mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,447
- 4,953
Nasupport mchukue hizo kazi muwapee hawa omba omba wenu waache kutuharibia miji yetuAtaondoka tuu, kazi tumeshachukua wazee wa nongwa, tutahakikisha anaondoka, hatutaki wakenya huku kwetu. Bora kazi apewe raia yeyote yule duniani lkn sio mkenya.