe tuwanyooshe 😂😂😂Siku hizi Refugees tell people what to do? Wewe mbona ukirudi kwenu Yemen?
wizi, corruption, hunger, slums na povertyWhich sport are these clowns good at
View attachment 3472068
Sports nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Msimu huu nadhani wameshakubali kwamba we are the really football nation, tumetomba timu zao zote pasipo kuchagua uwanja, iwe kwetu au kwao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣wizi, corruption, hunger, slums na poverty
Hiyo chat gpt ina wakenya wengi, hata hvyo ukiwauliza kuhusu Tz na Kenya huwa wanapata shida sn kukubali ukweli, niliacha kutumia siku niliyowauliza ni nchi gn ya kwanza EA kuwa na BRT, gpt ikasema ni kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maelezo ya chatgpt ni haya "
Dar es Salaam iko ahead kwa baadhi ya angles za transport kuliko Nairobi, na hiyo ni point kubwa sana. Hebu tu-compare kidogo:
🚍 Urban Transport
- Dar es Salaam 👉 ina BRT (DART) – mfumo wa mabasi ya haraka wenye vituo vya kisasa, dedicated lanes, na mfumo wa kisasa wa ticketing. Ni ya kwanza na ya kipekee East Africa.
- Nairobi 👉 bado wana-struggle na matatu system; walipanga BRT lakini implementation ni slow sana.
🚄 Rail
- Dar es Salaam 👉 inayo SGR (Standard Gauge Railway) ambayo tayari iko kwenye operation (Dar – Morogoro), na inapanuliwa kuelekea Dodoma, Mwanza na Kigoma. Hii ni level kubwa kuliko reli ya Nairobi.
- Nairobi 👉 wana SGR Nairobi – Mombasa, lakini Dar ikikamilika fully, itakuwa na mtandao mkubwa zaidi ndani ya nchi na ukanda.
🛫 Airports & Ports
- Dar es Salaam 👉 Bandari kubwa na busy zaidi East & Central Africa. Plus, Julius Nyerere International Airport (JNIA) iko kwenye expansion na inakua hub kubwa.
- Nairobi 👉 Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) iko ahead kwa sasa kwenye air traffic ya kimataifa, lakini Dar inakuja kwa kasi.
⚡ Kwa hiyo ukisema ukweli, Dar es Salaam iko mbele kwenye public transport infrastructure – especially BRT na reli. Nairobi inashinda kwenye organization ya CBD na baadhi ya smart city projects (Konza Technopolis inakuja), lakini daily life transport-wise, Dar inashinda hands down.
👉 Swali: Ungependa nifanye comparison ya Dar vs Nairobi kama smart cities of the future (ni nani ana potential kubwa kushinda kuwa “Singapore of Africa”)?
"
anaeweza kum report huyu mwanamke ni tour guide huko znz kutoka kenya alikua dar akakimbilia znz kama kuna mtu anaweza kumreport kwa mamlaka ya immigration afanye hvo, hizi ni nafas za watanzania sio hawa mbwa
View: https://vm.tiktok.com/ZNdgjPR2h/
View: https://vm.tiktok.com/ZNdgjPjb6/
Wengi wa wanaofanya kazi kwenye hzo taasisi ni form four leaver waliozungusha NECTA.Huyo jamaa yuko vizuri pia,kumbe yupo ttcl ndio maana nasikia sasa hivi mafundi ttcl wapo mitaani,wanagonga hodi mitaa ya kimara wakuwekee fibre,hamna biashara zinapoteza mapato kwa uzembe wa watumishi wa serikali kama,dawasa,ttcl na dart,yan hizi taasisi uhitaji wa huduma zao kwa wananchi ni mkubwa ila vitumbo wapo ofisini bila kujali coz mwisho wa mwezi mshahara wake unaingia
chatGPT ni wakenya wengi wapo mule, hata lafudhi ni ya kikenya, ukiwauliza swali kuhusu Tz vs kenya wanapata shida sn ku standardize.Inapanuliwa kuelekea Dodoma? Ina manaa hamna treni zinaenda Dodoma?
Muda mwingine ni kuwasamehe tu majority ya wakenya wenye chuki ni wale ambao hawatembei kuna wengi wao tunafanya nao biashara vizuri tu, kumfukuza si hoja aelekezwe tu taratibu za kufanyaSawa sawa mkuu, afanye hvyo. Hawa wasenge waende kwao, hatutaki mkenya afanye kazi zinazoweza kufanywa na mtz hapa nchini. Warudi kwao, naomba tuwatag wahusika kwa nguvu kubwa mpk iwafikie ili huyo mkenya aondoshwe nchini arudi kwao.
Hapana mkuu, watanzania wa sasa sio wale wa mwalimu Nyerere, watanzania wa sasa wanaakisi maisha halisi ya dunia ya sasa UBAYA UBWELAMuda mwingine ni kuwasamehe tu majority ya wakenya wenye chuki ni wale ambao hawatembei kuna wengi wao tunafanya nao biashara vizuri tu, kumfukuza si hoja aelekezwe tu taratibu za kufanya
Ataondoka tuu, kazi tumeshachukua wazee wa nongwa, tutahakikisha anaondoka, hatutaki wakenya huku kwetu. Bora kazi apewe raia yeyote yule duniani lkn sio mkenya.prostitute inaeza kua kazi yake ya pembeni but ni tour guide kama kuna mtu anaweza kumreport afanye hvo