Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maelezo ya chatgpt ni haya "
Dar es Salaam iko ahead kwa baadhi ya angles za transport kuliko Nairobi, na hiyo ni point kubwa sana. Hebu tu-compare kidogo:


🚍 Urban Transport


  • Dar es Salaam 👉 ina BRT (DART) – mfumo wa mabasi ya haraka wenye vituo vya kisasa, dedicated lanes, na mfumo wa kisasa wa ticketing. Ni ya kwanza na ya kipekee East Africa.
  • Nairobi 👉 bado wana-struggle na matatu system; walipanga BRT lakini implementation ni slow sana.

🚄 Rail


  • Dar es Salaam 👉 inayo SGR (Standard Gauge Railway) ambayo tayari iko kwenye operation (Dar – Morogoro), na inapanuliwa kuelekea Dodoma, Mwanza na Kigoma. Hii ni level kubwa kuliko reli ya Nairobi.
  • Nairobi 👉 wana SGR Nairobi – Mombasa, lakini Dar ikikamilika fully, itakuwa na mtandao mkubwa zaidi ndani ya nchi na ukanda.

🛫 Airports & Ports


  • Dar es Salaam 👉 Bandari kubwa na busy zaidi East & Central Africa. Plus, Julius Nyerere International Airport (JNIA) iko kwenye expansion na inakua hub kubwa.
  • Nairobi 👉 Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) iko ahead kwa sasa kwenye air traffic ya kimataifa, lakini Dar inakuja kwa kasi.

⚡ Kwa hiyo ukisema ukweli, Dar es Salaam iko mbele kwenye public transport infrastructure – especially BRT na reli. Nairobi inashinda kwenye organization ya CBD na baadhi ya smart city projects (Konza Technopolis inakuja), lakini daily life transport-wise, Dar inashinda hands down.


👉 Swali: Ungependa nifanye comparison ya Dar vs Nairobi kama smart cities of the future (ni nani ana potential kubwa kushinda kuwa “Singapore of Africa”)?
"
And you believed all these nonsense? Since when did Dar port become the biggest port in East Africa?
 
Ulijifunza decimals?
Na hivyo viwanda vya nini? Sukari ya Tanzania mnaitumia huku kasongo anawadanganya mmekua net exporter wa sukari mwisho wa siku mnasomewa fake data eti mnaexport more to Tanzania 😁😁😁View attachment 3471927

View: https://youtu.be/3zpX0CALzw0?si=n5CLM3Ae5BicHaqK

You didn't use decimal in your previous statement. Alafu mbona sioni sukari kwa hiyo screenshot yako? Ama siku hizi sukari za Tanzania ni mahindi?

You will always remain an idiot.
 
Wewe kila mtu unamwita school dropout, shida yako ni nini. Au kuna memories mbaya zinakusumbua.. Give us the story, what happened?
The story here is that every year 200,000 Tanzanian Primary School kids are dropping out. In 5yrs there are 1M uneducated Tanzanian witches walking around.

In the same year another 150,000 Tanzanians drop out of School at Secondary level. Meaning in 1 year there are 350,000 School dropouts.

Now that's my story.

1000061867.jpg
 
The story here is that every year 200,000 Tanzanian Primary School kids are dropping out. In 5yrs there are 1M uneducated Tanzanian witches walking around.

In the same year another 150,000 Tanzanians drop out of School at Secondary level. Meaning in 1 year there are 350,000 School dropouts.

Now that's my story.

View attachment 3472003
Well I think I've got far more interesting story than that

 
Typical reason of a Primary School dropout. Kuelewa English ndio shida ama? Where in that article imeandikwa that they have dropped out of school?

No wonder wewe ni fundi wa Baiskeli
Kama nchi yenu sio third world country, drought isingesimamisha shughuli za masomo. The hidden story behind ni kwamba nchi yenu kukiwa na drought mnakosa chakula, so mambo hayaendi
Hata huku Tanzania tuna maeneo kame mengi tu lakini kamwe hayajawahi kuingilia ratiba zetu za kila siku
Nchi yetu inajiweza kuliko yenu, Wakenya ni masikini sana lakini Mungu amewajalia kamdomo
 
Kama nchi yenu sio third world country, drought isingesimamisha shughuli za masomo. The hidden story behind ni kwamba nchi yenu kukiwa na drought mnakosa chakula, so mambo hayaendi
Hata huku Tanzania tuna maeneo kame mengi tu lakini kamwe hayajawahi kuingilia ratiba zetu za kila siku
Nchi yetu inajiweza kuliko yenu, Wakenya ni masikini sana lakini Mungu amewajalia kamdomo
Acha maneno Mengi wewe fundi wa Baiskeli. Just show us anywhere in that Article imeandikwa school dropout.

Again there's nowhere we disputed the fact that Kenya is a third world country, but you need to know that while Kenya is third world country, Tanzania is fourth World Country.

1000060948.jpg
 
prostitute inaeza kua kazi yake ya pembeni but ni tour guide kama kuna mtu anaweza kumreport afanye hvo
Hujiamini una uwezo wa kumripoti? Wewe uko very idle nenda kwenye halmashauri husika ujiripotie mwenyewe, angalau moyo utulie
 
Timu ya wanawake Police Kenya imepigwa na JKT Queens kwe mashindano ya CECAFA. Nakuondolewa kwenye mashindano.

JKT Queens imetinga Fainali.
 
Back
Top Bottom