Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati unafurahishwa na local tournaments, wengine wapo kimataifa
View attachment 3472097View attachment 3472098
Mbio za meter 100,000 ? Hiyo hatuwawezi, kila siku tunawaambia pambaneni na mbio cz wakenya ni wezi, ukiwa mwizi sharti ujue kukimbia, tena ukimbie kweli kweli sio meter 100 bali kuanzia meter 100,000 kwenda juu. Hongereni kwa mbio, ila sio soka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hatujawahi kuwa na huo ujinga, watanzania omba omba wamejaa huku, wacongo na waburundi wamejaa huku wakifanya biashara rejareja. Wasomali, wasudanese wote wamejaa hukuu, ila hutwahi tuskia tukijinyima amani kwasababu yao kama mnavyoumizwa moyo na mtu moja
Nshakuambia hao ni wakenya wenzenu, bunge lenu si lilipiga kelele kwamba kuna watanzania ombaomba? Baada ya uchunguzi nn kilifuata? You know what? Waligundua 100% ya ombaomba ni wakenya, na zaidi ya hapo wakagundua wakenya wengine wapo kakuma wameji register kama wakimbizi, kilichofuata wakakaa kmyaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Muda mwingine ni kuwasamehe tu majority ya wakenya wenye chuki ni wale ambao hawatembei kuna wengi wao tunafanya nao biashara vizuri tu, kumfukuza si hoja aelekezwe tu taratibu za kufanya
shera iwe msumeno kaka, kama ni sheria imepitishwa ni wazi ifatwe, sheria ambayo sisi hatuwez kuifata ni kuwanyonga mafisadi na viongozi wanaotumia vibaya madaraka
 
Zaidi ya wakenya 50,000 wapo kakuma refugee camp kama wakimbizi, just imagine raia wanajiita wakimbizi ndani ya nchi yao ili wapate chakula cha bure.
Screenshot_20250914_203148_Google.jpg


 
Nasupport mchukue hizo kazi muwapee hawa omba omba wenu waache kutuharibia miji yetu
ombaomba ambao mpaka leo mumeshindwa kuwarudisha makwao yani inamaana ombaomba ana passport kabisa 😂😂😂😂

yani munadanganywa na wanasiasa wenu ni watanzania ilihali wanajua ni wakenya wenzenu
 
Hatujawahi kuwa na huo ujinga, watanzania omba omba wamejaa huku, wacongo na waburundi wamejaa huku wakifanya biashara rejareja. Wasomali, wasudanese wote wamejaa hukuu, ila hutwahi tuskia tukijinyima amani kwasababu yao kama mnavyoumizwa moyo na mtu moja
hawana makwao? mbona hamuwarudishu kama kweli ni watanzania😂
 
Hatujawahi kuwa na huo ujinga, watanzania omba omba wamejaa huku, wacongo na waburundi wamejaa huku wakifanya biashara rejareja. Wasomali, wasudanese wote wamejaa hukuu, ila hutwahi tuskia tukijinyima amani kwasababu yao kama mnavyoumizwa moyo na mtu moja
Zaidi ya wakenya 50,000 ni wakimbizi pale kakuma refugee camp, pambaneni na hawa kwanza.
Screenshot_20250914_203148_Google.jpg

 
Zaidi ya wakenya 50,000 wapo kakuma refugee camp kama wakimbizi, just imagine raia wanajiita wakimbizi ndani ya nchi yao ili wapate chakula cha bure.
View attachment 3472145

alaf wanakwambia watanzania ni ombaomba ilihali wameshindwa kuwarudisha kama kweli ni watanzania
 
alaf wanakwambia watanzania ni ombaomba ilihali wameshindwa kuwarudisha kama kweli ni watanzania
After investigation serikali yao na bunge likagundua kwamba sio tu wale ombaomba ni wakenya bali pia kuna wakenya zaidi ya 100,000 wameji register kama wakimbizi pale kakuma refugee camp 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇
 
Back
Top Bottom